Namwambiaje huyu binti wa miaka 19 kuwa sina malengo nae?

Namwambiaje huyu binti wa miaka 19 kuwa sina malengo nae?

Mbona kawaida sana hiyo? Wiki mbili ni chache sana. Wewe endelea naye soon akianza kuona rangi halisi atachoka au kuna possibility ataenda kwa rika lake sababu inaonekana wewe umemuacha mbali.


Huu uzi umejaa desperates kinyama au wazazi wengi. Eti unachezea mke mwema. Hahahah! Kuna nafasi kubwa ya kujiokotea under 20 anytime kuliko kuokota dodo chini ya muembe.
 
Muache kusagana. Wanawake siku hizi mnasagana na kuahidiana kuoana kisha mnataka sisi wanaume tuwasaidie kwenye maamuzi?
 
Amani iwe nanyi Wana JF, ipo hivi: nipo kwenye mahusiano na binti mmoja hapa mtaani kwetu. Tumekuwa tukidate kwa wiki mbili sasa. Mwanzoni alionekana mgumu sana kunielewa, lakini baada ya kukaza juhudi, hatimaye alinikubali.

Katika jitihada za kumshawishi, nilimuahidi kumuoa, na hapo ndipo nilipojichanganya, maana aliamini nitamuoa kweli. Lengo langu halikuwa hilo; nilikusudia kupita tu, na tayari nimeshafanikisha hilo. Hata usiku wa leo amelala kwangu.

Tatizo ni kwamba binti huyu amenipenda kupita kiasi, lakini mimi sina mpango naye. Ni binti mdogo mwenye umri wa miaka 19 tu. Sasa sijui nianzie wapi kumweleza kwamba sina malengo naye, bila kumuumiza.

Naomba mawazo yenu Wana JF, ushauri wenu ni muhimu.
Du uhuru huu wa kuzungumza chochote ni hatari
 
Ajakupenda Ila anapenda Ndoa tu. Alafu wacha kufukuzia msichana muda mrefu na kudanganya Ndoa izo swaga za kizamani.
 
Amani iwe nanyi Wana JF, ipo hivi: nipo kwenye mahusiano na binti mmoja hapa mtaani kwetu. Tumekuwa tukidate kwa wiki mbili sasa. Mwanzoni alionekana mgumu sana kunielewa, lakini baada ya kukaza juhudi, hatimaye alinikubali.

Katika jitihada za kumshawishi, nilimuahidi kumuoa, na hapo ndipo nilipojichanganya, maana aliamini nitamuoa kweli. Lengo langu halikuwa hilo; nilikusudia kupita tu, na tayari nimeshafanikisha hilo. Hata usiku wa leo amelala kwangu.

Tatizo ni kwamba binti huyu amenipenda kupita kiasi, lakini mimi sina mpango naye. Ni binti mdogo mwenye umri wa miaka 19 tu. Sasa sijui nianzie wapi kumweleza kwamba sina malengo naye, bila kumuumiza.

Naomba mawazo yenu Wana JF, ushauri wenu ni muhimu.
Ufumbuzi wa hiyo shida yako,ni rahisi sana muoe tu kama ulivyomuahidi,kumbuka ahadi ni deni
 
Back
Top Bottom