Nandy anazidi kupotea

Nandy anazidi kupotea

Mie sijakataa uwezo wake huyo zuchu, pia nachokataa kusindanishwa na wengine, mbaya zaidi hadi Vanessa anahusishwa, khaaaah yaan vee ashindanishwe na zuchu? Kisa sukari? Hapana siwezi kuvumilia nitakemea kwa nguvu zote.
Sawa off course Vanessa mdee yupo vizuri hata me namkubali.
 
Kwenda huko, mnakera sana nyie chawa wa WCB, kutwa kushindanisha watu wala nje na hapo usafini, km kushindanisha washindanisheni wengine sio Vanessa, muulize huyo DOMOKAYA wenu, km hamkubali vee.

Huyo Zuchu atoke hapo WCB, ajisimamie mwenyewe ndo tuanze kuwashindanisha, yule label inambeba hana lolote. Khaaaaah
Vanessa Mdee mziki umemshinda kawakimbia kina Zuchu.

Mambo ya mjini inaonekana yamekupita kushoto, pole sana.
 
Sawa off course Vanessa mdee yupo vizuri hata me namkubali.
Yaan mie zuchu na nandy hata washindanishwe milele sijali, ila sio Vanessa, hakuna yeyote anayeweza kumkuta hata wao wenyewe wanajua hilo.
 
Vanessa Mdee mziki umemshinda kawakimbia kina Zuchu.

Mambo ya mjini inaonekana yamekupita kushoto, pole sana.
Yaan Vanessa awakimbie zuchu na nandy? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi wee uko serious? Umeshamuona kawa video vixen wa "love somebody" ya mume wake?
Kapumzika tyuuh afurahie maisha ya utulivu ktk mahusiano ya mapenzi.
Yaan niwepo katkat ya jiji afu mambo yanipite kushoto? Poleeeeh weweeeh, [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mkuu Rayvanny fundi yule jamaa mziki wake hauchuji hasa akiachana na zile type za akina tetema inakua hiti ngoma ninazosikiliza sana kutoka kwake na sizichoki[emoji116]
[emoji117]Vumilia
[emoji117]Ex boyfriend
[emoji117]Team
[emoji117]Unaibiwa
[emoji117]Naogopa
[emoji117]I love you
[emoji117]Number one
[emoji117]Mwanza
[emoji117]Kiuno
[emoji117]Pochi nene
Rayvan ni mbunifu zaidi hata ya Diamond sema tu yeye hawezi kupiga hatua sana kwa kuwa yupo chini ya management, na ndiyo nahisi anataka kutoka ila hajui anatokaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Rayvanny fundi yule jamaa mziki wake hauchuji hasa akiachana na zile type za akina tetema inakua hiti ngoma ninazosikiliza sana kutoka kwake na sizichoki[emoji116]
[emoji117]Vumilia
[emoji117]Ex boyfriend
[emoji117]Team
[emoji117]Unaibiwa
[emoji117]Naogopa
[emoji117]I love you
[emoji117]Number one
[emoji117]Mwanza
[emoji117]Kiuno
[emoji117]Pochi nene
Vanny boy mtu mbaya hakuna kama jamaaa... Fundi wa mashairi yule..Ngoma ya number one ilinifanya nikala tunda kimasihara 🤣 in rikiboy voice😃
 
View attachment 1714923

Hali ya Nandy kwenye muziki sio nzuri kwa kweli anahitaji sana support yetu. Haya mambo ya kushika keyboard na kumpa sifa za uongo hatumsaidii tumwambie ukweli graph yake inazidi kwenda chini siku baada ya siku.

Huyu sio yule nandy wa ninogeshe au kivuruge.

Nandy amefikia kufanya wimbo na Koffi na hasipate walau watazamaji million 1 ndani ya siku tatu sasa na amekaa namba moja trend kwa masaa hayazidi 8 akatolewa na habari.

Imagine uwekezaji wa million 70 unaishia kupata likes na comments za insta na JF inasikitisha sana. Huko kwenye platforms za downloads na streams ndio huruma kabisa.

