elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,261
- 9,733
Aisee naona bado haijapandishwa online, ila nimeiskia kwenye leo tena na xxl, nimeisaka hwani sijaipata hata insta hajaweka link.mkuu attach io kitu aisee.. i like her music kwa kwel...yuko poa sana
ngoja niusakalanye... kanajitahid sana kale kabintiAisee naona bado haijapandishwa online, ila nimeiskia kwenye leo tena na xxl, nimeisaka hwani sijaipata hata insta hajaweka link.
Ila mkuu ngoma tamu sana anajua sana
Yah anajua sana na anayemwandikia nyimbo na melody anamjulia, ana melody nzuri na bridges kalingoja niusakalanye... kanajitahid sana kale kabinti
[emoji38][emoji38][emoji38]..sema apunguze kunata.. alikuja vizur sana ila kwasasa naona ka kapwaya hivi... ile siwezi ni hatari mkuuNaomba na mimi.
Nimsifie msanii wangu.
Baraka the [emoji146]
Na hii nyimbo ya some times. Ni nomaaaa.
Weweee. Hii ngoma ni motooo.[emoji38][emoji38][emoji38]..sema apunguze kunata.. alikuja vizur sana ila kwasasa naona ka kapwaya hivi... ile siwezi ni hatari mkuu
Watu wengi wanasema hivyo lakini muda unazidi onyesha uwezo wake.Mi mwanzoni nilijua anabebwa na Mawingu ili kumpoteza Ruby ila nilifuta mawazo hayo niliposikia 'wasikudanganye', pale alionyesha uwezo mkubwa, ngoja niutafute huo mpya
Kumbuka nandy alishinda shindano kubwa la kuimba.sio anatembelea footprints za ruby maana hadi sauti ya uimbaji kama ya ruby
kwani ruby hakushinda shindano kubwa au mwenzetu mziki unaufuatiliaje na kuhusu utunzi hata ruby anaweza sana mbona.....point yako sijaielewa hapoKumbuka nandy alishinda shindano kubwa la kuimba.
She is talented na wajua watunzi wa ruby ndiyo watunzi wa nandy sasa wazee wa tht.
Unaweza kuwa una sauti wajua kuimba lakini utunzi 0