Namuogopa X wangu

Hachoki sbb kwake its funny (nahisi) kunizingua.
Kumpotezea naweza.
Sitaki kumblock sbb nikifanya hivyo no yake itakua saved somewhere in my device na sitaki
akitumia namba nyingine block, akitumia namba nyingine block, akitumia namba nyingime block, akitumia namba nyimgime block, akitumia namba nyingine block, akitumia namba nyingine block, akitumia namba nyingine block, akitumia namba nyingine block, akitumia namba nyingine block, akitumia namba nyingine block, akitumia namba nyingine block, akitumia namba nyingine block, akitumia namba nyingine block. Yani wewe zipige block tu na hiyo ndiyo njia sahihi kama kweli humtaki. Sababu kublock namba ni sekunde 1 tu yani sekunde moja.
 
Nimekupata vizuri mkuu.

Naona mie ndo nilikua huyo mnyonge wake.Na maisha ya kuwa huyo mnyonge(last option) (nyasi siku simba kakosa nyama) ni ya stress za kuua.
 
Hahaha............shukrani sana Mkuu 🙏🙏

Sisi ndiyo wale Wazee ambao tumeogopa kuandika vitabu Kwa kuogopa kuwahi kutangulia kama Wazee wenzetu akina Ben na Mengi 🤗
 
Sawa mkuu.
Asante kwa ushauri
 
Ishara zote zinaonyesha bado unampenda sana tu Sema sijui niseme una utoto
 
Jamani mimi simpendi mtu.
Mbona mnang’ang’ania kuwa nampenda?
Mimi nimesema namuogopa na haimaanishi nampenda
Mimi nilikua na demu alikua yupo hivyo ananinunia tukakaa kama wiki siku tunaonana alibaki ananililia huku tumekumbatiana

Basi block tu au usipokee simu lazima atakuja kuacha tu njia nyingine mpe mwanaume aongee nae kwa kumuonya
 
Nimekupata vizuri mkuu.

Naona mie ndo nilikua huyo mnyonge wake.Na maisha ya kuwa huyo mnyonge(last option) (nyasi siku simba kakosa nyama) ni ya stress za kuua.
Yeah ukiangalia kwa undani utajijua wewe una position gani kwake. Na chochote akili yako itaona usiibishie kwa kuendekeza hisia. Hiyo itakusaidia ku move on kuliko kukaaa katika hiyo situation yako
 
ANakupigia simu kwa sababu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…