Kwa mwendo huu mtawalaumu bure WCB kuwa ndio chanzo cha kushuka kwake.

Mtamlaumu Zuchu kwa kubeba attention za watoto wa kike ambazo awali zilikuwa kwa Nandy.

Wale mnaokujaga na magazeti ya kufarijiana msaidieni hata mawazo.

Siku si nyingi nitashusha uzi kama huu kwa yule kijeba anaejaribu kujinasua wakati mtumbwi ushazama.
Aliwahi sana kufanya colabo na koffie,kwa watu wengi hii ilionekana kama kumuiga Mond.
Kwanza lazima tujue Mond alikuwa wa Kwanza kufanya colabo na koffie kwa wanamuziki wa bongofleva,sasa kabla hata utamu wa wimbo wa Mond na koffie haujaisha masikioni mwa watu,Nandy nae akatoa wimbo,Idea nyingi zimekopiwa kutoka wimbo wa waaah,
Hawa wanamuziki inabidi wajifunze kitu kilichomtoa Mond,ni kufanya single moja kali ya kidogodogo remix na P square/davido,wimbo uli hit hatari maana ilikuwa kitu kipya kwa mbongo kupiga colabo na wanaija,
Sasa Nandy na wengine inabidi wapige vitu vya pekee sio kuiga anavyofanya Mond,mameneja wake walichemka,
Piga colabo na Tupac,Angeliq kijo,

Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app
 
Rayvan ni mbunifu zaidi hata ya Diamond sema tu yeye hawezi kupiga hatua sana kwa kuwa yupo chini ya management, na ndiyo nahisi anataka kutoka ila hajui anatokaje

Sent using Jamii Forums mobile app
Harmonize naye aliwasikiliza wabongo matakwa yenu, lakini tangu ametoka sioni kikubwa anachofanya kwenye muziki zaidi kuendelea kuiga lifestyle ya diamond? Tatizo ni pale mnataka kila mwenye uwezo fulani kimuziki basi ampite diamond. Sisemi kwamba hakuna wa kumshusha lakini kwa wakati huu sijaona bado. Pia anaweza kushuka kwa sababu muda wake umepita ila sio kwa sababu anazidiwa uwezo(hii ilitokea kwa michael jackson).
 
Rayvan ni mbunifu zaidi hata ya Diamond sema tu yeye hawezi kupiga hatua sana kwa kuwa yupo chini ya management, na ndiyo nahisi anataka kutoka ila hajui anatokaje

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] si anatoka tyuuh, why asijue anatokaje.
Ndo atakapoona uhalisia wa game la Bongo flavas.
 
Harmonize naye aliwasikiliza wabongo matakwa yenu, lakini tangu ametoka sioni kikubwa anachofanya kwenye muziki zaidi kuendelea kuiga lifestyle ya diamond? Tatizo ni pale mnataka kila mwenye uwezo fulani kimuziki basi ampite diamond. Sisemi kwamba hakuna wa kumshusha lakini kwa wakati huu sijaona bado. Pia anaweza kushuka kwa sababu muda wake umepita ila sio kwa sababu anazidiwa uwezo(hii ilitokea kwa michael jackson).
Hiyo tabia ya fulani ampite fulan iko sana huko WCB, ndo maana now time wanawashindanisha zuchu na nandy,
Hawaoni raha wasanii wote wawe juu, wao wanataka iwe kwa WCB tyuuh.
Msieeeew zao.
 
Mnhhhh!! Anyway..umeeleweka Mimi Mars
Sizungumzii nandy mie, huyo nandy na zuchu wenu washindanisheni hata milele yote wala hamtaona kelele zangu,
Ila sio kumuhusisha Vanessa, hapo nitakemea sana.
Vee hana wa kumkuta hao wote mnaowashindanisha hata wakiungana hawamuwezi kamweeeh.
 
Kofi nae amechanganyikiwa au ilikua kungonoka ,mziki njia haiwezekani Kofi afanye utumbo nawatoto wasiojitambua
 
Audience ivi sas awataki mambo yakiki sasa wapunguze mishe zakiki♤♤
View attachment 1714923

Hali ya Nandy kwenye muziki sio nzuri kwa kweli anahitaji sana support yetu. Haya mambo ya kushika keyboard na kumpa sifa za uongo hatumsaidii tumwambie ukweli graph yake inazidi kwenda chini siku baada ya siku.

