kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Leo nimesoma comment za wakongo kuhusu Fiston Mayele. Pamoja na kuwa Mayele hapa kwetu tunamuona King wa Goals, kwao Kongo kule kuna watu hawamkubali kabisa na kila akifanya vizuri kazi yao ni kusema ligi ya Tanzania ni dhaifu ndo maana anafanya vizuri.
Ila kinachonishangaza Fiston Mayele kwenye ligi ya Kongo alifunga mabao 14 msimu mzima na kuwa mfungaji namba 2 wa ligi “ngumu”; sasa kwanini wanamuita dhaifu?
Any way nabii hakubaliki kwao. Hata Messi kuna kipindi alitaka kustaafu kwenye timu ya taifa kwasababu ya maneno ya ndugu zake.
Na kingine Kongo kuna ukabila sana. Watoka Kinshasa hawataki watoka Lubumbashi wawe juu na watoka Lubumbashi hawataki watoka Kinshasa wawe juu.
Ila kinachonishangaza Fiston Mayele kwenye ligi ya Kongo alifunga mabao 14 msimu mzima na kuwa mfungaji namba 2 wa ligi “ngumu”; sasa kwanini wanamuita dhaifu?
Any way nabii hakubaliki kwao. Hata Messi kuna kipindi alitaka kustaafu kwenye timu ya taifa kwasababu ya maneno ya ndugu zake.
Na kingine Kongo kuna ukabila sana. Watoka Kinshasa hawataki watoka Lubumbashi wawe juu na watoka Lubumbashi hawataki watoka Kinshasa wawe juu.