Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana naeBikra sijakuta bro
Ni vitamu kweli joto la kutosha,kitu inabana huchukui mda unakojoaMzee unafaidi kweli hivyo vitoto vitamu sana
Nakutumia Sasa hivi,acha pm yako waziHebu ni PM namba yake mkuu nikusaidie kumwambia
Nasubiri mkuuNakutumia Sasa hivi,acha pm yako wazi
Wewe una miaka mingapi?Bikra sikuikuta
Pumbavu kabisa wwAmani iwe nanyi Wana JF, ipo hivi: nipo kwenye mahusiano na binti mmoja hapa mtaani kwetu. Tumekuwa tukidate kwa wiki mbili sasa. Mwanzoni alionekana mgumu sana kunielewa, lakini baada ya kukaza juhudi, hatimaye alinikubali.
Katika jitihada za kumshawishi, nilimuahidi kumuoa, na hapo ndipo nilipojichanganya, maana aliamini nitamuoa kweli. Lengo langu halikuwa hilo; nilikusudia kupita tu, na tayari nimeshafanikisha hilo. Hata usiku wa leo amelala kwangu.
Tatizo ni kwamba binti huyu amenipenda kupita kiasi, lakini mimi sina mpango naye. Ni binti mdogo mwenye umri wa miaka 19 tu. Sasa sijui nianzie wapi kumweleza kwamba sina malengo naye, bila kumuumiza.
Naomba mawazo yenu Wana JF, ushauri wenu ni muhimu.
27Wewe una miaka mingapi?
Wewe una miaka mingapi?...mbona hujibu?Amani iwe nanyi Wana JF, ipo hivi: nipo kwenye mahusiano na binti mmoja hapa mtaani kwetu. Tumekuwa tukidate kwa wiki mbili sasa. Mwanzoni alionekana mgumu sana kunielewa, lakini baada ya kukaza juhudi, hatimaye alinikubali.
Katika jitihada za kumshawishi, nilimuahidi kumuoa, na hapo ndipo nilipojichanganya, maana aliamini nitamuoa kweli. Lengo langu halikuwa hilo; nilikusudia kupita tu, na tayari nimeshafanikisha hilo. Hata usiku wa leo amelala kwangu.
Tatizo ni kwamba binti huyu amenipenda kupita kiasi, lakini mimi sina mpango naye. Ni binti mdogo mwenye umri wa miaka 19 tu. Sasa sijui nianzie wapi kumweleza kwamba sina malengo naye, bila kumuumiza.
Naomba mawazo yenu Wana JF, ushauri wenu ni muhimu.
Kisheti ndio nini ma urassa?Naimani nawe una miaka 19mkuu kama sio basi utakuwa mtu mzima kisheti
Ndio ndio, soon tunatimba kama kawa🤣🤣🤣Ule uzi wa mad max naona karibu uanze kutembea
Demu kabla ya kukukubalia anakuuliza "una malengo gani kwanza na Mimi?"Hivi huwa mnaawahidi kuwaoa ili iweje
Na ndio kashahamia na kazi kafukuzwa hapo kwa mama muuza dagaaNiliamini nitampata kiurahisi,najilaum Bora ningemuambia ukweli tu
Kwanini umemla halafu hutaki kumuoa, kimuonekano binti sio mzuri au? RajabmbishaBikra sijakuta bro
Bint ni mzuri tu,tatzo sijawa tayari kuoa kwa sasahivKwanini umemla halafu hutaki kumuoa, kimuonekano binti sio mzuri au? Rajabmbisha
Huyu manzi anitendea wema Sana,penzi napewa mda wote ninaotaka,Kuna namna ameweka matarajio makubwa kwangu afu ndo Kama hivyo mim sielewekiwe nawe kiazi , eti bila kumuumiza ...
Nahofia kumpotezea mda wakeKuleni tu Raha kwa muda huu yatajulikana mbeleni
Nini Tena maadamuOna hili furushi nalo🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️