Namuokoaje rafiki yangu ambaye ni Mwalimu Kijijini, michezo ya wabaya usiku inamnyima raha

Namuokoaje rafiki yangu ambaye ni Mwalimu Kijijini, michezo ya wabaya usiku inamnyima raha

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Rafiki yangu ni mwalimu katika kijiji fulani huko ndani ndani sana mkoa X.

Sasa hicho kijiji kumekuwa na uchawi sana mpaka kero.

Rafiki yangu pamoja na walimu wenzake baadhi hupatwa ma vituko usiku kitu ambacho huleta msongo wa mawazo.

Vibweka hivi ni kama.

1. Sufuria zenye vyakula kukutwa tupu asubuhi ilhali jana zilikuwa na chakula.

2. Kuhisi mtu ama watu kutembea ndani ya nyumba

3. Vishindo mithiri ya watu kukimbizana kwenye dari

4. Mchanga kumwaga kwenye bati

5. Mawe kurushwa kwenye bati.

6. Baadhi ya walimu kuamka miguu ikiwa na vumbi na kadhalika

Sasa anaomba ushauri anawezaje kupata uhamisho
 
Rafiki yangu ni mwalimu katika kijiji fulani huko ndani ndani sana mkoa X.

Sasa hicho kijiji kumekuwa na uchawi sana mpaka kero....
Waitishe mkutano wa wazazi wote na viongozi wa maeneo hayo wawaeleze hayo matatizo, la sivyo waache kazi.
 
Rafiki yangu ni mwalimu katika kijiji fulani huko ndani ndani sana mkoa X.

Sasa hicho kijiji kumekuwa na uchawi sana mpaka kero.

Rafiki yangu pamoja na walimu wenzake baadhi hupatwa ma vituko usiku kitu ambacho huleta msongo wa mawazo.

Vibweka hivi ni kama....
Amwage chumvi ya mabonge na ndimu kuzunguka nyumba yake ndani na nje na kwenye kila kona aweke kipande cha ndimu kilichochomwa tooth pick ..hii ni pamoja na juu ya mlango
Juu darini kwenye ceiling board kwa ndani atupie mifupa ya mkuu wa meza na akilala ageuze nguo nje ndani au nyuma mbele
 
Rafiki yangu ni mwalimu katika kijiji fulani huko ndani ndani sana mkoa X.

Sasa hicho kijiji kumekuwa na uchawi sana mpaka kero....
Asome Ayaatul Kursiyy akiingia ndani, akifunika vyombo, akilala na akiwasikia wanatembea juu ya dari au bati asome huku amekielekeza kilode chake cha shahada huko anakosikia watu wakitembea.

Sent from my SM-N910W8 using JamiiForums mobile app
 
Amwage chumvi ya mabonge na ndimu kuzunguka nyumba yake ndani na nje na kwenye kila kona aweke kipande cha ndimu kilichochomwa tooth pick ..hii ni pamoja na juu ya mlango
Juu darini kwenye ceiling board kwa ndani atupie mifupa ya mkuu wa meza na akilala ageuze nguo nje ndani au nyuma mbele
[/QUOT
Hii n chiboko
 
Kuna fundi mmoja hatari yuko tabora kama itakupendeza nitakuunganisha awasaidie hao walimu, na hata wenye matatizo makazini, mapenzi, biashara na magonjwa huyo mwamba ni moto wa lipread mbali, anafanya mambo leo kesho unaona matokeo,pia hana blah blah wa kuchangachanga chale which is old school.wengi wamesaidiwa humu ila wanapiga kimya hawasemi ili na wengine wapate msaada.
 
🤣🤣🤣🤣🤣hio number moja awaulize wenzake vizuri,kuna mtu anaamka usiku na kupitia ubwabwa..ndio huyo huyo wanamsikia akitembea ndani ya nyumba...waweke mtego watamkamata tuu...🤣🤣
Au aweke sumu ya panya katika huo ubwabwa
 
Back
Top Bottom