sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Rafiki yangu ni mwalimu katika kijiji fulani huko ndani ndani sana mkoa X.
Sasa hicho kijiji kumekuwa na uchawi sana mpaka kero.
Rafiki yangu pamoja na walimu wenzake baadhi hupatwa ma vituko usiku kitu ambacho huleta msongo wa mawazo.
Vibweka hivi ni kama.
1. Sufuria zenye vyakula kukutwa tupu asubuhi ilhali jana zilikuwa na chakula.
2. Kuhisi mtu ama watu kutembea ndani ya nyumba
3. Vishindo mithiri ya watu kukimbizana kwenye dari
4. Mchanga kumwaga kwenye bati
5. Mawe kurushwa kwenye bati.
6. Baadhi ya walimu kuamka miguu ikiwa na vumbi na kadhalika
Sasa anaomba ushauri anawezaje kupata uhamisho
Sasa hicho kijiji kumekuwa na uchawi sana mpaka kero.
Rafiki yangu pamoja na walimu wenzake baadhi hupatwa ma vituko usiku kitu ambacho huleta msongo wa mawazo.
Vibweka hivi ni kama.
1. Sufuria zenye vyakula kukutwa tupu asubuhi ilhali jana zilikuwa na chakula.
2. Kuhisi mtu ama watu kutembea ndani ya nyumba
3. Vishindo mithiri ya watu kukimbizana kwenye dari
4. Mchanga kumwaga kwenye bati
5. Mawe kurushwa kwenye bati.
6. Baadhi ya walimu kuamka miguu ikiwa na vumbi na kadhalika
Sasa anaomba ushauri anawezaje kupata uhamisho