Kwa hiyo wewe pekee ndiyo unajua ukweli, mwingine yoyote akisema kitu ikiwemo facts za matokeo ya mechi anadanganya na anatumia hisia. Unapenda kuishi katika dunia ya kusadikia.Makocha wanapofukuzwa kwa kutotimiza wajibu ndio uwa wanatafuta wa kufa nae,,ata Patrick ausems alivyokuzwa Simba alisema viongozi wenu ni tatizo wanampangia kikosi kwaiyo na yeye alikuwa right?
Naomba nitajie hizo Yanga 6 maana najua Simba ni Yanga namba 2Kwenye ligi ziko yanga nane kati ya hizo 7 zipo kwaajili ya kumtafutia huyo mmoja point, kwahy yanga mpaka ligi inaanza tayar yy alikuwa na uhakika na point 42
Tunasema hivi Kila timu ishinde mechi zake yaani nyie huo muda mnaoutumia kumlaumu singida mngeutumia kuiandaa timu yenu uko,,akuna tusichokijua juu yenu na mnachokifanya tutaendelea kupiga utosini mpaka nyoka akate moto,,mlianzisha sisi tutamalizaKwa hiyo wewe pekee ndiyo unajua ukweli, mwingine yoyote akisema kitu ikiwemo facts za matokeo ya mechi anadanganya na anatumia hisia. Unapenda kuishi katika dunia ya kusadikia.
naona mnahaha hapo kileleni ni masaa tu mnashushwaWale wanaopiga kelele juu ya yanga na singida pia kelele zao wazielekeze kwenye mechi ya Namungo na Simba! Pale yupo kocha juma mgunda ambae sikumbuki ni lini aliwai kumfunga Simba akiwa anafundisha timu yoyote Ile, ata sare huwa hapati!
Namungo wenyewe ni tawi mojawapo la kolo likifadhiliwa na waziri mkuu ambae ni mwanachama hai wa kolo, kesho wanacheza na Simba lakini akuna ahadi yoyote iliyotolewa ili wapate ushindi but ikicheza na yanga ahadi uwa ni za kumwaga!
Tunakwenda kushuhudia kile tulichokishuhudia kule tabora,,aitokuwa mechi bali uchafu!
Kwa maana iyo Kila timu ishinde mechi zake na wale wabwekaji wafunge mabakuri yao akuna kucheka na kima sasa hivi ukitumia panga tunatumia shoka,,bampa to bampa mpaka kitaeleweka!
Eti mlianzisha sisi tunamaliza. Kwa misimu mitatu sasa mmefaidika kwa huu udanganyifu.Tunasema hivi Kila timu ishinde mechi zake yaani nyie huo muda mnaoutumia kumlaumu singida mngeutumia kuiandaa timu yenu uko,,akuna tusichokijua juu yenu na mnachokifanya tutaendelea kupiga utosini mpaka nyoka akate moto,,mlianzisha sisi tutamaliza
Wote ni wachafuHizi Timu zinajuana, Kila Moja inafanya huo ushenzi but Mmoja akimuwai mwenzake ndio unaona milio kama hivyo,,ujiulize yanga anapofungwa mbona wanakenua meno yote 32 nje? Hapo uwezi kusikia kolo yeyote anasema gsm anaharibu ligi but yanga akishinda tu mechi mfululizo wanaazima na sound bar kabisa kubweka bweka kama mbwa kichaa!
Ndo utajua hujui kama Niko uko ama nipo kwenye timu iyo aikuhusu na Wala aitokusaidia chochote labda tu endelea kubweka nakupa pole sana kijana wa mangungu usilolijua ni kama usiku wa Giza!Eti mlianzisha sisi tunamaliza. Kwa misimu mitatu sasa mmefaidika kwa huu udanganyifu.
Unaongea utadhani una umuhimu wowote katika timu kumbe uko Kalambanzite huko ndani ndani unashindia jezi ya chura ya mwaka juzi.
Kimataifa umetolewa kwa aibu. Sijui hata huo ujasiri wa kubishana mitandaoni unautoa wapi.
Sasa kama tunashushwa kelele za nini? Si mtulie mtushushe vizuri,,mimba abebe mwingine mate uteme wewe!naona mnahaha hapo kileleni ni masaa tu mnashushwa
Awa awatusumbui acha waendelee kubweka na bado watabweka sanaWote ni wachafu
Sasa mnalialia nini kulalamika mapema kuhusu game na namungoSasa kama tunashushwa kelele za nini? Si mtulie mtushushe vizuri,,mimba abebe mwingine mate uteme wewe!
