Nandy anazidi kupotea

Nandy anazidi kupotea

Kwa sasa maisha tuu ni magumu bando la.kuangalia yu tyubu watu hawana. Si wasanii wa dablusibii sio wa konde genge
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umemaliza kila kitu.
 
Oooh mpenziiiii pole na UE
Kwenda huko, mnakera sana nyie chawa wa WCB, kutwa kushindanisha watu wala nje na hapo usafini, km kushindanisha washindanisheni wengine sio Vanessa, muulize huyo DOMOKAYA wenu, km hamkubali vee.

Huyo Zuchu atoke hapo WCB, ajisimamie mwenyewe ndo tuanze kuwashindanisha, yule label inambeba hana lolote. Khaaaaah
 
Kwenda huko, mnakera sana nyie chawa wa WCB, kutwa kushindanisha watu wala nje na hapo usafini, km kushindanisha washindanisheni wengine sio Vanessa, muulize huyo DOMOKAYA wenu, km hamkubali vee.

Huyo Zuchu atoke hapo WCB, ajisimamie mwenyewe ndo tuanze kuwashindanisha, yule label inambeba hana lolote. Khaaaaah
Kwahiyo ngoma ya sukari imehit kwasababu ya lebel sio kwa sababu Ni wimbo mzuri?Kama Ni hivyo Kuna haja gani ya label kufanya mziki ikiwa lebel ndio inahit?
 
Tatizo ni huyu jamaa

1614749890967.png
 
Kwahiyo ngoma ya sukari imehit kwasababu ya lebel sio kwa sababu Ni wimbo mzuri?Kama Ni hivyo Kuna haja gani ya label kufanya mziki ikiwa lebel ndio inahit?
Hiyo "sukari" imehit kwakua yupo ndani ya label, atoke nje then atoe hit tena inaweza kuwa kali zaid ya hiyo, afu uone matokeo yake.
 
Wee mtu usimfananishe Vanessa na hawa watu wenu plz, hayo mahaba yako kwa WCB yawe na mipaka, hao watu wako hawamkuti Vanessa kwa chochote. Kaa kwa kutulia.
Amestaafu mziki unasema wee? Rayvan ile "twerk" aliimba na bibi yako?
Mnapo zungumzia wasanii wa kike Bongo flava, Jide na vee money wawekwe pembeni, halafu wanaobaki ndo muanze kuwa discuss.
Msieeeeeeew.
Yes, najua unamkubali v money, hata mm namkubal daima. But fact ni kuwa v money has no longer in the game. 2yrs nw hajatoa nyimbo na alishatangaza kabisa kuwa kaacha mziki. Kuhusu twerk na rayvanny hii nyimbo ilitungwa long time kipind yupo kwenye game, kama huamn pitia post za mwaka juzi utaikuta hiyo nyimbo ikipigwa kipind wanarecord studio, pia v money alipost kwenye Instagram page yake. So kubal kama ambavyo mm nishakubali kuwa sitasikia nyimbo mpya nyingine toka kwa v money. Ikitokea bc itakuwa surprise 😁
 
Yes, najua unamkubali v money, hata mm namkubal daima. But fact ni kuwa v money has no longer in the game. 2yrs nw hajatoa nyimbo na alishatangaza kabisa kuwa kaacha mziki. Kuhusu twerk na rayvanny hii nyimbo ilitungwa long time kipind yupo kwenye game, kama huamn pitia post za mwaka juzi utaikuta hiyo nyimbo ikipigwa kipind wanarecord studio, pia v money alipost kwenye Instagram page yake. So kubal kama ambavyo mm nishakubali kuwa sitasikia nyimbo mpya nyingine toka kwa v money. Ikitokea bc itakuwa surprise 😁
Mtoto mzuri huyo hataki kuamini kabisa Vee 💰 now zilipendwa , ashatulizwa na mjarubamu wa Rotimi🤣, sa hv mchuano uliopo ni Zuchu na Nandy , japo Nandy anatembelea kwenye uzoefu but soon anatoka kwenye reli asipokaza....maisha ndo yalivyo , na bado wataibuka wengine tena ...
 
