Namuomba Bashungwa asome hapa kuhusu kero za vitambulisho vya NIDA!!

Namuomba Bashungwa asome hapa kuhusu kero za vitambulisho vya NIDA!!

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Nimemsikililiza waziri Bashungwa alipokuwa anatoa maelekezo kuhusu vitambulisho vya NIDA.

Kwa bahati mbaya hawa mawaziri wetu hawajishughulishi sana kutafuta majibu ya kero halisi za wananchi wa kawaida kabisa.

Kuna changamoto nyingi sana kwenye michakato ya vitambulisho vya NIDA

1. Ni foleni ndefu sana isiyo na tija wala sababu yoyote.

Mfano. Hakuna siku utapita kwenye ofisi za NIDA usikute msululu wa watu kwenye jua kali.
Katika Ulimwengu ulioendelea kwa technology tuliyofikia hatuhitaji huu usumbufu.

2. Kuna wakati hawa maofisa wa NIDA hukosea kujaza taarifa yaani unakuta kitambulisho chako kimejazwa tofauti na majina yako halisi.

Kuna usumbufu mkubwa sana ili ufanye hayo marekebisho.

Kuna wakati ukiwa mkoa wanakwambia uende hadi makao makuu ila ukifika huko unakutana na blabla tu.

3. Kusajili watu wapya ni kwa nini NIDA wasiapdate tu taarifa ya birth certificate ya mtu aliyefikisha miaka 18.?

Naomba waziri atafute kero toka kwa wananchi. Sio tu kutafuta kuuza sura kwenye tv.
 
Nimemsikililiza waziri Bashungwa alipokuwa anatoa maelekezo kuhusu vitambulisho vya NIDA.

Kwa bahati mbaya hawa mawaziri wetu hawajishughulishi sana kutafuta majibu ya kero halisi za wananchi wa kawaida kabisa.

Kuna changamoto nyingi sana kwenye michakato ya vitambulisho vya NIDA

1. Ni foleni ndefu sana isiyo na tija wala sababu yoyote.

Mfano. Hakuna siku utapita kwenye ofisi za NIDA usikute msululu wa watu kwenye jua kali.
Katika Ulimwengu ulioendelea kwa technology tuliyofikia hatuhitaji huu usumbufu.

2. Kuna wakati hawa maofisa wa NIDA hukosea kujaza taarifa yaani unakuta kitambulisho chako kimejazwa tofauti na majina yako halisi.

Kuna usumbufu mkubwa sana ili ufanye hayo marekebisho.

Kuna wakati ukiwa mkoa wanakwambia uende hadi makao makuu ila ukifika huko unakutana na blabla tu.

3. Kusajili watu wapya ni kwa nini NIDA wasiapdate tu taarifa ya birth certificate ya mtu aliyefikisha miaka 18.?

Naomba waziri atafute kero toka kwa wananchi. Sio tu kutafuta kuuza sura kwenye tv.
Changamoto ingine unakuta mtu kapata kitambulisho chake lakini unakuta tayari kimechakaa na baadhi ya maneno hayasomeki kabisa .

Mfano changu kishabanduka sehemu ya jina la mwisho pamoja na mwaka wa kuzaliwa , so shame kwa mamlaka
 
Wana KUGIS (Kagera) wanamsubiria kwa hamu, maana kule ndio kuna mseto ambao umefanya NIDA wachelewe kutoa vitambulisho.

Ukienda Ngara, Mugoma, mtu anasomesha watoto wake Tanzania kwa sababu elimu bure, jioni wanarudi kwao Burundi, walio strategically, wanawaacha mpaka wanapata mkopo wa elimu ya juu. Kisha haooo

Kaisho (Kyerwa) , Karagwe, Minziro,
 
Nimemsikililiza waziri Bashungwa alipokuwa anatoa maelekezo kuhusu vitambulisho vya NIDA.

Kwa bahati mbaya hawa mawaziri wetu hawajishughulishi sana kutafuta majibu ya kero halisi za wananchi wa kawaida kabisa.

Kuna changamoto nyingi sana kwenye michakato ya vitambulisho vya NIDA

1. Ni foleni ndefu sana isiyo na tija wala sababu yoyote.

Mfano. Hakuna siku utapita kwenye ofisi za NIDA usikute msululu wa watu kwenye jua kali.
Katika Ulimwengu ulioendelea kwa technology tuliyofikia hatuhitaji huu usumbufu.

2. Kuna wakati hawa maofisa wa NIDA hukosea kujaza taarifa yaani unakuta kitambulisho chako kimejazwa tofauti na majina yako halisi.

Kuna usumbufu mkubwa sana ili ufanye hayo marekebisho.

Kuna wakati ukiwa mkoa wanakwambia uende hadi makao makuu ila ukifika huko unakutana na blabla tu.

3. Kusajili watu wapya ni kwa nini NIDA wasiapdate tu taarifa ya birth certificate ya mtu aliyefikisha miaka 18.?

Naomba waziri atafute kero toka kwa wananchi. Sio tu kutafuta kuuza sura kwenye tv.
Pia kuna kundi kubwa la watu mitaani hawana vitambulisho vya Taifa kwa sbb ya kutokuwa na vyeti vya kuzaliwa. Hili nalo liangaliwe kwa sasa cheti cha kuzaliwa bila ya elf30 hupati.
 
Pia kuna kundi kubwa la watu mitaani hawana vitambulisho vya Taifa kwa sbb ya kutokuwa na vyeti vya kuzaliwa. Hili nalo liangaliwe kwa sasa cheti cha kuzaliwa bila ya elf30 hupati.
Yaani Iko haja mheshimiwa waziri atenge muda kabisa wa kuketi chini ili kutusikiliza wananchi tunapitia nn na hiyo milolongo ya NIDA
 
Tuko kijima sana.
Yaani wanakera sana coz kuna watu walishaandikisha muda mrefu ila wanaambiwa vitambulisho bado zipo namba tu wakati ukienda baadhi ya mamlaka za serikali hii hii wanakwambia bila nakala halisi ya kitambulisho cha NIDA hutahudumiwa nchi hii sijui Ina matatizo gani!
 
Back
Top Bottom