kwahhiyo mkuu unamkaripia nani?WATU HAMKUJUA WAKATI NANDY ANAACHIA AUDIO YAKE NA KOFFI NA WCB NAO WAKAACHIA SCANDAL YA RAY NA PAULO WATU WAKKACHA KUONGELEA NANDY NA KOFII IKAWA RAY NA PAULO HATA HII VIDEO HAIWEZI KUSAIDIA KITU KWASABABU AUDIO HAIKUFA CHOCHOTE
Ila mzee umeongea kiukali sana. Hapo mtoa mada angekua jirani angekula kofi zito..WATU HAMKUJUA WAKATI NANDY ANAACHIA AUDIO YAKE NA KOFFI NA WCB NAO WAKAACHIA SCANDAL YA RAY NA PAULO WATU WAKKACHA KUONGELEA NANDY NA KOFII IKAWA RAY NA PAULO HATA HII VIDEO HAIWEZI KUSAIDIA KITU KWASABABU AUDIO HAIKUFA CHOCHOTE
mkuu hakuna mafanikio bila changamoto, watu wenye mind za mafanikio daily hujitahidi kuziwin changamoto ili wafanikiwe zaidiaMashabiki wa WCB ni mataahira.
Vipi leo Nandy tena hashindani na Lady Jaydee,
Au kwa kuwa alikuja kumpa support siku ya "I am Zuchu" mmeamua kumpumzisha ??
Mbona ninyi Lady Jaydee hakumpa support siku yake ya 20 Album launch ???
Baada ya kumtumia Gig Money na kumpa airtime amtukane Nandy hamjatosheka kabisa, bado mnapambana naye,
Kwani ni lazima Nandy afulie ili Zuchu awe juu ???
WCB ni mashetani na mikia inayonuka damu kabisa aisee.
Yaani kila kilicho kizuri mnataka kiwe chenu tu.
Na kuna mijbwana inatumiwa tu kama ngazi, kugandamiza watu wengine bila yenyewe kujua.
Ni wapi Nandy kalalama ??mkuu hakuna mafanikio bila changamoto, watu wenye mind za mafanikio daily hujitahidi kuziwin changamoto ili wafanikiwe zaidia
domo kapitia changamoto nzito sana kunako game bt 95% kaziwin ndo maana bado yupo pale juu, nandy anapaswa kuziwin challenge na sio kulalama/ kumtafuta mchawi
View attachment 1714923
Hali ya Nandy kwenye muziki sio nzuri kwa kweli anahitaji sana support yetu. Haya mambo ya kushika keyboard na kumpa sifa za uongo hatumsaidii tumwambie ukweli graph yake inazidi kwenda chini siku baada ya siku.
Huyu sio yule nandy wa ninogeshe au kivuruge.
Nandy amefikia kufanya wimbo na Koffi na hasipate walau watazamaji million 1 ndani ya siku tatu sasa na amekaa namba moja trend kwa masaa hayazidi 8 akatolewa na habari.
Imagine uwekezaji wa million 70 unaishia kupata likes na comments za insta na JF inasikitisha sana. Huko kwenye platforms za downloads na streams ndio huruma kabisa.
Kwa mwendo huu mtawalaumu bure WCB kuwa ndio chanzo cha kushuka kwake.
Mtamlaumu Zuchu kwa kubeba attention za watoto wa kike ambazo awali zilikuwa kwa Nandy.
Wale mnaokujaga na magazeti ya kufarijiana msaidieni hata mawazo.
Siku si nyingi nitashusha uzi kama huu kwa yule kijeba anaejaribu kujinasua wakati mtumbwi ushazama.
Kwanza nikwambie kwamba uelewa wako kimziki ni wa kawaida sana. Kama layman wengine. Pili kama unachambua mziki ki zembe hivi haina haja ya thread nyingine uliyohaidi maana itakuwa na hoja dhaifu kama hii.View attachment 1714923
Hali ya Nandy kwenye muziki sio nzuri kwa kweli anahitaji sana support yetu. Haya mambo ya kushika keyboard na kumpa sifa za uongo hatumsaidii tumwambie ukweli graph yake inazidi kwenda chini siku baada ya siku.
Huyu sio yule nandy wa ninogeshe au kivuruge.
Nandy amefikia kufanya wimbo na Koffi na hasipate walau watazamaji million 1 ndani ya siku tatu sasa na amekaa namba moja trend kwa masaa hayazidi 8 akatolewa na habari.
Imagine uwekezaji wa million 70 unaishia kupata likes na comments za insta na JF inasikitisha sana. Huko kwenye platforms za downloads na streams ndio huruma kabisa.
Kwa mwendo huu mtawalaumu bure WCB kuwa ndio chanzo cha kushuka kwake.
Mtamlaumu Zuchu kwa kubeba attention za watoto wa kike ambazo awali zilikuwa kwa Nandy.
Wale mnaokujaga na magazeti ya kufarijiana msaidieni hata mawazo.
