Tumbili wa mjini
JF-Expert Member
- Nov 2, 2024
- 1,125
- 2,233
Ila umenifanya nitoe machozi kwa kumkumbuka demu wangu Zulekha 😢😢😢 tulipendana sana but R.I.PSawa mkuu.
Asante kwa ushauri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila umenifanya nitoe machozi kwa kumkumbuka demu wangu Zulekha 😢😢😢 tulipendana sana but R.I.PSawa mkuu.
Asante kwa ushauri
ANakupigia simu kwa sababu
Sawa mzee kuna show zenu za maquis na Nguza Viking zinapigiwa promo na clouds na zingine za msondo TCC.. Nenda ukakumbushie zama zako za solo 😁😁Hahaha............shukrani sana Mkuu 🙏🙏
Sisi ndiyo wale Wazee ambao tumeogopa kuandika vitabu Kwa kuogopa kuwahi kutangulia kama Wazee wenzetu akina Ben na Mengi 🤗
Mimi nilishqsonga mbele mkuu yeye ndo sielewi kwanini hatulii na hao first class wake.Yeah ukiangalia kwa undani utajijua wewe una position gani kwake. Na chochote akili yako itaona usiibishie kwa kuendekeza hisia. Hiyo itakusaidia ku move on kuliko kukaaa katika hiyo situation yako
Tushafikia bwaga basi hizo pwenti😀Uzi haujaomba kumfokea kwaio ukifka hio stage niite😆
Ooj.Ila umenifanya nitoe machozi kwa kumkumbuka demu wangu Zulekha 😢😢😢 tulipendana sana but R.I.P
Shida Nini hasa, mbona kama vile hamjaachana!As Salaam Alaikum dear all.
Wakuu,kuna X wangu ambae niliona ili niwe na amani ya moyo na kujilinda na stress ni kukata mawasiliano nae.Yaani simpigii, simtext wala sipokei wala kujibu text zake.
Sasa huyu bwana nilishamwambia mara kibao kuwa sitaki anipigie wala anitext ila siku akijisikia anapiga sipokei. Atakaa tena siku anatext sijibu.
Siku tena akijisikia atapiga au atatext sijibu ila nakua nakasirika kwanini aheshimu ombi langu kuwa sitaki mawasiliano nae!Na simblock sbb nilishawahi kumblock akanitafuta kwa namba nyingine.
Sasa sbb yakuandika huu uzi ni kwamba kuna kitu sijielewi kuhusu huyu mtu na sijui nifanyaje iwe tofauti.
Ni hivi,wakati tuko pamoja nilikua namuheshimu sana na kumuogopa huyu mwanaume ila tatizo ni kwamba pamoja na kuwa tumeachana bado namuogopa flani hivi 🤣 na nahisi kagundua hicho kitu na ndo sababu anapuuzia katazo langu kwa sababu sina ujasiri wa kuongea nae kwa ukali kwa mdomo kwa kumaanisha kuwa sitaki anitafute.
Nina ujasiri tu wa kumwambia kwa text. Tatizo text zangu zenyewe anazidharau tu hata hazijibugi na akijisia anapiga tu saa yeyote au anatext bila kujali kuwa inaweza kuleta shida.
Sasa recently, nimefanya kitu nikajidharau sana. Huyu X alipiga simu usiku mwingi, kuamka naona namba yake. Nikakasirika sana, nikasema huyu leo atanijua mimi nani. Nikaapa kuwa leo namtukana, nampa mineno ya hovyo hadi akome but poor stupid me,😭nilivyopokea tu na nikasikia sauti yake ujasiri wote wa kumtukana ukaisha.
Sikuweza tena kumpa mineno ya hovyo niliyopanga kumpa instead nikawa naongea nae kwa heshima na unyenyekevu ☹️ kama zamani😭.
Alivyokata simu tu ndo nikamuandikia sasa sms kuwa sitaki mawasiliano nae.
Wakuu,sitaki kuendelea kumuogopa huyu mtu.Nifanyaje niweze kumwambia kwa mdomo wangu.
Naamini siku nikiweza kumpandishia sauti huyu ataheshimu ombi langu
Asante dear,Ooj.
