Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Sawa nakubaliBasi nina maanisha sema naona aibu tu😂
ili iwejerequest basi
😋Sawa nakubali
Kama bado anampenda na hajamove on yote hayo ni bureNarudia tena,,jifunze kumpuuza text zake ona kama za wale matapeli wa tuma kwenye namba hii,,na cm zake ona kama zile zinazoanza na 09........
Usiniulize kihuni hivyoili iweje
Napigia mbuzi gitaaKama bado anampenda na hajamove on yote hayo ni bure
Mazoea baba😂😂Usiniulize kihuni hivyo
Ila we mgomvi sana kwahiyo mleta mada ni mbuzi?Napigia mbuzi gitaa
Wazungu wanasema never say never ila kadri siku zinavyoenda namchukulia tu kama watu wengine tu.Siku hiyo ndio utadhihirisha yakuwa bado unampenda si unajua pombe huwa haiongopi, nyie mtajarudiana wewe bado una hasira za aliyokutenda ila ipo siku utasahau na utapoa.
Jichanganye ujuteMazoea baba😂😂
Hahahaha 😂😂😂😂😂😂😂😂 mpuuz acha uchonganishiIla we mgomvi sana kwahiyo mleta mada ni mbuzi?
[emoji3][emoji3][emoji3]
Hayo matusi unamlambisha mkiwa pamoja au kwa simu au kwa sms?
Eti kiviruge[emoji3][emoji3]
NeverJichanganye ujute
Si mpaka😀Shauri yako mi mwenyewe ndio huyo naesemwa na mleta mada 😂
kila la heri umsahau kama kweli humpendi.Wazungu wanasema never say never ila kadri siku zinavyoenda namchukulia tu kama watu wengine tu.
Onhoo we kama mm tu,m kwenye cm ntaporomoka ka mashine,,ila live hapanaaaaKuonana ni ngumu tupo mikoa tofauti ila kaja mkoa niliopo anataka tuonane nimemuwashia moto kazi yake ni kunipostia vijembe status et Mungu hakupi unachokipenda anakupa unachostshili tulizike na wanaotupenda[emoji23][emoji23]
Matusi hayo nampa kwa kuongea simu ama sms hiyo live sina huo uwezo wa kuongea ndio maana simpi nafasi ya kuonana nae… yaani ni msumbufu sanaaa sanaa
Coca umeamua kunichamba?😀Wee useme tyu bado unampenda huyo king'ang'a wako bas.
Usituletee njegeka hapaa, lol
Natania mkuu 😅Si mpaka😀
Wengi mpo hivyoOnhoo we kama mm tu,m kwenye cm ntaporomoka ka mashine,,ila live hapanaaaa