Kwa hasira majeshi ya china yameapa kukata mauno kama tiara huku yakisonya kama mapepo na vijidege vyao na vijimeli vyao kuanzia leo baadae. Watakata mauno feni kuizunguka Taiwani kwa siku 7 huku wakiisuta Taiwani na vidole juu kwa nini imewaaibisha taifa teure la china.CHINA HAWAAMINI MACHO YAO
Tabia za China ndio tabia za CCM.... kuna viongozi wengi sana wa Taiwan watakuwa harassed vya kutosha na utawala dhalimu wa Beijing; pengine hadi mauti kimya kimya.
Hope nyendo za madikteta ya China hususan CCP zitaendelea kufuatiliwa kwa karibu. Majitu yasiyopenda dimokrasi kwa ulimwengu wa leo uliostaarabika. tabu sana.
... wenyewe wanaitana mavyama rafiki kazi kukandamiza haki za raia kwa faida ya madikteta wachache na familia na maswahiba zao.Tabia za China ndio tabia za COM.
... kafikia airport ya nchi gani?Mbona kafikia airport, kaongelea airport na kaondokea airport...
Kama wao wanaume kweli wengempeleka mtaani akanyoshwe...
Kwani airport Ndio hapafikiki.Acha uduanzi basi meku🤔Mbona kafikia airport, kaongelea airport na kaondokea airport...
Kama wao wanaume kweli wengempeleka mtaani akanyoshwe...
Marekani anaweza kwemfa kokote; hata akitaka kwenda kwa Putin yawezekana pia.Hatimaye mwanasiasa wa ngazi ya juu wa marekani ameondoka Taiwan mchana huu.
Ziara ya Pelosi ilileta gumzo duniani kote na kufuatiliwa na mamilioni ya watu ulimwenguni kote.
China imeachwa na kitendawili nini cha kufanya baada ya mwanasiasa huyo kutua salama salimini licha ya vitisho vyote vya china na kupewa last warning.
Pelosi amefungua kurasa mpya kwa Taiwan kwa zaidi ya miaka 25 iliyopita Taiwan haikutembelewa na mwanasiasa wa ngazi ya juu kama huyu.
Mchina si wa kuaminika ndugu..mchina anabadilika muda wowote ule.Pathetic chinese
Mbona kafikia airport, kaongelea airport na kaondokea airport...
Kama wao wanaume kweli wengempeleka mtaani akanyoshwe...
Fafanua... kuna viongozi wengi sana wa Taiwan watakuwa harassed vya kutosha na utawala dhalimu wa Beijing; pengine hadi mauti kimya kimya.
Hope nyendo za madikteta ya China hususan CCP zitaendelea kufuatiliwa kwa karibu. Majitu yasiyopenda dimokrasi kwa ulimwengu wa leo uliostaarabika. tabu sana.
Ikauzwa ng'ombe mtu aende shule, karudi na akili za ng'ombeMbona kafikia airport, kaongelea airport na kaondokea airport...
Kama wao wanaume kweli wengempeleka mtaani akanyoshwe...
Si swala la finance bali militarilyMarekani anaweza kwemfa kokote; hata akitaka kwenda kwa Putin yawezekana pia.
Financial muscle ina mbeba. Hata wewe msomaji ukiwa vizuri ki uchumi lazima kwenye misiba wazee wakupishe kiti na pia upewe ulinzi na nafasi ya kuzungumza.
Hela ndiyo inatengeneza nguvu ya kijeshi mzee.Si swala la finance bali militarily