Namwambiaje huyu binti wa miaka 19 kuwa sina malengo nae?

Namwambiaje huyu binti wa miaka 19 kuwa sina malengo nae?

A
Mpotezee tu, ikikulazimu muambie ukweli.

Unamkuza huyo, kwenye haya maisha ili ukomae vizuri unahitaji kuumia mara kadhaa.

Usijilize lize, mambo ya karma sijui dada yako atafanyiwa hivyo ni fikra za kipuuzi.

Simaanishi hujafanya kosa, umefanya. Usilirudie tena, na ukilirudia basi isiwe kwa mtindo huu....
Asante kwa ushaur wako bro
 
Amani iwe nanyi Wana JF, ipo hivi: nipo kwenye mahusiano na binti mmoja hapa mtaani kwetu. Tumekuwa tukidate kwa wiki mbili sasa. Mwanzoni alionekana mgumu sana kunielewa, lakini baada ya kukaza juhudi, hatimaye alinikubali.

Katika jitihada za kumshawishi, nilimuahidi kumuoa, na hapo ndipo nilipojichanganya, maana aliamini nitamuoa kweli. Lengo langu halikuwa hilo; nilikusudia kupita tu, na tayari nimeshafanikisha hilo. Hata usiku wa leo amelala kwangu.

Tatizo ni kwamba binti huyu amenipenda kupita kiasi, lakini mimi sina mpango naye. Ni binti mdogo mwenye umri wa miaka 19 tu. Sasa sijui nianzie wapi kumweleza kwamba sina malengo naye, bila kumuumiza.

Naomba mawazo yenu Wana JF, ushauri wenu ni muhimu.
Jinsi ulivyoweza kukaza juhudi na binti akakukubali, vivyo hivyo kaza juhudi za kutoka kwenye box.
Ukijua pa kuingilia na ujue pia pa kutokea.
 
Amani iwe nanyi Wana JF, ipo hivi: nipo kwenye mahusiano na binti mmoja hapa mtaani kwetu. Tumekuwa tukidate kwa wiki mbili sasa. Mwanzoni alionekana mgumu sana kunielewa, lakini baada ya kukaza juhudi, hatimaye alinikubali.

Katika jitihada za kumshawishi, nilimuahidi kumuoa, na hapo ndipo nilipojichanganya, maana aliamini nitamuoa kweli. Lengo langu halikuwa hilo; nilikusudia kupita tu, na tayari nimeshafanikisha hilo. Hata usiku wa leo amelala kwangu.

Tatizo ni kwamba binti huyu amenipenda kupita kiasi, lakini mimi sina mpango naye. Ni binti mdogo mwenye umri wa miaka 19 tu. Sasa sijui nianzie wapi kumweleza kwamba sina malengo naye, bila kumuumiza.

Naomba mawazo yenu Wana JF, ushauri wenu ni muhimu.
Mpige matukio tu, atajiondoa mwnyewe
 
Amani iwe nanyi Wana JF, ipo hivi: nipo kwenye mahusiano na binti mmoja hapa mtaani kwetu. Tumekuwa tukidate kwa wiki mbili sasa. Mwanzoni alionekana mgumu sana kunielewa, lakini baada ya kukaza juhudi, hatimaye alinikubali.

Katika jitihada za kumshawishi, nilimuahidi kumuoa, na hapo ndipo nilipojichanganya, maana aliamini nitamuoa kweli. Lengo langu halikuwa hilo; nilikusudia kupita tu, na tayari nimeshafanikisha hilo. Hata usiku wa leo amelala kwangu.

Tatizo ni kwamba binti huyu amenipenda kupita kiasi, lakini mimi sina mpango naye. Ni binti mdogo mwenye umri wa miaka 19 tu. Sasa sijui nianzie wapi kumweleza kwamba sina malengo naye, bila kumuumiza.

Naomba mawazo yenu Wana JF, ushauri wenu ni muhimu.
Uzuri na wewe utakujaga kuwa na Binti shekhe, ni hayo tu
 
Kama ulimkuta bikira oa mkuu, lakini kama ulimkuta used na hauna ujasiri wa kumtema wewe kata mawasiliano, mpige matukio yeye mwenyewe atajiongeza
 
Back
Top Bottom