Nandy anazidi kupotea

Nandy anazidi kupotea

Kolabo na Koffi ilitakiwa ijiuze yenyewe nje ya bongo. Hii imefeli. Koffi mkubwa sana huwezi kufanya kolabo nae halafu utegemee au kulaumu vikiki vya bongo!! Yule akitoa ngoma mpaka kina Etto, Pogba wanasikiliza na kuipaisha.
Kwenye kolabo, Nandy angefanya re-mix ya nyimbo yake yoyote ya zamani iliyo-hit, kama Ninogeshe, nk anaongezea tempo, koffi anaweka verse na vikolombwezo, kazi kwisha. Sijui kwa nini wanaona aibu kufanya re-mix na hawajifunzi kwa mwenzao kwenye Yoppe na Waah!!
Ila koffii nae kama kafulia kwa ukubwa ile kuja kufanya colabo bongo mwee
 
Tatizo shoga kidawa anajichetua mno na kulazimisha kushindana na akina flan , mbona zaman Alikua ana relax tu na anaimba vzur , siku hiz nandy kamekua na sifa za kijinga tofauti na zamani

Kingine pia kuna watu wanamfanyia figisu, industry ya mziki Ina changamoto kubwa sana, kurogana ndo usiseme , Nandy asipokua strong atajikuta anaingia kwenye level za kina Mwasi tu au ruby

But so far , Nandy bado ni Msanii bora wa kike ukizingatia hana management kubwa anajisimamia mwenyew
 
View attachment 1714923

Hali ya Nandy kwenye muziki sio nzuri kwa kweli anahitaji sana support yetu. Haya mambo ya kushika keyboard na kumpa sifa za uongo hatumsaidii tumwambie ukweli graph yake inazidi kwenda chini siku baada ya siku.

Huyu sio yule nandy wa ninogeshe au kivuruge.

Nandy amefikia kufanya wimbo na Koffi na hasipate walau watazamaji million 1 ndani ya siku tatu sasa na amekaa namba moja trend kwa masaa hayazidi 8 akatolewa na habari.

Imagine uwekezaji wa million 70 unaishia kupata likes na comments za insta na JF inasikitisha sana. Huko kwenye platforms za downloads na streams ndio huruma kabisa.

Kwa mwendo huu mtawalaumu bure WCB kuwa ndio chanzo cha kushuka kwake.

Mtamlaumu Zuchu kwa kubeba attention za watoto wa kike ambazo awali zilikuwa kwa Nandy.

Wale mnaokujaga na magazeti ya kufarijiana msaidieni hata mawazo.

Siku si nyingi nitashusha uzi kama huu kwa yule kijeba anaejaribu kujinasua wakati mtumbwi ushazama.
Tatizo wakitoka kidogo wanatulingia.
Imagine Nandy hajibu sms zangu
 
Binamu kwa unafiki wako unaona nandy ni msanii mkubwa bado? Haukumbuki nandy na ruge na genge lao walivomshusha Ruby ambae alikua on top siku zile! Nandy bila Ruge hata afanye nini hawezi kumshinda zuchu na leo hii hata mitaani zuchu anachzwa zaidi kuliko nandy huo ndio ukweli
 
Anacheza kwa kupania sana nguvu anayotumia inazidi kasi ha wimbo
Haka katoto kanasauti nzuri! Kanahitaji watu wajanja sana, kanauwezo Wa kutoboa dunia nzima wakakajua ila nahisi hakajapata watu sahihi Mkuu!
 
Unaweza ukaweka Data zinazoonyesha jinsi Nandy alivyoporomoka? Ebu tupe stastistics kuanzia 2016 hadi sasa 2021.
-Data zako zilenge katika nyanja hizi:-

1.Mauzo Online.
2.Idadi ya Shows.
3.Endorsements
4.Net Worth
5.Collaborations
Acha kukaza kichwa mkuu, Vitu vingine ni dhahiri na haviitaji ata DATA yoyote
.
Cha kwanza kwenye mauzo online, Nandy hayupo ata top5 kwa wanaoingiza mpunga mref

Cha pili kwny shows, nandy hana show yoyote kubwa aliofanya nchini na ata kimataifa zaidi ya kwenda kunengua na MaDJ club

Inshort, atazidi kupotea kama hatoshtuka mapema
 
Tatizo shoga kidawa anajichetua mno na kulazimisha kushindana na akina flan , mbona zaman Alikua ana relax tu na anaimba vzur , siku hiz nandy kamekua na sifa za kijinga tofauti na zamani

Kingine pia kuna watu wanamfanyia figisu, industry ya mziki Ina changamoto kubwa sana, kurogana ndo usiseme , Nandy asipokua strong atajikuta anaingia kwenye level za kina Mwasi tu au ruby

But so far , Nandy bado ni Msanii bora wa kike ukizingatia hana management kubwa anajisimamia mwenyew
Kwamba amepigwa kipapai 🤣 a.k.a karunguyeye 🤣🤣🤣 nouma sana
 
Acha kukaza kichwa mkuu, Vitu vingine ni dhahiri na haviitaji ata DATA yoyote
.
Cha kwanza kwenye mauzo online, Nandy hayupo ata top5 kwa wanaoingiza mpunga mref

Cha pili kwny shows, nandy hana show yoyote kubwa aliofanya nchini na ata kimataifa zaidi ya kwenda kunengua na MaDJ club

Inshort, atazidi kupotea kama hatoshtuka mapema

Huna data ,unaendeshwa kwa mihemko....Anapiga Shows Moni Central zone mwenye single mbili ndio ashindwe nandy??
 
Mashabiki wa WCB ni mataahira.

Vipi leo Nandy tena hashindani na Lady Jaydee,

Au kwa kuwa alikuja kumpa support siku ya "I am Zuchu" mmeamua kumpumzisha ??

Mbona ninyi Lady Jaydee hakumpa support siku yake ya 20 Album launch ???

Baada ya kumtumia Gig Money na kumpa airtime amtukane Nandy hamjatosheka kabisa, bado mnapambana naye,

Kwani ni lazima Nandy afulie ili Zuchu awe juu ???

WCB ni mashetani na mikia inayonuka damu kabisa aisee.

Yaani kila kilicho kizuri mnataka kiwe chenu tu.

Na kuna mijbwana inatumiwa tu kama ngazi, kugandamiza watu wengine bila yenyewe kujua.
 
Nandy hana washauri wazuri, hata koffi anamshangaa.

Kuhusu video, ipo very poor. Un organized.

Wale watoto wanacheza mastep mengine kabisa hata hayaendani na mziki husika.

Pia manguo aliyo vaa hayaja endana na nandy mwenyewe.

Anahitaji watu wazuri wa kumshauri,

Ngoma ya zuchu hadi leo inadunda mitaani.
 
Back
Top Bottom