Kuna andiko linasema "yeye huwaangazia jua lake wema na waovu" hivyo anayonafasi ensapo akimaanisha kweli (kumaanisha kwa kuwa tayari kuachana na mienendo yake pia)Maombi kwa kumaanisha ndio nn mkuu..
Maombi ya mwnye dhambi ni kelele mbele za Mungu.
Nitumie no zake mkuu nipo unyamwezini hukuKuna fundi mmoja hatari yuko tabora kama itakupendeza nitakuunganisha awasaidie hao walimu, na hata wenye matatizo makazini, mapenzi, biashara na magonjwa huyo mwamba ni moto wa lipread mbali, anafanya mambo leo kesho unaona matokeo,pia hana blah blah wa kuchangachanga chale which is old school.wengi wamesaidiwa humu ila wanapiga kimya hawasemi ili na wengine wapate msaada.
Simshauri kuhonga, juzi kuna ticha katiwa ndani Tabora alimhonga 90000 katibu tawala ili ahamie Tabora mjini kutoka kijijiniHayo ni mambo madogo mnoo hata kwa mtu mwenye imani yake ya kawaida kabisaaa ku deal.
Kuna mambo mazito bwana hayo sio mbona.Hayo hata mjini tu wengine tumekutana nayo.
Kuna wale wa visiwan huk mwanza walishawah kuripotiwa wanaingiliwa kimwil kabisa na wachawi wakati wa usiku.
Au sometimes wanakuta vinyesi kitandani..umelala na underwear unaamka mtupu!!acha kabisaaa ...nikahis yatakua matukio kama haya.
Ushauri.
Fanya mpango wahame.Honga ikibidi kwa wadau wa halmashauri hapo wawape ruhusa.
Noma sana[emoji23]Aingie Mozambique achukue Lupatu kwa mzee Lupatu apewe kibao, amalize hao wachawi.
Ofcz kuhonga ni kitu normal sema unaweza kosea kwa kutoangalia nani unamuhonga na una muhonga how!!Simshauri kuhonga, juzi kuna ticha katiwa ndani Tabora alimhonga 90000 katibu tawala ili ahamie Tabora mjini kutoka kijijini
Yesu, Yesu, Yesu kiboko ya kila changamoto katika maisha.
Mwambie aweke sumu ya panya kwenye chakulaRafiki yangu ni mwalimu katika kijiji fulani huko ndani ndani sana mkoa X.
Sasa hicho kijiji kumekuwa na uchawi sana mpaka kero.
Rafiki yangu pamoja na walimu wenzake baadhi hupatwa ma vituko usiku kitu ambacho huleta msongo wa mawazo.
Vibweka hivi ni kama.
1. Sufuria zenye vyakula kukutwa tupu asubuhi ilhali jana zilikuwa na chakula.
2. Kuhisi mtu ama watu kutembea ndani ya nyumba
3. Vishindo mithiri ya watu kukimbizana kwenye dari
4. Mchanga kumwaga kwenye bati
5. Mawe kurushwa kwenye bati.
6. Baadhi ya walimu kuamka miguu ikiwa na vumbi na kadhalika
Sasa anaomba ushauri anawezaje kupata uhamisho
Asije usiku akalishwa...maana wachawi wanaweza mlisha akiwa usingizini😀 ikaleta balaa jingine tenaMwambie jioni apike msosi mtamu sana,afu atie Bromadiolone sumu isiyo na harufu,kesho awahi dispensary kuwajua wabaya wake!
Hiyo michezo ipo mama yetu aliwahi kutuambia miaka ya 80s wakiwa bagamoyo walikuwa wakila wali usiku na ukabaki kidogo wa chai asubuhi... wakiamka asubuhi sufuria ni kama halikupakuliwa usiku mpaka ukoko uko juu.. mambo ya bagamoyo ... miaka hiyo.🤣🤣🤣🤣🤣hio number moja awaulize wenzake vizuri,kuna mtu anaamka usiku na kupitia ubwabwa..ndio huyo huyo wanamsikia akitembea ndani ya nyumba...waweke mtego watamkamata tuu...🤣🤣
Tatizo mambo ya kutegemea binadamu tabu... ukianza kuwategemea hao hata ukikohoa utataka kuwafuata.. Mungu tu ndio mwanzo na mwisho.Kuna fundi mmoja hatari yuko tabora kama itakupendeza nitakuunganisha awasaidie hao walimu, na hata wenye matatizo makazini, mapenzi, biashara na magonjwa huyo mwamba ni moto wa lipread mbali, anafanya mambo leo kesho unaona matokeo,pia hana blah blah wa kuchangachanga chale which is old school.wengi wamesaidiwa humu ila wanapiga kimya hawasemi ili na wengine wapate msaada.
You just make me laugh.nilivyo na roho mbaya, Kama ni mimi nikila chakula kilichobaki naweka sumu. Nikisikia msiba wa ghafla najua mtego umenasa.
ubaya hulipwa kwa ubaya.
Waache unoko mashuleniRafiki yangu ni mwalimu katika kijiji fulani huko ndani ndani sana mkoa X.
Sasa hicho kijiji kumekuwa na uchawi sana mpaka kero.
Rafiki yangu pamoja na walimu wenzake baadhi hupatwa ma vituko usiku kitu ambacho huleta msongo wa mawazo.
Vibweka hivi ni kama.
1. Sufuria zenye vyakula kukutwa tupu asubuhi ilhali jana zilikuwa na chakula.
2. Kuhisi mtu ama watu kutembea ndani ya nyumba
3. Vishindo mithiri ya watu kukimbizana kwenye dari
4. Mchanga kumwaga kwenye bati
5. Mawe kurushwa kwenye bati.
6. Baadhi ya walimu kuamka miguu ikiwa na vumbi na kadhalika
Sasa anaomba ushauri anawezaje kupata uhamisho
Uongo UPI?Acha uongo we jamaa
Mzee huyo fundi inaelekea masterKuna fundi mmoja hatari yuko tabora kama itakupendeza nitakuunganisha awasaidie hao walimu, na hata wenye matatizo makazini, mapenzi, biashara na magonjwa huyo mwamba ni moto wa lipread mbali, anafanya mambo leo kesho unaona matokeo,pia hana blah blah wa kuchangachanga chale which is old school.wengi wamesaidiwa humu ila wanapiga kimya hawasemi ili na wengine wapate msaada.