RIP Zulekha
MabwakuMuue
Tumuombeleze kwanza Zulekha mkuuAsante dear,
Nipe nafasi hutoniogopa kamwe
Omba hati ya ukimbizi ukaishi Lebanon..
Imeisha pita miaka nahisi natamani wewe umreplaceTumuombeleze kwanza Zulekha mkuu
Endelea kumueshimu tu mapenzi yanaumiza sana asije akaenda kununua maji ya betri bure ukajikuta unalia kila siku ya maisha yako.As Salaam Alaikum dear all.
Wakuu,kuna X wangu ambae niliona ili niwe na amani ya moyo na kujilinda na stress ni kukata mawasiliano nae.Yaani simpigii, simtext wala sipokei wala kujibu text zake.
Sasa huyu bwana nilishamwambia mara kibao kuwa sitaki anipigie wala anitext ila siku akijisikia anapiga sipokei. Atakaa tena siku anatext sijibu.
Siku tena akijisikia atapiga au atatext sijibu ila nakua nakasirika kwanini aheshimu ombi langu kuwa sitaki mawasiliano nae!Na simblock sbb nilishawahi kumblock akanitafuta kwa namba nyingine.
Sasa sbb yakuandika huu uzi ni kwamba kuna kitu sijielewi kuhusu huyu mtu na sijui nifanyaje iwe tofauti.
Ni hivi,wakati tuko pamoja nilikua namuheshimu sana na kumuogopa huyu mwanaume ila tatizo ni kwamba pamoja na kuwa tumeachana bado namuogopa flani hivi 🤣 na nahisi kagundua hicho kitu na ndo sababu anapuuzia katazo langu kwa sababu sina ujasiri wa kuongea nae kwa ukali kwa mdomo kwa kumaanisha kuwa sitaki anitafute.
Nina ujasiri tu wa kumwambia kwa text. Tatizo text zangu zenyewe anazidharau tu hata hazijibugi na akijisia anapiga tu saa yeyote au anatext bila kujali kuwa inaweza kuleta shida.
Sasa recently, nimefanya kitu nikajidharau sana. Huyu X alipiga simu usiku mwingi, kuamka naona namba yake. Nikakasirika sana, nikasema huyu leo atanijua mimi nani. Nikaapa kuwa leo namtukana, nampa mineno ya hovyo hadi akome but poor stupid me,😭nilivyopokea tu na nikasikia sauti yake ujasiri wote wa kumtukana ukaisha.
Sikuweza tena kumpa mineno ya hovyo niliyopanga kumpa instead nikawa naongea nae kwa heshima na unyenyekevu ☹️ kama zamani😭.
Alivyokata simu tu ndo nikamuandikia sasa sms kuwa sitaki mawasiliano nae.
Wakuu,sitaki kuendelea kumuogopa huyu mtu.Nifanyaje niweze kumwambia kwa mdomo wangu.
Naamini siku nikiweza kumpandishia sauti huyu ataheshimu ombi langu
Huo ndio ukweRiNgoja nitafsiri ulio yaandika kwa nilivyo ona between the lines.
1- X wako ni mtu mzima na amekuzidi umri sana.
2- X wako ni mume wa mtu na anafamilia yake.
3- X wako bado unampenda.
4- X ulimuacha kwasababu hauoni future.
5- X unaona bado kama kwasasa anakupotezea muda.
Hahaha............wamefanya vizuri kutukumbuka Wazee kwenye upande wa burudani.Sawa mzee kuna show zenu za maquis na Nguza Viking zinapigiwa promo na clouds na zingine za msondo TCC.. Nenda ukakumbushie zama zako za solo 😁😁
Leta sikio hilo,au bas we block tu namba yoyote akikutafuta nayo, unaeza jibu ovyo kumbe akili zake ni fyatu akaja kukufanyia kitu mbaya, wanaume hawafanani.Tushafikia bwaga basi hizo pwenti😀
Hebu soma tena ulichoandika.Sitaki kumblock sbb nikifanya hivyo no yake itakua saved somewhere in my device na sitaki
Ni wewe hapo, mtoto mwembamba, mtoto 1GBSorry umekosea namba🙄🙄