Namwonea huruma nimsaidiaje huyu mwanamke?


wewe unaovyoongea unaonekana kabisa ukitoka hapa unaenda kula tunda sina imani nawe hata kidogo
 
Katika maisha yangu nilishakutana n mkasa unafanana kwa mbalii na wako lakini nilichoexpirience sitakaa nirudie kamwe kitu kama hicho hata kama mzuri kama malaika pale ambapo ikitokea ni mtu tupo ktk roof moja officn au kokote! Ndugu yangu mshauri vyema huyo dada awe mvumilivu pia usjifanye kumpotezea sanaaa lakini jifanye unamjali ila with great care.to avoil a lifetime messssssssssssssssss
 
thanx Vonix. Noted pls. Ubarikiwe
 

Nicolson nimekupata vizuri. Thanx
 
wanaume mna kazi kwani wanaume dunia nzima hawapo umebakia wewe tu?
vitamaa tu vinakutesa na sio huruma

FirstLady1 hapo nami ndo najikuta njiapanda,kwa kuwa najiuliza huenda mimi nikawa ndo huyo mwanamume. But ushauri wa magwiji hapa Jf umenifundisha mengi. Nitapiga vita sana coz dhamira yangu imekua active. Thanx
 

Mkuu Osaka nimekupata vyema! Thanx
 

noted please with thanx!
 
we c baba huruma haya muhurumie na mkeo naye atamhurumia mkaka naye aliye fiwa na mkewe cku moja mana mla naye huliwa(humegewa)
 
Wewe tayari ushafanya maamuzi au huenda tayari ushambanjua hapa unatutafutia dhambi tu,achana na hiyo kitu kabisa ukionja huachi na hivi yuko offisini ndo kabsaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa unajisevia tu.
 
Wewe si una mke ana umesema mnapendana? Tamaa za nini? Imagine kama na mkeo angeamua kufanya similar thing kwa jirani yako aliyefiwa na mkewe, ungukubali??
Tafakari kaka!
 
kama ww ni mzinzi usitafute kutuhusisha katika uzinzi wako. kila aziniye na mwanamke ambaye sio mke wake hana akili na adhabu yake ni kwenda katika moto wa milele ikiwa atakufa bila kutubu. inakupasa umgeukie Yesu akuokoe, atakupa uwezo wa kushinda dhambi zote ikiwemo ya uzinzi.

Pili, kwa heshima ya ndoa yako, inakupasa usitishe mawasiliano na mwanamke huyo mara moja, kwani unakoelekea utahribu familia yako.

Tatu, kwani huyo mwanamke ana nini ambacho mkeo hana hata umpapatikie, acha uzinzi utaangamia

Nne, usipotubu, kukatisha uhusiano, utakufa na wewe kwa ukimwi na kuangamia,

acha uzinzi hautakusaidia bali utakuabisha
 
Tayari ushamtamani bado unauliza upewe ushauri!!!!!
Tamaa mbaya, mpende mkeo wa ndoa!!!
 
Mhhhh!!! yaani unatafuta sababu ya kuhalalisha dhambi yako..............na unataka sisi tukupe kibali ....mhhhh!!! POLE
 
Reactions: BAK
mpe masharti akikubali mbanjue, sharti la kwanza kutunza siri, pili asijionyeshwe wazi, asipige simu mpaka umpigie, asitume message za mapenzi, asimuzoee mkeo, umweleze kuwa unampunguzia machungu wakati yeye anatafuta wa kuendelea naye
 
Kaa naye mbali.
Punguza mawasiliano naye hasa ambayo hayahusiani na kazi.
Ukimbanjua tu, ndoa yako itakuwa ni inloving memory.
 
Acha kutuzingua bwana,ww ulikua unakamendea hako kibinti muda,baada ya kufiliwa ndio ukasema allahmdulillaih Mungu anipe nn tena! Endelea sasa kaza buti ongeza mke wa pili,toto tatu.
 

Nakushauri kwa dhati mkuu

Naomba umuoe awe mkeo kabisa, utakuwa umemsaidia sana

Mke wako mwambie ampende jirani yake ..hiyo ni jihad utapata dhawabu akhera mkuu
 
Moja jumulisha nne utapa jibu kumi na nne, ukipenda andika nane sifuri nabeba nyingine! ganja bana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…