MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Ameshatufanya tusahau Sakata la Mbowe, Ugaidi na Makomandoo wake na sasa tujikite zaidi katika Sakata la wana CCM wanaopendana akina Polepole, Nnauye na Bulembo lakini wenye Akili fupi tunafurahia na kudhani wana Ugomvi ( a.k.a ) Bifu.
Na hapa ndipo ninapoisifu Idara ya Mpare ya pale Makao Msaada Kontena Oysterbay kwa kuwa na Watu Mahiri ambao tayari wameshazijua, wamezishika Akili za Watanzania wote ( ukiniondoa Mimi KEROZENE tu ) mpaka kujua zinapoishia na ndiyo maana wanaziongoza watakavyo.
Na nasikia kuna 'Spinning' nyingine iko Jikoni inaandaliwa ili Kulifunga na Kulifunika hili la sasa ili la Mbowe sasa lisahaulike kabisa ili hata Hukumu yake ikitoka tusiipe sana Kipaumbele na tujikite katika hilo linaloandaliwa Kiufundi na Kimkakati kwa sasa.
Namtafuta mno Yule Rais wa Jirani aliyemwabia Rais wa Nchi nyingine ( nimeisahau Jina ) kuwa anaongoza Maiti tupu ambazo haziitambui na kwamba ndiyo maana hata nchi yake ipo ipo tu na haipigi hatua za Kimaendeleo kiasi kwamba hata Yeye na nchi yake hiyo pamoja na kupitia Changamoto nyingi za Kivita na Mauwaji ila wameshaiacha pakubwa hiyo nchi.
Na hapa ndipo ninapoisifu Idara ya Mpare ya pale Makao Msaada Kontena Oysterbay kwa kuwa na Watu Mahiri ambao tayari wameshazijua, wamezishika Akili za Watanzania wote ( ukiniondoa Mimi KEROZENE tu ) mpaka kujua zinapoishia na ndiyo maana wanaziongoza watakavyo.
Na nasikia kuna 'Spinning' nyingine iko Jikoni inaandaliwa ili Kulifunga na Kulifunika hili la sasa ili la Mbowe sasa lisahaulike kabisa ili hata Hukumu yake ikitoka tusiipe sana Kipaumbele na tujikite katika hilo linaloandaliwa Kiufundi na Kimkakati kwa sasa.
Namtafuta mno Yule Rais wa Jirani aliyemwabia Rais wa Nchi nyingine ( nimeisahau Jina ) kuwa anaongoza Maiti tupu ambazo haziitambui na kwamba ndiyo maana hata nchi yake ipo ipo tu na haipigi hatua za Kimaendeleo kiasi kwamba hata Yeye na nchi yake hiyo pamoja na kupitia Changamoto nyingi za Kivita na Mauwaji ila wameshaiacha pakubwa hiyo nchi.