Ukiachana na utunzi mbovu wa kukurupuka kunakosababishwa na kubabaika , uwezo mdogo wa kutunga mashairi konki, kujaribu kumantain hadhi ambayo kiuhalisia Hana , ...Nandy pia anaangushwa na chawa wake hasa member wa clouds na wengineo ambao wanampaisha against WCB na kutengeneza chuki Kali miongoni Kwa mashabiki at the same time hao chawa wake wameonyesha hawana uwezo wa kumsaidia kwenye industry , too weakness and totally helpless , .....
Nyimbo za kunengua Nady hamna , sauti tamu kabisa Ile inafaa nyimbo style za akina Celine Dion sasa kunengua nengua huko daaah , anakodolea kamera mpak sio powah....
Kibongo bongo ukishatoka YouTube ndo itakuonyesha how powerful you're ...Kwa sababu media nyingi zina makundi , media flani na flani hazitacheza nyimbo zako na utapondwa but YouTube ni free no barrier , ukipaaa kweli unajua , na ukishuka jua kuna sehemu umezingua ,.....
Ruge alijua udhaifu wa Nandy thus why alimtaftia watunzi , ajikubali kuwa ni dhaifu kwenye utunzi , atafte vijana wamtungie awalipe vyema , aendelee kukimbiza.... Istoshe backup ya media karbia zote + WCB zinacheza nyimbo zake Kwa uzuri
Kuendelea kumtetea wakat ana go down huo ni ujinga ...alaf kuna wanaodai et fitina, aisee hapa duniani fitina ni sehemu ya maisha , fitina utafanyiwa tuuu , Ruge alimfitini Diamond Kias cha kutochezwa nyimbo zake MTV Base , Ila mwamba alipambana akapitia Nigeria ..zote hzo ni kukabili fitina , fitina zipo Tu na kurogwa unarogwa tuuu hamna huruma hapa duniani kilichopo ni kupambana mpak tone la mwisho huku ukitatua udhaifu unaotokea njian....
Mwisho kabisa ukiona huwez kupambana nao , basi ungana nao...if you can't beat them, join them