Namuomba ''rubii'' abadilishe avater yake kwasababu zifuatazo

Namuomba ''rubii'' abadilishe avater yake kwasababu zifuatazo

Eti kuna mdada Avatar yake matata (haina maadili kavaa chupi tu! Mapaja yote wazii). Sasa mie ndio nilikuwa nakuuliza kama wewe umeshaiona?
Sijawahi kuiona. Mi huwa nakuona wewe tu.
 
Habari zenu member woote wa JF,

Kuna member mmoja hivi humu ndani anaitwa rubii mdada huyu avater yake haina maadili kavaa chupi tu! Mapaja yote wazii.Sasa kiustarabu namuomba abadilishe.

Mawazo yangu.
Ni kweli, avatar yenyewe ni hii:
RUBII.jpg
RUBII.jpg
 
Habari zenu member woote wa JF,

Kuna member mmoja hivi humu ndani anaitwa rubii mdada huyu avater yake haina maadili kavaa chupi tu! Mapaja yote wazii.Sasa kiustarabu namuomba abadilishe.

Mawazo yangu.
Mawazo yako ni mazuri lakini kama yanataka kuingilia Uhuru na interest za watu... Acha bhana hizo, sie twapenda hiyo avater.
 
Habari zenu member woote wa JF,

Kuna member mmoja hivi humu ndani anaitwa rubii mdada huyu avater yake haina maadili kavaa chupi tu! Mapaja yote wazii.Sasa kiustarabu namuomba abadilishe.

Mawazo yangu.
umetumia sabuni ?
 
At least roho yangu itatulia sasa maana ile ya mwanzo yenye uso uliojaa batasamu bashasha ilikuwa inanitesa sana
 
Habari zenu member woote wa JF,

Kuna member mmoja hivi humu ndani anaitwa rubii mdada huyu avater yake haina maadili kavaa chupi tu! Mapaja yote wazii.Sasa kiustarabu namuomba abadilishe.

Mawazo yangu.
ungekuwa mstaarabu ungemfuata PM
 
Back
Top Bottom