Huyu sio yule nandy wa ninogeshe au kivuruge.

Nandy amefikia kufanya wimbo na Koffi na hasipate walau watazamaji million 1 ndani ya siku tatu sasa na amekaa namba moja trend kwa masaa hayazidi 8 akatolewa na habari.

Imagine uwekezaji wa million 70 unaishia kupata likes na comments za insta na JF inasikitisha sana. Huko kwenye platforms za downloads na streams ndio huruma kabisa.

Kwa mwendo huu mtawalaumu bure WCB kuwa ndio chanzo cha kushuka kwake.

Mtamlaumu Zuchu kwa kubeba attention za watoto wa kike ambazo awali zilikuwa kwa Nandy.

Wale mnaokujaga na magazeti ya kufarijiana msaidieni hata mawazo.

Siku si nyingi nitashusha uzi kama huu kwa yule kijeba anaejaribu kujinasua wakati mtumbwi ushazama.
 
Kwanza nikwambie kwamba uelewa wako kimziki ni wa kawaida sana. Kama layman wengine. Pili kama unachambua mziki ki zembe hivi haina haja ya thread nyingine uliyohaidi maana itakuwa na hoja dhaifu kama hii.
Back to the point. Huwezi kupima ukubwa ama udogo wa msanii kwa kigezo You Tube Viewers. Utakuwa unamdhalilisha msanii na kazi zake. Kuna wasanii wengi wazuri sana Africa,America, Europe na Asia. Wanatoa nyimbo nzuri lakini Viewers ni kidogo. Je na wao wameshuka kimziki. Kuna vigezo ambavyo ni common kwa kupima ukubwa wa msanii kama
1. Shows Msanii kuandaa mwenyewe ama kuandaliwa shows na zikawa kubwa kwa uhudhuriaji wa shabiki hiki kigezo hutumika kwa wenzetu. Mahudhurio ya wadau kwenye shows huweza kumpandisha ama kumshusha msanii
2. Album, kutoa ,mauzo na umaarufu wa album aliyotoa .huweza kumpandisha ama kumshusha..kulingana nakala alizouza ama na kutoa.na umaarufu wake
3. Consistency & maintaining ya msanii toka alipojulikana mpaka muda anaoendelea kufanya mziki wake.
4. Endorsement ,ya msanii na brand yake local and international. Hizo ndo common..na nyingine nyingi ikiwemo na hiyo ya Viewers (minor)
..sasa hivyo vigezo Nandy vyote anavyo kwa ukubwa sana. Na hakuna msanii yeyote wa kike Tanzania kwa sasa mwenye. Endorsement na Shows kubwa kumzidi..anaandaa mwenyewe mara nyingi Nandy.
#Ameshafanya tour yake..na ikafanikiwa
#Matangazo ya mengi
Video zipo wazi

Najua wengi mtamzungumzia Zuchu..yes she hot and running the industry..lakini jiulize bila back up ya diamond anaweza kuwa hapo alipo. Kwa nandy alifariki mentor wake na ruge aliyekuwa anamsupport sana ...but still bado anafanya makubwa . Mpaka collable ya over 60s Tzs million. Akiondoka diamond Zuchu anaweza fanya hicho kitu. Absolutely nope.
Note:kabla ya kusema Nandy kashuka jiulize na kuangalia mambo mengi. Tanzania kwa sasa haina msanii wa kike mwenye kufikia uwezo wa Nandy.
Endelea kukaza fuvu
 
Naungana na wewe kuhusu Nandy lakini Unajuaje kama zuchu akitoka hapo hawezi kufanya chochote? Kama umemtetea Nandy ambae amebebwa na Ruge muda mrefu n sijui umetumia kigezo gani kumshusha zuchu kwamba hawezi wakati uwezo wake umeukubali.
Fact kaka anakaza fuvu tu
 
Back
Top Bottom