Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Kumbe huwa mnazingatia tahadhari πLeta sikio hilo,au bas we block tu namba yoyote akikutafuta nayo, unaeza jibu ovyo kumbe akili zake ni fyatu akaja kukufanyia kitu mbaya, wanaume hawafanani.
Nmeanza kumuogopa ekisi piaHizo kazi unalipwa? Umezianza lini mbona sijui
kabla ya uhuruHakika Mkuu, Mwaka 47 π
Alishakupiga tukioNmeanza kumuogopa ekisi pia
Uuuwweeeh kuna vichaa aseee utashangaa njemba usiku linavunja mlango πKumbe huwa mnazingatia tahadhari π
io kawaida aseeee had nmezoeaAlishakupiga tukio
Bila shaka Mkuuπππ daaahhh 47 .. Sawa mzee usisahau kubeba kitambaa cheupe
Njoo ni kusuprise Hadi utamsahau bwana wakoKwa ule wimbo wa perfect au?
Hapana wewe kuna id nyingine unaitumiaπTutafika tu
Ukome manice guy wamejaa unasumbuka yaniniio kawaida aseeee had nmezoea
HahahaYou are hired!
zilipendwaaNgoma ipi
Nioneshe basi nijishindie mmojaUkome manice guy wamejaa unasumbuka yanini
Sio wanaume tu ndio maana kuna haja ya kupima hali ya afya ya akili kabla ya kuwa pamoja. Kuna watu ni hatari sana hasa wakishaamua mambo yao.Uuuwweeeh kuna vichaa aseee utashangaa njemba usiku linavunja mlango π
Huwaoni kumbeNioneshe basi nijishindie mmoja
Tumeshaachana siku nyingi sanaShida Nini hasa, mbona kama vile hamjaachana!
yani weeee hadi utatamani siku zirudi nyuma usiwahi mfahamu tena,,ila nyie kuna watu wanateseka kwenye haya mahusiano na hawana la kufanya,mtu anakwambia kabisa,bora tukose wote kwaio nakuuaSio wanaume tu ndio maana kuna haja ya kupima hali ya afya ya akili kabla ya kuwa pamoja. Kuna watu ni hatari sana hasa wakishaamua mambo yao.
ndio,, nisaidie basiHuwaoni kumbe
Nini kinafanya uhisi naweza m replace Zulekha?Imeisha pita miaka nahisi natamani wewe umreplace