Nandy anajua

kwani ruby hakushinda shindano kubwa au mwenzetu mziki unaufuatiliaje na kuhusu utunzi hata ruby anaweza sana mbona.....point yako sijaielewa hapo
Nilikuwa napingana na hoja yako ya kusema anatembelea footprints za ruby.
Sijakataa ila nimemwongelea nandy kukuonyesha kuwa hakutokea tu ila alishinda mashindano makubwa ya kuimba Afrika.
Pia hujasoma vizuri, sikusema nandy anaandika ila nimesema waliokuwa wanamwandikia ruby ndiyo wanamwandikia sasa Nandy.
Wengi THT hasa akina dada uwa wanaandikiwa na nyimbo karibu sote za Nandy hajaandika yeye, hata ruby alikuwa anaandikiwa wakati hajakorofishana na THT.
Hivi wajua Ruge pia uwa anaandika nyimbo
 
Nandy is okay, lakini Ruby ni shauri nyingine. The truth must be told.
 
Picha yake basi wadau tumuone.

Sio mnasifia kazuri sijui figure nzuri bila picha.
 
If you know what singing is, you won't put Ruby and Nandy in a single sentence!
 
Mi mwanzoni nilijua anabebwa na Mawingu ili kumpoteza Ruby ila nilifuta mawazo hayo niliposikia 'wasikudanganye', pale alionyesha uwezo mkubwa, ngoja niutafute huo mpya
Kajitahidi

 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…