Mtoto mzuri huyo hataki kuamini kabisa Vee 💰 now zilipendwa , ashatulizwa na mjarubamu wa Rotimi🤣, sa hv mchuano uliopo ni Zuchu na Nandy , japo Nandy anatembelea kwenye uzoefu but soon anatoka kwenye reli asipokaza....maisha ndo yalivyo , na bado wataibuka wengine tena ...
Yeah n ukweli mtupu, wamebaki marafiki wa kitambo, sasa ni maadui kwenye game. Nandy na zuuchu baby😁 walikuwa n marafk sanaaa, Nigeria wameenda pa1 kutest vipaji vyao, though uwezo wa zuchu ulikuwa unaonekana kuwa n mkubwa sana kule kule Nigeria, walivorudi bongo, WCB walionyesha interest ya kuwa-sign na walianza training pa1 but nandy alichukuliwa na yule hayati aliyekuwa mwamba wa cloud media, ko alibaki zuuchu baby😁, amehustle sana zuchu kidg kukata tamaa ndo amekuja kutoka mwaka jana kwa kusainiwa officially WCB, amejifunza vingi mnooo, anazo siraha nyingi mnooo bado muda haujatosha.
Amini rayvanny kuna wimbo kaimba
" ...mziki shule watoto walikimbia umandee,
sasa wanashindanisha pirau na makande,
Nenda kawange ila bado utaka upandee,
Naitwa chui toka wasafi kwenye ukoo wa mzee nyange..."
Hii mistari ina maana kubwa sana. Now mwingine yupo jikoni kupikwa, akitoka tuu bado atalinganishwa na wengine kama akina Ibra wa hamonayiza😁, ali apewe attention kumbe ndo kumpaisha hivyo kimziki.
Ili msaani fulani akue na pia yeye mwenyewe akaze n lazima alinganishwe na msaani aliyejuu yake, mf hamoniyiza na mondi😁😁😁, lengo ni ili hamonayiza akue, but now naye hajui namna na kugangamala na mondi bc ndo hivyo tena nae mzk wake unadumaa🤣🤣🤣
 
Katika watu wanaoongoza kuwa na stress pamoja na visirani ni

Mashabiki wa Yanga
Mashariki wa nandy
Mashabiki wa genge la konde

😃😃😃
 
Yes, najua unamkubali v money, hata mm namkubal daima. But fact ni kuwa v money has no longer in the game. 2yrs nw hajatoa nyimbo na alishatangaza kabisa kuwa kaacha mziki. Kuhusu twerk na rayvanny hii nyimbo ilitungwa long time kipind yupo kwenye game, kama huamn pitia post za mwaka juzi utaikuta hiyo nyimbo ikipigwa kipind wanarecord studio, pia v money alipost kwenye Instagram page yake. So kubal kama ambavyo mm nishakubali kuwa sitasikia nyimbo mpya nyingine toka kwa v money. Ikitokea bc itakuwa surprise [emoji16]
Hao watu wenu mnaowashindanisha msimuhusishe na vee kabisaa, hata hao wenyewe wahusika wanajua hawamkuti vee kwa chochote hata iweje.
Vee hajastaafu [emoji445] ila kapumzika tyuuh, kutotoa nyimbo kwa miaka 2 ndo awe chini ya hawa watu wenu? Nasemaje km mnapenda ushindani basi iwe kwa hawa watu wenu, vee hausiki hakna aliye level yake,
Vee yuko ktk level ya kina yemi alade, tiwa savage etc.
Hayo mahaba yenu, yawe na mipaka sasa. Khaaaah.
 
Mtoto mzuri huyo hataki kuamini kabisa Vee [emoji383] now zilipendwa , ashatulizwa na mjarubamu wa Rotimi[emoji1787], sa hv mchuano uliopo ni Zuchu na Nandy , japo Nandy anatembelea kwenye uzoefu but soon anatoka kwenye reli asipokaza....maisha ndo yalivyo , na bado wataibuka wengine tena ...
Yaan zuchu na nandy wamshinde vee? uko serious wee?
Unamjua vee unamsikia? Plz hayo mahaba yako yawe na mipaka sasa, sio kushusha heshima za watu. Msieeeeeeew.
 
Yaan zuchu na nandy wamshinde vee? uko serious wee?
Unamjua vee unamsikia? Plz hayo mahaba yako yawe na mipaka sasa, sio kushusha heshima za watu. Msieeeeeeew.
😀😀
 
Hao watu wenu mnaowashindanisha msimuhusishe na vee kabisaa, hata hao wenyewe wahusika wanajua hawamkuti vee kwa chochote hata iweje.
Vee hajastaafu [emoji445] ila kapumzika tyuuh, kutotoa nyimbo kwa miaka 2 ndo awe chini ya hawa watu wenu? Nasemaje km mnapenda ushindani basi iwe kwa hawa watu wenu, vee hausiki hakna aliye level yake,
Vee yuko ktk level ya kina yemi alade, tiwa savage etc.
Hayo mahaba yenu, yawe na mipaka sasa. Khaaaah.
😄😄😄 cool down. Mm cjamshindanisha v na mwingne, but nakwambia ukweli v kaacha mziki na siyo kapumnzika. Nimekupa mf wa nyimbo ya twerk lkn naona bado unakaza fuvu. Kama huamn bc jaribu ata kupitia clip za mahojiano na millard Ayo nadhani for the first time alisikika akitangaza kuhusu mziki. Kama bado unapingana nam bc ulizia ata wengine wakupe ukweli dada. Mm mwenyewe namkubal v sanaaaa, no body lk v up to now. May be wanaweza kufikia level ya v after a years😁
UKWELI USEMWE🙏
 
