Namwambiaje huyu binti wa miaka 19 kuwa sina malengo nae?

Namwambiaje huyu binti wa miaka 19 kuwa sina malengo nae?

Bint ni mzuri tu,tatzo sijawa tayari kuoa kwa sasahiv
Huyo binti utakuja mkumbuka, au ndo kusema unasubiri upate hela ndo uoe,

ukweli ni kwamba uyo binti hujampenda kihivyo, ungekua umempenda sana, ungemsajili fasta hata kama bado unakula na kulala kwa wazazi wako Rajabmbisha
 
Muombe kule kusiko ombeka najua atakataa then iyo ndio iwe sababu ya kumtema. Sema Vitoto vya siku hizi vina laana si ajabu kikakupa.
 
Hiyo imewahi kunitokea kuna binti nilimtongoza kimasihara ila yeye akazama mazima, akawa akija ghetto ananifulia ananipikia ananyoosha nguo zangu yaani full wife material, nikamwambia ntamuoa basi alifurahi kweli, nikawa najifanya husband material akiomba chochote nampatia kwa wakati, namnunulia zawadi za kila namna ila kiukweli sikuwahi kumpenda kabisa nilikuwa mpita njia tu, nilikuja kumwacha
 
Form four wamemaliza Mitihani Yao so wapo kila kona
 
Amani iwe nanyi Wana JF, ipo hivi: nipo kwenye mahusiano na binti mmoja hapa mtaani kwetu. Tumekuwa tukidate kwa wiki mbili sasa. Mwanzoni alionekana mgumu sana kunielewa, lakini baada ya kukaza juhudi, hatimaye alinikubali.

Katika jitihada za kumshawishi, nilimuahidi kumuoa, na hapo ndipo nilipojichanganya, maana aliamini nitamuoa kweli. Lengo langu halikuwa hilo; nilikusudia kupita tu, na tayari nimeshafanikisha hilo. Hata usiku wa leo amelala kwangu.

Tatizo ni kwamba binti huyu amenipenda kupita kiasi, lakini mimi sina mpango naye. Ni binti mdogo mwenye umri wa miaka 19 tu. Sasa sijui nianzie wapi kumweleza kwamba sina malengo naye, bila kumuumiza.

Naomba mawazo yenu Wana JF, ushauri wenu ni muhimu.
Embu nipe namba yake PM me nimuoe , subir uzae wa kwako wa kike uone.
kama ni muslim sukuma namba PM.
 
Sisi ma senior enzi hizo tushazipitia sana. Ila madem wa mtaa mmoja hizo swaga tulikuwa hatuwambii eti nitakuoa unawaambia wa ng'ambo huko ukila unasepa mazima!! Kumbuka enzi zetu hata simu hazikuwepo. Ni mwendo wa mguu Kwa mguu.
 
Hiyo imewahi kunitokea kuna binti nilimtongoza kimasihara ila yeye akazama mazima, akawa akija ghetto ananifulia ananipikia ananyoosha nguo zangu yaani full wife material, nikamwambia ntamuoa basi alifurahi kweli, nikawa najifanya husband material akiomba chochote nampatia kwa wakati, namnunulia zawadi za kila namna ila kiukweli sikuwahi kumpenda kabisa nilikuwa mpita njia tu, nilikuja kumwacha
Kweli bro,hata huyu nashangaa sikutegemea Kama angezams hivi
 
Huyo binti utakuja mkumbuka, au ndo kusema unasubiri upate hela ndo uoe,

ukweli ni kwamba uyo binti hujampenda kihivyo, ungekua umempenda sana, ungemsajili fasta hata kama bado unakula na kulala kwa wazazi wako Rajabmbisha
Ni kweli,moyo Wang huja kubal kihivyo
 
Back
Top Bottom