Namuokoaje rafiki yangu ambaye ni Mwalimu Kijijini, michezo ya wabaya usiku inamnyima raha

Namuokoaje rafiki yangu ambaye ni Mwalimu Kijijini, michezo ya wabaya usiku inamnyima raha

Hii ni kweli? Eti wakatoliki ndo dhehebu linaloongoza kwa kutopata matatizo ya ulozi sijui mapepo majini n.k kwa sababu ya ulaji wa Kitimotroo??😁
 
Kuna fundi mmoja hatari yuko tabora kama itakupendeza nitakuunganisha awasaidie hao walimu, na hata wenye matatizo makazini, mapenzi, biashara na magonjwa huyo mwamba ni moto wa lipread mbali, anafanya mambo leo kesho unaona matokeo,pia hana blah blah wa kuchangachanga chale which is old school.wengi wamesaidiwa humu ila wanapiga kimya hawasemi ili na wengine wapate msaada.
Nitumie no zake mkuu nipo unyamwezini huku
 
Hayo ni mambo madogo mnoo hata kwa mtu mwenye imani yake ya kawaida kabisaaa ku deal.
Kuna mambo mazito bwana hayo sio mbona.Hayo hata mjini tu wengine tumekutana nayo.
Kuna wale wa visiwan huk mwanza walishawah kuripotiwa wanaingiliwa kimwil kabisa na wachawi wakati wa usiku.
Au sometimes wanakuta vinyesi kitandani..umelala na underwear unaamka mtupu!!acha kabisaaa ...nikahis yatakua matukio kama haya.

Ushauri.
Fanya mpango wahame.Honga ikibidi kwa wadau wa halmashauri hapo wawape ruhusa.
Simshauri kuhonga, juzi kuna ticha katiwa ndani Tabora alimhonga 90000 katibu tawala ili ahamie Tabora mjini kutoka kijijini
 
Simshauri kuhonga, juzi kuna ticha katiwa ndani Tabora alimhonga 90000 katibu tawala ili ahamie Tabora mjini kutoka kijijini
Ofcz kuhonga ni kitu normal sema unaweza kosea kwa kutoangalia nani unamuhonga na una muhonga how!!
 
Rafiki yangu ni mwalimu katika kijiji fulani huko ndani ndani sana mkoa X.

Sasa hicho kijiji kumekuwa na uchawi sana mpaka kero.

Rafiki yangu pamoja na walimu wenzake baadhi hupatwa ma vituko usiku kitu ambacho huleta msongo wa mawazo.

Vibweka hivi ni kama.

1. Sufuria zenye vyakula kukutwa tupu asubuhi ilhali jana zilikuwa na chakula.

2. Kuhisi mtu ama watu kutembea ndani ya nyumba

3. Vishindo mithiri ya watu kukimbizana kwenye dari

4. Mchanga kumwaga kwenye bati

5. Mawe kurushwa kwenye bati.

6. Baadhi ya walimu kuamka miguu ikiwa na vumbi na kadhalika

Sasa anaomba ushauri anawezaje kupata uhamisho
Mwambie aweke sumu ya panya kwenye chakula
 
Lupatu kinga dhidi ya wachawi hii itakufaa ngoja tumuite Master akupe mwongozo cc. Kitoabu
 
Sasa kazi ya ualimu ndio iniweke kwenye mazingira ya kisenge kiasi hicho wakati bodaboda wanawafunika kwa kipato Mara 3 mpaka 5

Hayo mauzauza ni trela tu kule majita kuna mwalimu ME aliamka akakuta shahawa za kutosha matakoni
 
Awekee chakulaa sumu kimya kimyaa....Tena sumu ilee Kali kweli kwelii,afu utatuletea majibu
 
Mwambie jioni apike msosi mtamu sana,afu atie Bromadiolone sumu isiyo na harufu,kesho awahi dispensary kuwajua wabaya wake!
Asije usiku akalishwa...maana wachawi wanaweza mlisha akiwa usingizini😀 ikaleta balaa jingine tena
 
Mkuu kwani ungetaja tu kua ni Njombe wilata ya wanging'ombe shida ingekua wapi?
 
🤣🤣🤣🤣🤣hio number moja awaulize wenzake vizuri,kuna mtu anaamka usiku na kupitia ubwabwa..ndio huyo huyo wanamsikia akitembea ndani ya nyumba...waweke mtego watamkamata tuu...🤣🤣
Hiyo michezo ipo mama yetu aliwahi kutuambia miaka ya 80s wakiwa bagamoyo walikuwa wakila wali usiku na ukabaki kidogo wa chai asubuhi... wakiamka asubuhi sufuria ni kama halikupakuliwa usiku mpaka ukoko uko juu.. mambo ya bagamoyo ... miaka hiyo.
 
Kuna fundi mmoja hatari yuko tabora kama itakupendeza nitakuunganisha awasaidie hao walimu, na hata wenye matatizo makazini, mapenzi, biashara na magonjwa huyo mwamba ni moto wa lipread mbali, anafanya mambo leo kesho unaona matokeo,pia hana blah blah wa kuchangachanga chale which is old school.wengi wamesaidiwa humu ila wanapiga kimya hawasemi ili na wengine wapate msaada.
Tatizo mambo ya kutegemea binadamu tabu... ukianza kuwategemea hao hata ukikohoa utataka kuwafuata.. Mungu tu ndio mwanzo na mwisho.
 
Rafiki yangu ni mwalimu katika kijiji fulani huko ndani ndani sana mkoa X.

Sasa hicho kijiji kumekuwa na uchawi sana mpaka kero.

Rafiki yangu pamoja na walimu wenzake baadhi hupatwa ma vituko usiku kitu ambacho huleta msongo wa mawazo.

Vibweka hivi ni kama.

1. Sufuria zenye vyakula kukutwa tupu asubuhi ilhali jana zilikuwa na chakula.

2. Kuhisi mtu ama watu kutembea ndani ya nyumba

3. Vishindo mithiri ya watu kukimbizana kwenye dari

4. Mchanga kumwaga kwenye bati

5. Mawe kurushwa kwenye bati.

6. Baadhi ya walimu kuamka miguu ikiwa na vumbi na kadhalika

Sasa anaomba ushauri anawezaje kupata uhamisho
Waache unoko mashuleni
 
Kuna fundi mmoja hatari yuko tabora kama itakupendeza nitakuunganisha awasaidie hao walimu, na hata wenye matatizo makazini, mapenzi, biashara na magonjwa huyo mwamba ni moto wa lipread mbali, anafanya mambo leo kesho unaona matokeo,pia hana blah blah wa kuchangachanga chale which is old school.wengi wamesaidiwa humu ila wanapiga kimya hawasemi ili na wengine wapate msaada.
Mzee huyo fundi inaelekea master
[emoji23][emoji23][emoji23]

Ova
 
Back
Top Bottom