Yeah n ukweli mtupu, wamebaki marafiki wa kitambo, sasa ni maadui kwenye game. Nandy na zuuchu baby[emoji16] walikuwa n marafk sanaaa, Nigeria wameenda pa1 kutest vipaji vyao, though uwezo wa zuchu ulikuwa unaonekana kuwa n mkubwa sana kule kule Nigeria, walivorudi bongo, WCB walionyesha interest ya kuwa-sign na walianza training pa1 but nandy alichukuliwa na yule hayati aliyekuwa mwamba wa cloud media, ko alibaki zuuchu baby[emoji16], amehustle sana zuchu kidg kukata tamaa ndo amekuja kutoka mwaka jana kwa kusainiwa officially WCB, amejifunza vingi mnooo, anazo siraha nyingi mnooo bado muda haujatosha.
Amini rayvanny kuna wimbo kaimba
" ...mziki shule watoto walikimbia umandee,
sasa wanashindanisha pirau na makande,
Nenda kawange ila bado utaka upandee,
Naitwa chui toka wasafi kwenye ukoo wa mzee nyange..."
Hii mistari ina maana kubwa sana. Now mwingine yupo jikoni kupikwa, akitoka tuu bado atalinganishwa na wengine kama akina Ibra wa hamonayiza[emoji16], ali apewe attention kumbe ndo kumpaisha hivyo kimziki.
Ili msaani fulani akue na pia yeye mwenyewe akaze n lazima alinganishwe na msaani aliyejuu yake, mf hamoniyiza na mondi[emoji16][emoji16][emoji16], lengo ni ili hamonayiza akue, but now naye hajui namna na kugangamala na mondi bc ndo hivyo tena nae mzk wake unadumaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa maelezo haya nimebaki kucheka tyuuh, [emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan zuchu na nandy wamshushe vee? Jamani hao watu hata waungane wapambane na vee hawamuwezi, vee alipokua ni mbali sanaah,
Hao watu wenu wenyewe ukweli wanaujua, vee huyu aliyemkalisha Victoria Kimani, ndo ashushwe na hawa vidampa wenu?
Washindanisheni hawa watu wenu, ila sio kumuhusisha vee.
Vee hata asiimbe milele hakna wa kumfikia yeyote hapo.
 
Kwa maelezo haya nimebaki kucheka tyuuh, [emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan zuchu na nandy wamshushe vee? Jamani hao watu hata waungane wapambane na vee hawamuwezi, vee alipokua ni mbali sanaah,
Hao watu wenu wenyewe ukweli wanaujua, vee huyu aliyemkalisha Victoria Kimani, ndo ashushwe na hawa vidampa wenu?
Washindanisheni hawa watu wenu, ila sio kumuhusisha vee.
Vee hata asiimbe milele hakna wa kumfikia yeyote hapo.
Duuu, dada rudia kusoma tena, ukiona kuna sehemu niliyoandika v ashindanishwe na nandy au zuuchu baby bc njoo nipige faini😆,
Nimesema saiz nandy na zuchu ndo wamebaki kwenye uadui wa kimzk toka walivyokuwa marafk wakubwa kipind wanahustle kule Nigeria, nimetoa mfano mwingne kwa harmonize pia Ibra but sijamweka v coz bado hakuna nitakayemringanisha nae. But si muda ataringanishwa tu upende usipende. Saiz tunashindwa kwani mafanikio ya v n makubwa sanaaa kimzki enzi zake. But akitokea atakaye yakaribia hayo mafaniko ndipo tutaanza kuwalinganisha. Kulinganishwa haiepukiki.
 
[emoji1][emoji1][emoji1] cool down. Mm cjamshindanisha v na mwingne, but nakwambia ukweli v kaacha mziki na siyo kapumnzika. Nimekupa mf wa nyimbo ya twerk lkn naona bado unakaza fuvu. Kama huamn bc jaribu ata kupitia clip za mahojiano na millard Ayo nadhani for the first time alisikika akitangaza kuhusu mziki. Kama bado unapingana nam bc ulizia ata wengine wakupe ukweli dada. Mm mwenyewe namkubal v sanaaaa, no body lk v up to now. May be wanaweza kufikia level ya v after a years[emoji16]
UKWELI USEMWE[emoji120]
Kwani unadhan mie ndo sijui km alitoa press kuhusu suala hilo? Yaan niwe fan kindaki ndaki wake nisijue hilo? Mwenzio muda wote nipo ktk page zake ktk mitandao yote aliyopo. Chochote kumuhusu akitoa public lazima niwe seat ya mbele kupata,
Siku ile ameveshwa Pete na shemela wa taifa, nililia machozi ya furaha utadhan mie ndo nimeveshwa, sijui sasa siku ya ndoa itakuaje lol.
Narudia tena kwa sasa hakna wa kumfikia vee yeyote kati ya hao watu wenu. Na itachukua muda mrefu sana kumfikia.
 
Back
Top Bottom