Namuona Lokosa kama pacha wa Yikpe

Hapana,sio sawa,hajapata muda wa kucheza,usimhukumu vibaya
 
Japo naelekea kukuelewa ila muda aliotumia unanisuta

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
wabongo wanataka striker awe kama Morrison na Miqsonne,sijui atakuwa anakimbia kuelekea wapi
 
Simba hawajapigwa Kama utopolo walivyopigwa kwa Yikpe ,lokasa alikataa majaribio kama Yikpe Simba akamsajili kwa miezi 6 tena mechi za kimataifa tu ,hiyo miezi 6 ni kumchunguza tu ,angepewa miaka miwili hapo ndo Simba wamepigwa
Mkuu kupigwa ni kupigwa tu ata kama ni mkataba wa masaa matatu,[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Sasa mtu kacheza mexhi moja KWELI.unamuhukumu vipi
Umesahau sisi tukileta mchezaji hata kabla hajacheza tayari mmeshahukumu kuwa ni garasa Mtani?

Hivyo huwa mnawapimaje eti?
 
Unajua yikpe huko alipo ana bao ngapi yeye na molinga na hakuna hata mchezaji mmoja wa yanga aliezifikia
 
Mliopigwa nyinyi mnaoendelea kusajili magarasa kina sarmpong mpaka mnampa nafasi ya mwisho na mmemsajili miaka miwili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…