Wenzio wameshajua msimu umepotea wewe uko busy kutetea ujinga mitandaoni. Hata kwenye harusi sikuoni halafu unajifanya una umuhimu kwenye timu.Ndo utajua hujui kama Niko uko ama nipo kwenye timu iyo aikuhusu na Wala aitokusaidia chochote labda tu endelea kubweka nakupa pole sana kijana wa mangungu usilolijua ni kama usiku wa Giza!
Wenzangu kina nani? Kina mangungu na Jaribu Tena ama? Maana hao ndio wanajua Awana chao wamejaribu kuchokoza nyuki na vikamati vyao vya ubaya ubwela wamepigwa kombora Moja tu la atomic sasa hivi wanatafutana uko,,wanaangaika na njia mbadala but too late!Wenzio wameshajua msimu umepotea wewe uko busy kutetea ujinga mitandaoni. Hata kwenye harusi sikuoni halafu unajifanya una umuhimu kwenye timu.
Alafu kawaulize viongozi wako kwamba Ile kamati ya fitina iliyopewa kazi inayoongozwa na Hassan dalali inaferi wapi,,mbona inazidiwa Kila siku wasije wakawa wanazipiga pesa za mhindi na kazi aifanyiki ipasavyo,,nyie ni wachache sana mnapigana vita msiyoiweza nawaambia!Wenzio wameshajua msimu umepotea wewe uko busy kutetea ujinga mitandaoni. Hata kwenye harusi sikuoni halafu unajifanya una umuhimu kwenye timu.
Alafu kawaulize viongozi wako kwamba Ile kamati ya fitina iliyopewa kazi inayoongozwa na Hassan dalali inaferi wapi,,mbona inazidiwa Kila siku wasije wakawa wanazipiga pesa za mhindi na kazi aifanyiki ipasavyo,,nyie ni wachache sana mnapigana vita msiyoiweza nawaambia!
Haya mambo ya kijinga sana, hapa Tanzania hizi timu nyingine kuzifunga Yanga, Azam na Simba ni kubahatisha tu. Hivi kweli unakwenda uwanjani ukiamini Namungo atamfunga Simba au Yanga. Tuwe na uhalisia, kiuwekezaji hizi timu nyingine ni wasindikizaji.Wale wanaopiga kelele juu ya yanga na singida pia kelele zao wazielekeze kwenye mechi ya Namungo na Simba! Pale yupo kocha juma mgunda ambae sikumbuki ni lini aliwai kumfunga Simba akiwa anafundisha timu yoyote Ile, ata sare huwa hapati!
Namungo wenyewe ni tawi mojawapo la kolo likifadhiliwa na waziri mkuu ambae ni mwanachama hai wa kolo, kesho wanacheza na Simba lakini akuna ahadi yoyote iliyotolewa ili wapate ushindi but ikicheza na yanga ahadi uwa ni za kumwaga!
Tunakwenda kushuhudia kile tulichokishuhudia kule tabora,,aitokuwa mechi bali uchafu!
Kwa maana iyo Kila timu ishinde mechi zake na wale wabwekaji wafunge mabakuri yao akuna kucheka na kima sasa hivi ukitumia panga tunatumia shoka,,bampa to bampa mpaka kitaeleweka!
Basi endelea kusubilia ndege chini ya muembe,,utakuja kujua mnapoferi mwisho wa msimuView attachment 3240949
Kama kufeli ndiyo huku, kufaulu sijui kunafananaje.
Awa awatusumbui acha waendelee kubweka na bado watabweka sana
Wambie hata mwaka jana alleluia simba isicheze klabu bingwa ni namungo mshasahau golini ayoub lakredKwani Coastal hajatoka sare na Simba msimu huu? Hizo ni hisia au facts? Eti wafungaji wa Coastal walijipigia kimasikhara halafu unasema tunatumia hisia.
Namungo hakulazimisha sare mwishoni mwa msimu wa juzi na kusitisha mbio za ubingwa za Simba? Hizo ni hisia au facts?
Azam haijatoka sare mara kibao tu na kuifunga simba misimu ya hivi karibuni na hata kuitoa kwenye FA Cup? Hizo ni hisia au facts?
Narudia kwa mara nyingine, tupe mfano wa hata mmoja wa tawi la GSM kuifunga au kutoka sare na Yanga.
Si walitaka singida ndio iwasaidie kazi ya kuifunga yanga wakati wao wameshindwa sijui hizi akili waliziazima wapi!Haya mambo ya kijinga sana, hapa Tanzania hizi timu nyingine kuzifunga Yanga, Azam na Simba ni kubahatisha tu. Hivi kweli unakwenda uwanjani ukiamini Namungo atamfunga Simba au Yanga. Tuwe na uhalisia, kiuwekezaji hizi timu nyingine ni wasindikizaji.
HawajielewiSi walitaka singida ndio iwasaidie kazi ya kuifunga yanga wakati wao wameshindwa sijui hizi akili waliziazima wapi!