Nandy angekuwa na pesa wazazi wake wasingeshindwa kulipa kodi ya pango kweny frem ya kibiashara chao wanachokiita chalz solution pale tabata savannah. Pia angewabadilishia gari maani kile kigari cha kijani ni cha mkoloni. Kati ya msanii ninayemjua na familia yake kuanzia ukucha hadi utosi ni huyu kivuruge. Jf bhana raha kweli na akisoma hii comment hatanijua ila akinisanukia ukaribu na familia yake utaisha.