Namwonea huruma nimsaidiaje huyu mwanamke?

Namwonea huruma nimsaidiaje huyu mwanamke?

unataka kumwoa ama? Namba ya nini unataka? Ama nawe ni yaleyale kutaka kumsaidia kama mie?

Mi namsaidia tu. Aki'mind huduma sio mbaya tutaelewana. Uzuri ni kuwa mi bachela, wewe umeoa. Niachie mzigo huo..tena nnavyopenda wadogo wadogo!
 
Mmmh mkuu! Hiyo siyo huruma ila tamaa na uzinzi umekutawala tu!!! :A S-coffee:
Nakushauri usijaribu kutembea na huyo dada.
Tunza familia yako
 
....yaaani miezi 4 tu kufiwa na mume huyo mdada tayari anatafuta mwanaume, mapenzi haya!! Kama kweli alikuwa na mapenzi kwa mumewe hata kama mume kafariki sidhani hata kama angekuwa na hamu na mwanaume mapema hivi. Miezi 4 kweli unaweza kumsahau mumeo mliokuwa mnashare almost kila kitu?

Na wewe hebu tulia na mkeo na watoto wako.......story nyingine bana utafikiri mchezo wa kuigiza vile.
 
safi sana, hata alshabab alianza kwa kuchoma toroli.

Jilipue tu si kila mtu anatakiwa kuandika historia ni wachache kama wewe na Mkwawa.
 
Hana mtu tena wewe ndie mwanaume pekee uliyebaki duniani?Kama unataka kuendekeza kutoka nje ya ndoa fanya bila visingizio visivyo na kichwa wala vidole.

Hehehe mzuri ehhhh?Mkeo ye mbaya?

kwa tamaa aliyonayo, lazima ajikoseshe hilo swali hapo kwenye nyekundu...
wanaume tunajikaanga na mafuta yetu wenyewe, jali familia yako kaka achana na huyo mjane...
 
Unauliza makofi polisi??!!!!!

Fanya tukio lako la maana, tena mzalishe mpate na kumbukumbu. Nature lazima ibalansi ujue na sensa inaonesha wanamme ni wachache kuliko wanawake.

duh! Kongosho Bwana!
 
Unauliza makofi polisi??!!!!!

Fanya tukio lako la maana, tena mzalishe mpate na kumbukumbu. Nature lazima ibalansi ujue na sensa inaonesha wanamme ni wachache kuliko wanawake.

Hizi comments akimmega kweli kadhamiria mi napita tu..HONGERA kongosho mpe Maukweli huyu ki...dee..ndaa
 
Eti mume wake kafa na ajali; kwa hiyo??? Angekufa na malaria??? Ha ha ha! Unajidanganya kuwa waliofiwa na waume zao kwa ajali basi hawana HIV. Kaka leo ni tarehe 1 December hatutaki kupoteza wazembe kama nyie! Hata wenye HIV wanakufa vifo vingine zinduka! We mwanamke gani miezi minne tu toka mmewe kafa keshaanza kuwashwa huko chini? Huyo alishazoea mechi za mchangani gusa unate.
:juggle:
 
Hizi comments akimmega kweli kadhamiria mi napita tu..HONGERA kongosho mpe Maukweli huyu ki...dee..ndaa

kashengo nimeshapata mawaidha nayafanyia kazi, yakinishinda nitaamua moja nidunge kwa uangalifu na ku-run
 
Wana jf, naomba mnipe ushauri. Mimi kijana wa kama 35 yrs nina mke na 2kids. Imetokea kuna dada 1 ana umri wa kama 30yrs, amefiwa na mume kw ajali ya gari kama miezi 4 imepita, na walikua namtoto mmoja. Kwa bahati nzuri au mbaya huyu dada tunafanyakazi ofcsi moja na pia tunaishi mtaa mmoja. Ukweli ni kuwa hatukuwahi kuwa na mahusiano ya mapenzi kabla lkn baada ya kumpoteza mumewe amekua mpweke sana anawasiliana nami mara kw mara, ht nisipokua ofcn anajitahdi sana kupiga simu. Sasa anaomba niwe naye karibu kumsaidia ktk kubalance nature, nami nikimchek kweli najawa na huruma na natamani nimkubalie kwani ndo hvyo hana mtu tena. Ila ndo hvyo mie nina mke wangu tunapendana sn. Kwa kuwa nafanya nae ofc moja wanafahamiana pia na wife. Je! Nimkubalie huyu dada kumtimizia mahtaji kwa kumbanjua ama vp? Ni mtihani kwangu kwa vle dem ni mdogodogo flani halafu ni mzuri pia.

