Nancy Pelosi aondoka Taiwan

Nancy Pelosi aondoka Taiwan

Lusungo

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
28,259
Reaction score
41,416
Hatimaye mwanasiasa wa ngazi ya juu wa marekani ameondoka Taiwan mchana huu.

Ziara ya Pelosi ilileta gumzo duniani kote na kufuatiliwa na mamilioni ya watu ulimwenguni kote.

China imeachwa na kitendawili nini cha kufanya baada ya mwanasiasa huyo kutua salama salimini licha ya vitisho vyote vya china na kupewa last warning.

Pelosi amefungua kurasa mpya kwa Taiwan kwa zaidi ya miaka 25 iliyopita Taiwan haikutembelewa na mwanasiasa wa ngazi ya juu kama huyu.

 
... kuna viongozi wengi sana wa Taiwan watakuwa harassed vya kutosha na utawala dhalimu wa Beijing; pengine hadi mauti kimya kimya.

Hope nyendo za madikteta ya China hususan CCP zitaendelea kufuatiliwa kwa karibu. Majitu yasiyopenda dimokrasi kwa ulimwengu wa leo uliostaarabika. tabu sana.
 
... kuna viongozi wengi sana wa Taiwan watakuwa harassed vya kutosha na utawala dhalimu wa Beijing; pengine hadi mauti kimya kimya.

Hope nyendo za madikteta ya China hususan CCP zitaendelea kufuatiliwa kwa karibu. Majitu yasiyopenda dimokrasi kwa ulimwengu wa leo uliostaarabika. tabu sana.
Tabia za China ndio tabia za CCM.
 
Hatimaye mwanasiasa wa ngazi ya juu wa marekani ameondoka Taiwan mchana huu.

Ziara ya Pelosi ilileta gumzo duniani kote na kufuatiliwa na mamilioni ya watu ulimwenguni kote.

China imeachwa na kitendawili nini cha kufanya baada ya mwanasiasa huyo kutua salama salimini licha ya vitisho vyote vya china na kupewa last warning.

Pelosi amefungua kurasa mpya kwa Taiwan kwa zaidi ya miaka 25 iliyopita Taiwan haikutembelewa na mwanasiasa wa ngazi ya juu kama huyu.


Marekani anaweza kwemfa kokote; hata akitaka kwenda kwa Putin yawezekana pia.

Financial muscle ina mbeba. Hata wewe msomaji ukiwa vizuri ki uchumi lazima kwenye misiba wazee wakupishe kiti na pia upewe ulinzi na nafasi ya kuzungumza.
 
... kuna viongozi wengi sana wa Taiwan watakuwa harassed vya kutosha na utawala dhalimu wa Beijing; pengine hadi mauti kimya kimya.

Hope nyendo za madikteta ya China hususan CCP zitaendelea kufuatiliwa kwa karibu. Majitu yasiyopenda dimokrasi kwa ulimwengu wa leo uliostaarabika. tabu sana.
Fafanua
 
Marekani anaweza kwemfa kokote; hata akitaka kwenda kwa Putin yawezekana pia.

Financial muscle ina mbeba. Hata wewe msomaji ukiwa vizuri ki uchumi lazima kwenye misiba wazee wakupishe kiti na pia upewe ulinzi na nafasi ya kuzungumza.
Si swala la finance bali militarily
 
Si swala la finance bali militarily
Hela ndiyo inatengeneza nguvu ya kijeshi mzee.

Huna hela huna lolote..... China ni muoga wa ku spend pesa hivyo hawezi kuingia vita na Taiwan wakati anajua US yupo pale.

Game is over; wacha tusubiri Putin na yeye how long he is going to survive against westerners.
 
Back
Top Bottom