Nandy amsifia Zuchu

Nandy amsifia Zuchu

Huyu Zuchu nashindwa kumuelewa kama anaimba Bongo fleva au Taarab-bongofleva
 
Niwe mkwel huyu zuchu sio mkali Kama mnavyotuaminisha ..
Bado inabidi ajifunze vingi mnoo..
Overrated...!

Yeye anadhani followers na viewers aliopata ni jitihada zake.. Kumbe ni wa wasafi wale. Ukiandika unawaacha..
Ukiwa wcb mafans wa mondi automatically wanakuwa wa kwako pia..

Zuchu is overrated
 
Wimbo sio mbaya ila sio mkali kiasi cha kulinganisha na breakthrough songs za wasanii mnaomlinganisha nae

Wana utailinganisha na nayule ya Ruby au closer ya vanessa ???....

Hiyo EP yake ina ngoma kali kama closer, come over, nobody but me, Siri au hawajui za vanessaa

She is overrated !!!!..

True.
 
Mie kama mie ni shabiki wa mziki wwt mzuri lkn huyu dem(zuchu) yuko over-rated sana tena kupita maelezo. Naamini hata nandy kasifia tu ili mradi aonekane hana kinyongo nae lkn deep down hakuna talent yyt pale.

Tatizo wanamuziki wa kike bongo hawajishughulishi sana. Hata nandy angejishughulisha zaidi angekua mbali zaidi ya alipoletwa na marhem Ruge. Ruby, Maua sama, Veemoney wote hawa wangejishughulisha wangefika mbali coz vipaji vyao ni level za juu sana.

Zuchu anatembelea tu nyota ya WCB. hata @ZeroIq akianza kuimba leo ila chini ya wasafi lazima akiki sana tu coz ni wakati wa WCB huu.
 
Niwe mkwel huyu zuchu sio mkali Kama mnavyotuaminisha ..
Bado inabidi ajifunze vingi mnoo..
Overrated...!

Yeye anadhani followers na viewers aliopata ni jitihada zake.. Kumbe ni wa wasafi wale. Ukiandika unawaacha..
Ukiwa wcb mafans wa mondi automatically wanakuwa wa kwako pia..

Zuchu is overrated
Sure!

Numbers dont lie. Em angalia

Mondi ana followers karibu 9m kwa sasa, na kila mara anampost na kumtag zuchu huku anahimiza watu wakamfollow na pia wa-subscribe.

Graph yake ya kuongezeka kwa followers na sub inaenda ina-flatten zaid ya muda unavyosonga.

Nguvu ilotumiwa kumpromote zuchu ingetumiwa kwa hata yule dem aloshinda BSS mwaka juzi nadhan kwa sasa ndo angekua the most subscribed female artist hapa tz


Time will tell tusiongee sana coz bongo kila critic wanasema ni hater, ila hakuna mziki wwt pale zaidi ya kutuharibia tu radha ya mziki wa bongo na kufunika kazi za watu wengine.
 
Sure!

Numbers dont lie. Em angalia

Mondi ana followers karibu 9m kwa sasa, na kila mara anampost na kumtag zuchu huku anahimiza watu wakamfollow na pia wa-subscribe.

Graph yake ya kuongezeka kwa followers na sub inaenda ina-flatten zaid ya muda unavyosonga.

Nguvu ilotumiwa kumpromote zuchu ingetumiwa kwa hata yule dem aloshinda BSS mwaka juzi nadhan kwa sasa ndo angekua the most subscribed female artist hapa tz


Time will tell tusiongee sana coz bongo kila critic wanasema ni hater, ila hakuna mziki wwt pale zaidi ya kutuharibia tu radha ya mziki wa bongo na kufunika kazi za watu wengine.
mkuu nunua barakoa popote nakuja kulipia
 
Mie kama mie ni shabiki wa mziki wwt mzuri lkn huyu dem(zuchu) yuko over-rated sana tena kupita maelezo. Naamini hata nandy kasifia tu ili mradi aonekane hana kinyongo nae lkn deep down hakuna talent yyt pale.

Tatizo wanamuziki wa kike bongo hawajishughulishi sana. Hata nandy angejishughulisha zaidi angekua mbali zaidi ya alipoletwa na marhem Ruge. Ruby, Maua sama, Veemoney wote hawa wangejishughulisha wangefika mbali coz vipaji vyao ni level za juu sana.

Zuchu anatembelea tu nyota ya WCB. hata @ZeroIq akianza kuimba leo ila chini ya wasafi lazima akiki sana tu coz ni wakati wa WCB huu.
Promo ya mond pamoja na wasafi ndio inayombeba sasa hivi kuimba bado hajaweza labda waendelee kumnoa noa atakuwa vizuri.katoto kameanza kuvimba kichwa mapema
 
Nandy aache unafiki zuchu hana kipaji cha kuimba
 
Back
Top Bottom