Antonio de Guzman
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 7,090
- 13,511
Wasichana wengi umri huo washamaliza shule so dogo aoe tuMaana yake huyo ni mwanafunzi wa either form two au form three
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasichana wengi umri huo washamaliza shule so dogo aoe tuMaana yake huyo ni mwanafunzi wa either form two au form three
Sasa hapo mjomba unajihangaisha na niniBikra sikuikuta
Asante kwa ushaur wako broMpotezee tu, ikikulazimu muambie ukweli.
Unamkuza huyo, kwenye haya maisha ili ukomae vizuri unahitaji kuumia mara kadhaa.
Usijilize lize, mambo ya karma sijui dada yako atafanyiwa hivyo ni fikra za kipuuzi.
Simaanishi hujafanya kosa, umefanya. Usilirudie tena, na ukilirudia basi isiwe kwa mtindo huu....
Ona hili furushi nalo🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Jinsi ulivyoweza kukaza juhudi na binti akakukubali, vivyo hivyo kaza juhudi za kutoka kwenye box.Amani iwe nanyi Wana JF, ipo hivi: nipo kwenye mahusiano na binti mmoja hapa mtaani kwetu. Tumekuwa tukidate kwa wiki mbili sasa. Mwanzoni alionekana mgumu sana kunielewa, lakini baada ya kukaza juhudi, hatimaye alinikubali.
Katika jitihada za kumshawishi, nilimuahidi kumuoa, na hapo ndipo nilipojichanganya, maana aliamini nitamuoa kweli. Lengo langu halikuwa hilo; nilikusudia kupita tu, na tayari nimeshafanikisha hilo. Hata usiku wa leo amelala kwangu.
Tatizo ni kwamba binti huyu amenipenda kupita kiasi, lakini mimi sina mpango naye. Ni binti mdogo mwenye umri wa miaka 19 tu. Sasa sijui nianzie wapi kumweleza kwamba sina malengo naye, bila kumuumiza.
Naomba mawazo yenu Wana JF, ushauri wenu ni muhimu.
Hana mpango nae ila ana mpango wa kutafuna mbususu yake tuWasichana wengi umri huo washamaliza shule so dogo aoe tu
Nitafanya hivyo japo najua ataumia sanaSasa hapo mjomba unajihangaisha na nini
Sepa na kijiji tu kama walivosepa wengine
Una huruma sana na wanawake kijana..
Nitafanya hivyo japo najua ataumia sana
27Wewe una miaka mingapi?
Kwa umri huo nakushauri utafute mwanamke wa kuoa, Hizo mambo achana nazo sasa, Tafuta mwanamke sahihi weka ndani....
Ni kweli sitakiwi kuwa na huruma na Hawa viumbe,lakini huyu binti Hana kosa lolote,hana tamaa na hela,afu kipochi napewa mda wowoteUna huruma sana na wanawake kijana..
Hivo viumbe ukivihofia kuviumiza UTAUMIA WEWE. Sasa chagua wewe kati ya hizo options mbili
Hata huyu Niko nae Hana tatzo,nitaufikiria ushauriKwa umri huo nakushauri utafute mwanamke wa kuoa, Hizo mambo achana nazo sasa, Tafuta mwanamke sahihi weka ndani....
Sawa.Ni kweli sitakiwi kuwa na huruma na Hawa viumbe,lakini huyu binti Hana kosa lolote,hana tamaa na hela,afu kipochi napewa mda wowote
Mpige matukio tu, atajiondoa mwnyeweAmani iwe nanyi Wana JF, ipo hivi: nipo kwenye mahusiano na binti mmoja hapa mtaani kwetu. Tumekuwa tukidate kwa wiki mbili sasa. Mwanzoni alionekana mgumu sana kunielewa, lakini baada ya kukaza juhudi, hatimaye alinikubali.
Katika jitihada za kumshawishi, nilimuahidi kumuoa, na hapo ndipo nilipojichanganya, maana aliamini nitamuoa kweli. Lengo langu halikuwa hilo; nilikusudia kupita tu, na tayari nimeshafanikisha hilo. Hata usiku wa leo amelala kwangu.
Tatizo ni kwamba binti huyu amenipenda kupita kiasi, lakini mimi sina mpango naye. Ni binti mdogo mwenye umri wa miaka 19 tu. Sasa sijui nianzie wapi kumweleza kwamba sina malengo naye, bila kumuumiza.
Naomba mawazo yenu Wana JF, ushauri wenu ni muhimu.
Uzuri na wewe utakujaga kuwa na Binti shekhe, ni hayo tuAmani iwe nanyi Wana JF, ipo hivi: nipo kwenye mahusiano na binti mmoja hapa mtaani kwetu. Tumekuwa tukidate kwa wiki mbili sasa. Mwanzoni alionekana mgumu sana kunielewa, lakini baada ya kukaza juhudi, hatimaye alinikubali.
Katika jitihada za kumshawishi, nilimuahidi kumuoa, na hapo ndipo nilipojichanganya, maana aliamini nitamuoa kweli. Lengo langu halikuwa hilo; nilikusudia kupita tu, na tayari nimeshafanikisha hilo. Hata usiku wa leo amelala kwangu.
Tatizo ni kwamba binti huyu amenipenda kupita kiasi, lakini mimi sina mpango naye. Ni binti mdogo mwenye umri wa miaka 19 tu. Sasa sijui nianzie wapi kumweleza kwamba sina malengo naye, bila kumuumiza.
Naomba mawazo yenu Wana JF, ushauri wenu ni muhimu.
Mzee unafaidi kweli hivyo vitoto vitamu sanaNi binti mdogo mwenye umri wa miaka 19 tu.
Hawezi kuumia mwanamke akishapoteza bikra hana cha kupoteza duniani kama heartbreak kashazoea
Nitafanya hivyo japo najua ataumia sana
Bikra sijakuta broKama ulimkuta bikira oa mkuu, lakini kama ulimkuta used na hauna ujasiri wa kumtema wewe kata mawasiliano, mpige matukio yeye mwenyewe atajiongeza