Bongo senior
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 757
- 1,526
Mkuu usije ukajaribu kuingia kwenye huo mtego ACHA KABISA.Lengo la kuongea naye ni kumchimba mkwara asilete mazoea na demu wangu, sasa Kuna shida gani kufanya kazi rahisi namna hiyo
Mkuu, wanasema ukicheka na nyani utavuna mabuwa
Hahaha.......... nimepokea Ushauri ππMkuu usije ukajaribu kuingia kwenye huo mtego ACHA KABISA.
Dahhh ππππππππΎππΎππΎππΎππΎHahaha................Kwa Usalama wa afya zetu, ni muhimu sana kubugia dawa za pressure na Sukari hasa kama tuna appointment na hawa watoto wa elfu 2
Nimewahi kusikia sifa zao kupitia Mzee mwenzangu ERoni kwamba they are so energetic on bed, na kama hautakuwa jirani na dawa zako za pressure na Sukari unaweza kuamkia Kwa Janabi Muhimbili ππ
Hahahaha.............π πDahhh ππππππππΎππΎππΎππΎππΎ
Mzee usifikirie energy za bed tu kuna kiharusi pia ππ Ila usisahau kuongea vizuri na ERoni .. Inawezekana ana siri ya mafanikio babu, nguvu kidogo, akili nyingi
KabisaHutaki kuongea nae, mbona rahisi sana...block and ignore! Ikitokea akatuma text kwa namba mpya just ignore, kumpotezea mtu ni rahisi sana, unless na wewe unafurahia kusoma texts zake, I know the feeling!!
Nimejitetea wapi mkuuSiungesema tu kwamba bado unampenda kuliko unavyo jitetea
Umepata penz jipya ndiomaan unamdharau, penz jipya linakuaga tam san had unahis huyo x wako alikua hajui mapenz, ila penz jipya utam wake unaisha baada ya miez 3 hkn rang utaacha kuona
Hata sio jeuri sina tu huo umuhimu kwake kiasi cha yeye kufanya hayo kisa mieJipe jeuri tu yakukute!
OkayTafuta mwanaume mwingine, alafu akipiga mpe simu aongee nae
Ila wewe ni mbishi sana, sikupingi ila uhalisia wako unakupinga.
Sijui kama yumo humu ila tahadhari muhimuKumbe na humu jf yumo?
Sio kwamba anafanya hivyo ili umuone tajiri, huyo anafanya kwa ajili yako ni vile tu uwezo hana nawewe uwezi kumvumilia.
Ni mwendo huohuo π€£π€£π€£π
Atajijua mwenyeweNyie bado mnapendana bwana
Mkuu kwani umeshapata penzi jipya?Kabisa
Nashukuru kwa kunielewa.Hahaha.......... nimepokea Ushauri ππ
ππNashukuru kwa kunielewa.
Kumbe mtihani mkubwa ni uongo, sio mkweli. Pole yake sana.Sijui kama yumo humu ila tahadhari muhimu
Alijua sana naweza kumvumilia kwa hali yoyote sema tu hakuthamini.Na pia Kuna faida gani kudanganya kwenye mapenzi kama ana nia nzuri?Kama mtu kazi yake kuzibua vyoo si anasema tu then aone kama ataachwa kisa kazi ambayo ni ya halali!!
Muda wa kulea wajukuu ππHahahaha.............π π
Bora tumezeeka sasa ππ