Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
π kwahiyo yeye mbuzi alafu mimi mpuuzi? Ngoja tukadiscuss cha kukufanya.Hahahaha ππππππππ mpuuz acha uchonganishi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
π kwahiyo yeye mbuzi alafu mimi mpuuzi? Ngoja tukadiscuss cha kukufanya.Hahahaha ππππππππ mpuuz acha uchonganishi
Mwanaume hatakama mgumu vip kuinua mkono wake juu ya mwanamke,,kuna maneno yatamfanya afanye ivo ila nikiwa mbali najua usalama upo.Wengi mpo hivyo
Acha bwan ππ kwahiyo yeye mbuzi alafu mimi mpuuzi? Ngoja tukadiscuss cha kukufanya.
Aya kalale kama kurikwesti umegomaNever
Onhoo we kama mm tu,m kwenye cm ntaporomoka ka mashine,,ila live hapanaaaa
Sawa πΆπΎββοΈπ€Aya kalale kama kurikwesti umegoma
Kutana na mimi sasa ambae tukiwa hatupo sawa sisomi sms nazifuta bila kuzisoma, kwenye simu kuongea ukishaanza kuchange nakata au naweka pembeni uongee mpaka na inzi ππMwanaume hatakama mgumu vip kuinua mkono wake juu ya mwanamke,,kuna maneno yatamfanya afanye ivo ila nikiwa mbali najua usalama upo.
Baibo stadi weweSawa πΆπΎββοΈπ€
πAache majani au π πAcha bwan π
Onhoo hii mbona mbaya zaid,,hii tabia nilkua nayo zamani aseeeKutana na mimi sasa ambae tukiwa hatupo sawa sisomi sms nazifuta bila kuzisoma, kwenye simu kuongea ukishaanza kuchange nakata au naweka pembeni uongee mpaka na inzi ππ
Sitak stress zinazoepukika.
π’π’π’Baibo stadi wewe
Tabia nzuri sana hiyoOnhoo hii mbona mbaya zaid,,hii tabia nilkua nayo zamani aseee
ila usifanyiwe wewe aseeee inaumaaaTabia nzuri sana hiyo
Hiyo stage nishapita na huwa hairudi nyuma kama kansa.ila usifanyiwe wewe aseeee inaumaaa
Mkuu asante kwa ushauri ila yeye ndio tatizo na hilo penzi nimefight sana kuliokoa ,nimevumilia vitu vingi vya kuumiza yaani kwanza mpaka nafikia stage sitaki mawasiliano nae huwezi elewa tu.Hata sielewagi huwa ananitafutiaga nini kama sio uchokozi tuKuna uwezekano mkubwa anakupenda ila ni vile mazingira ya ugumu unaouweka yanamnyima uhuru wa kukuonesha uhalisia wa upendo wake. Uwezi kuelewa hili kama utaendelea kumuignore na kumpuuzia.
Ndo vizuri aniache kila mtu amsahau mwenzake maisha yasongeupendo haujifichagi, kuna viashiria vyote vya kumpenda. Kitendo cha kusema anashindwa mblock ni wazi kuwa anampenda na anapenda kuona anavyotafutwa. Ila kuna siku mambo yatabadilika kama ataendelea kumzuia ilihali bado anampenda, atoona tena akitafutwa na kusumbuliwa na hapo ndio ataanza kuiona thamani ya mwamba.
Sio rahisi kihivyo, kama umeshawahi kupenda na ukatendwa utanielewa. Kuna watu kukubali kumove on n mtihani sana kwao.Ndo vizuri aniache kila mtu amsahau mwenzake maisha yasonge
Akikutafuta muulize ni nini lengo lake haswa, kwakuwa umeshajua kipi unapaswa kufanya sidhani kama itakuwa ngumu kwako kuepuka usiyoyataka yatokee.Mkuu asante kwa ushauri ila yeye ndio tatizo na hilo penzi nimefight sana kuliokoa ,nimevumilia vitu vingi vya kuumiza yaani kwanza mpaka nafikia stage sitaki mawasiliano nae huwezi elewa tu.Hata sielewagi huwa ananitafutiaga nini kama sio uchokozi tu
Hahaha................Kwa Usalama wa afya zetu, ni muhimu sana kubugia dawa za pressure na Sukari hasa kama tuna appointment na hawa watoto wa elfu 2Pasipo kusahau kubugia dawa za pressure na sukari π
Sio rahisi kihivyo, kama umeshawahi kupenda na ukatendwa utanielewa. Kuna watu kukubali kumove on n mtihani sana kwao.