Namuona Edgar Devis kwenye damu ya Pappy Tshishimbi

Daaaaah... kuna jamaa alisema ni DHAMBI kufananisha KIPAPLIPAPLI na FURSANA....

Umesema nani na Edgar Davis???
Nipe namba yake "Huyo Jamaa" ili tumsaidie kumtoa umbumbumbu.
 
Matokeo vipi??
Huyu mkongo niwe mkweli yuko vizuri, kiango chake sio cha kuchezea yanga! Yanga watamuharibu!
 
Endelea kubisha, Maana ulibisha msimu wa 2016/17 Yanga hawezi kuwa Bingwa. Ukabisha hata kumtambua Bingwa lakini mwisho wa siku ulimtambua kwa lazima.
Jamaa kaziba pengo la Niyonzima halafu kapitiliza. Ni mtamu kuliko muwa wa mtibwa. Hongera kamati ya Usajili ya yanga.
 
Mkubwa jaribu kuwa serious kidogo,acha kumfananisha mwanadamu na msukule,kumfananisha Davis na Shishibaby ni dharau zilizopitiliza matokeo ya kipimo cha mkojo!
Hajamfananisha. Kasema damu ya Kabanga INA vinasaba na damu ya Edgar.
Labda ni MTU na binamu yake. Edgar ni Msurinam ( black from west africa).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…