Wewe ni mtu wa hovyoWemgine tigo zimenyonywa na deki zikapigwa ila baada ya sex ujeuri mwanzo mwishoo
π€£π€£Na utashukuru sana
Hata mie sina mpango wa kurudi huko.mi nikienda nimeenda hua sitetemeki hata unijie na bunduki,sembuse kupga cm tu mxiuuuu
NakaziaMuue
Jitahid uweze sasaHata mie sina mpango wa kurudi huko.
Nishaamua
Shukrani mkuu βπ½βπ½Paragraph ya kwanza umeandika kitaalamu sana mkuu
Wewe wasema.It seems like wewe ndo umeachwa na unajitahidi ku move on unashindwa tafuta sababu iliyokufanya ukaachwa jirekebishe mrudiane maisha yaendelee... Unampenda Mwaya
Sasa kwa nini unashindwa kum block?Mkuu Kiranga mimi sina feeling yeyote na huyo mtu.Niamini hivyo
Jamani shosti mbona huelewi?Basi shkilia hii,,bado unampenda
Sijasema mimi ndio nimefanya hivyoWewe ni mtu wa hovyo
πππUkiona mnachokozana kama hivyo, seems wote bado mnapendana
Hachoki sbb kwake its funny (nahisi) kunizingua.Kwani amekupigia kwa namba ngeni mara ngapi?
Siwezi kuamini kwamba hachoki...
Wewe bado unampenda, wanawake mkiamua kumpotezea mtu hamshindwi.
You are hired!Dah,
Basi nikodi mimi.
Nitampiga biti atakoma moja kwa moja
Kwa ule wimbo wa perfect au?Njoo pm nikuliwaze katika hiki kipindi kigumu
I real appreciate it ππππ
Wish ungejua uhalisia ila kwa vile nakuheshimu sitaongea neno kukubishia
Sorry umekosea nambaππMimi ni mshenga.
Kuna billionaire anataka akuchumbie.
Maelezo zaidi yanapatikana PM.
Mtu akikupenda mbona unajua tu mkuu!Wewe unajuaje yakuwa hakupendi?
Unahisi amerudi kwa ajili ya kisasi?
Ndo unayoyawaza tu huna mengineMimi sio nabii ila natabiri siku si nyingi utaliwa kimasihara