kwani ktk hiyo mawasiliano amekuomba mapenzi? au anawasiliana tu kawaida? kama hajakuomba mapenzi , usimkimbie, unachoweza kufanya ni kuwa nae karibu na kumchanganya na marafiki wengine wa kiume- hususan wasiooa. ukifanya hivyo atapata nafasi ya ku explore hawa wengine, kama kweli anatafuta replacememt. naamini ukifanya hivyo itamsaidia huyo mama hata kumpata mtu mwenye msimamo, hapa ninamaanisha kuwa kama ni watu wanaokuzunguka wewe manake watafanana na wewe, kama kweli unatabia njema.

angalizo; usimtafsiri vibaya eti anataka ukaribu wa mapenzi, huenda anakuwa wazi kwako kukueleza gap anayoiona kwa kumkosa mumewe nawe ukadhani anamaanisha wewe ndo uwe replacement. ni vizuri tukawaelewa wenye matatizo na kuwasaidia.Kama anakutaka kwakukwambia kwa kinywa chake, basi ni swala la kumuelewesha tu kuwa haiwezekani kwani haita msaidia yeye wala wewe
 
kwani ktk hiyo mawasiliano amekuomba mapenzi? au anawasiliana tu kawaida? kama hajakuomba mapenzi , usimkimbie, unachoweza kufanya ni kuwa nae karibu na kumchanganya na marafiki wengine wa kiume- hususan wasiooa. ukifanya hivyo atapata nafasi ya ku explore hawa wengine, kama kweli anatafuta replacememt. naamini ukifanya hivyo itamsaidia huyo mama hata kumpata mtu mwenye msimamo, hapa ninamaanisha kuwa kama ni watu wanaokuzunguka wewe manake watafanana na wewe, kama kweli unatabia njema.

angalizo; usimtafsiri vibaya eti anataka ukaribu wa mapenzi, huenda anakuwa wazi kwako kukueleza gap anayoiona kwa kumkosa mumewe nawe ukadhani anamaanisha wewe ndo uwe replacement. ni vizuri tukawaelewa wenye matatizo na kuwasaidia.Kama anakutaka kwakukwambia kwa kinywa chake, basi ni swala la kumuelewesha tu kuwa haiwezekani kwani haita msaidia yeye wala wewe

This is great! Noted with thanks!!
 
Ukishaona umeshawishika na ikakubidi kufanya naye ngono basi ujue kuna uwezekano nature ikamwondoa mkeo duniani(kama ilivyomuondoa mme wa huyo rafikiyo) ili wote muwe wajane mfaidi ngono.Huko ndo kubalance nature mnakokutafuta Kijukuu.
 
ninacho kiona hapa unatutangazi what you are planning to do in future basi, au sababu zilizo kufanya ufanye hayo uliyoyafanya kwa siri
 
ninacho kiona hapa unatutangazi what you are planning to do in future basi, au sababu zilizo kufanya ufanye hayo uliyoyafanya kwa siri

Thank u Double Chriss. For real nothing done yet, and with all these comments I dont think doing anything of that sort.
 
Hana mtu tena wewe ndie mwanaume pekee uliyebaki duniani?Kama unataka kuendekeza kutoka nje ya ndoa fanya bila visingizio visivyo na kichwa wala vidole.

Hehehe mzuri ehhhh?Mkeo ye mbaya?

mkwe tamaa imemshika analeta visingizio vya hapa na pale mara namwonea huruma amebaki mpweke khaaa wanaume bwana............ghafla mkewe anasura ya masoud
 
Msaidie kwa kumpa kampani mpaka pale atakapopata mwenzake! but u have to be very careful, chukulia kama ni rafiki yako kwani kufanya mapenzi lazima? hakuna faida yoyote
 
Back
Top Bottom