Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Na unatoka na vitoto vidogo ili iweje?
Wazee wenzako huwaezi tafuta pesa
Wazee wenzako huwaezi tafuta pesa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona kulikua na njia nyingi za kumpata kilaini halafu ukichangia ni mtoto wa 2000 akili bado ndogoNiliamini nitampata kiurahisi,najilaum Bora ningemuambia ukweli tu
Sasa kwa nini hukufikiria hivyo kabla ya kumwambia utamuoa?Kiukweli Bado sijaweka mazingira sawa,nahisi nitmpotezea tu mda wake
Upo japo bikr haipo,lakini Bado hajatumika sanaUmkuta utamu haupo?
Ni kweli anaweza kutengeza uadui,ila sikutegemea Kama angeonesha upendo hivi,Sasa kwa nini hukufikiria hivyo kabla ya kumwambia utamuoa?
Anaweza kukuganda kama luba mpaka umchukie huyo.
Na ukimuacha anaweza kutengeneza uadui.
Ulitegemea awe malaya malaya kama wewe tu?Ni kweli anaweza kutengeza uadui,ila sikutegemea Kama angeonesha upendo hivi,
Ni mtoto ndyo na wa kwake wataharibiwa hivyohvyoKwa mtazamo wangu, huyo si binti, ni mtoto, mdogo angu acha uharibifu kwa watoto wetu, si jambo jema hata kidogo
Nadhani sikufikiria vizuri,najilaum Sana,Mbona kulikua na njia nyingi za kumpata kilaini halafu ukichangia ni mtoto wa 2000 akili bado ndogo
Sawa ila ndio amefika kilingeni hapa anataka unga wa ndele ili anachosema umsikilize yeye tu hata ndugu zako husiwasikilize..Amani iwe nanyi Wana JF, ipo hivi: nipo kwenye mahusiano na binti mmoja hapa mtaani kwetu. Tumekuwa tukidate kwa wiki mbili sasa. Mwanzoni alionekana mgumu sana kunielewa, lakini baada ya kukaza juhudi, hatimaye alinikubali.
Katika jitihada za kumshawishi, nilimuahidi kumuoa, na hapo ndipo nilipojichanganya, maana aliamini nitamuoa kweli. Lengo langu halikuwa hilo; nilikusudia kupita tu, na tayari nimeshafanikisha hilo. Hata usiku wa leo amelala kwangu.
Tatizo ni kwamba binti huyu amenipenda kupita kiasi, lakini mimi sina mpango naye. Ni binti mdogo mwenye umri wa miaka 19 tu. Sasa sijui nianzie wapi kumweleza kwamba sina malengo naye, bila kumuumiza.
Naomba mawazo yenu Wana JF, ushauri wenu ni muhimu.
unasema ulifanya juhudi kubwa sana kumpata na ukampata right?Amani iwe nanyi Wana JF, ipo hivi: nipo kwenye mahusiano na binti mmoja hapa mtaani kwetu. Tumekuwa tukidate kwa wiki mbili sasa. Mwanzoni alionekana mgumu sana kunielewa, lakini baada ya kukaza juhudi, hatimaye alinikubali.
Katika jitihada za kumshawishi, nilimuahidi kumuoa, na hapo ndipo nilipojichanganya, maana aliamini nitamuoa kweli. Lengo langu halikuwa hilo; nilikusudia kupita tu, na tayari nimeshafanikisha hilo. Hata usiku wa leo amelala kwangu.
Tatizo ni kwamba binti huyu amenipenda kupita kiasi, lakini mimi sina mpango naye. Ni binti mdogo mwenye umri wa miaka 19 tu. Sasa sijui nianzie wapi kumweleza kwamba sina malengo naye, bila kumuumiza.
Naomba mawazo yenu Wana JF, ushauri wenu ni muhimu.
Acha tu bro,sijui hata nafanyaje,ila nitamuambia ukweli tu ili nisiendelee kumpotezea mda wakeUlitegemea awe malaya malaya kama wewe tu?
Kwakwel sijui naanzaje kuvua nguo zangu na kumuonyesha uchi mtoto wa miaka 19 katika 35 hii!!?!!.. cant imagine that aisee. Not fair kabisaaNi mtoto ndyo na wa kwake wataharibiwa hivyohvyo
Bikra sikuikutaUlimkuta ni zero kilometer au alikuwa ashasepa na kadhaa?