Siku si nyingi nitashusha uzi kama huu kwa yule kijeba anaejaribu kujinasua wakati mtumbwi ushazama.
mtu yeyote mwenye mafanikio/mwenye mind ya mafanikio anajua fika changamoto ndo njia ya mafanikio hivo unachoandika hapa kinadhihirisha maneno ya waliofail na kukata tamaa kimaisha maana watu wenye mind za mafanikio hawanaga mitizamo ya namna hii.Ni wapi Nandy kalalama ??
Kama tukivyokuwa tunamtetea Diamond dhidi ya Ruge, hivyo hivyo tutamtetea Nandy, Harmonize, Alikiba au yeyote anayepambana.
Kuna mijitu mikatili ya nafsi, ilikuwa inamuona Ruge adui kumbe ni afadhali hata ya Ruge.
Maana Ruge ulikuwa ukikosana naye anakuacha tu, ila hata hii mishetani yenye midomo mipana kukubania tu haitoshi baali inatumia watu kupambana na wewe mpaka uvunguni.
Ila koffii nae kama kafulia kwa ukubwa ile kuja kufanya colabo bongo mwee
Hata mwenye mafanikio ambaye ni msukule wa mtu.mtu yeyote mwenye mafanikio/mwenye mind ya mafanikio anajua fika changamoto ndo njia ya mafanikio hivo unachoandika hapa kinadhihirisha maneno ya waliofail na kukata tamaa kimaisha maana watu wenye mind za mafanikio hawanaga mitizamo ya namna hii.
Naungana na wewe kuhusu Nandy lakini Unajuaje kama zuchu akitoka hapo hawezi kufanya chochote? Kama umemtetea Nandy ambae amebebwa na Ruge muda mrefu n sijui umetumia kigezo gani kumshusha zuchu kwamba hawezi wakati uwezo wake umeukubali.Kwanza nikwambie kwamba uelewa wako kimziki ni wa kawaida sana. Kama layman wengine. Pili kama unachambua mziki ki zembe hivi haina haja ya thread nyingine uliyohaidi maana itakuwa na hoja dhaifu kama hii.
Back to the point. Huwezi kupima ukubwa ama udogo wa msanii kwa kigezo You Tube Viewers. Utakuwa unamdhalilisha msanii na kazi zake. Kuna wasanii wengi wazuri sana Africa,America, Europe na Asia. Wanatoa nyimbo nzuri lakini Viewers ni kidogo. Je na wao wameshuka kimziki. Kuna vigezo ambavyo ni common kwa kupima ukubwa wa msanii kama
1. Shows Msanii kuandaa mwenyewe ama kuandaliwa shows na zikawa kubwa kwa uhudhuriaji wa shabiki hiki kigezo hutumika kwa wenzetu. Mahudhurio ya wadau kwenye shows huweza kumpandisha ama kumshusha msanii
2. Album, kutoa ,mauzo na umaarufu wa album aliyotoa .huweza kumpandisha ama kumshusha..kulingana nakala alizouza ama na kutoa.na umaarufu wake
3. Consistency & maintaining ya msanii toka alipojulikana mpaka muda anaoendelea kufanya mziki wake.
4. Endorsement ,ya msanii na brand yake local and international. Hizo ndo common..na nyingine nyingi ikiwemo na hiyo ya Viewers (minor)
..sasa hivyo vigezo Nandy vyote anavyo kwa ukubwa sana. Na hakuna msanii yeyote wa kike Tanzania kwa sasa mwenye. Endorsement na Shows kubwa kumzidi..anaandaa mwenyewe mara nyingi Nandy.
#Ameshafanya tour yake..na ikafanikiwa
#Matangazo ya mengi
Video zipo wazi
Najua wengi mtamzungumzia Zuchu..yes she hot and running the industry..lakini jiulize bila back up ya diamond anaweza kuwa hapo alipo. Kwa nandy alifariki mentor wake na ruge aliyekuwa anamsupport sana ...but still bado anafanya makubwa . Mpaka collable ya over 60s Tzs million. Akiondoka diamond Zuchu anaweza fanya hicho kitu. Absolutely nope.
Note:kabla ya kusema Nandy kashuka jiulize na kuangalia mambo mengi. Tanzania kwa sasa haina msanii wa kike mwenye kufikia uwezo wa Nandy.
Siongei Kishabiki, Ila kiukweli Nandy ana sauti nzuri sana sana kuliko ata ZuchuKwanza nikwambie kwamba uelewa wako kimziki ni wa kawaida sana. Kama layman wengine. Pili kama unachambua mziki ki zembe hivi haina haja ya thread nyingine uliyohaidi maana itakuwa na hoja dhaifu kama hii.
Back to the point. Huwezi kupima ukubwa ama udogo wa msanii kwa kigezo You Tube Viewers. Utakuwa unamdhalilisha msanii na kazi zake. Kuna wasanii wengi wazuri sana Africa,America, Europe na Asia. Wanatoa nyimbo nzuri lakini Viewers ni kidogo. Je na wao wameshuka kimziki. Kuna vigezo ambavyo ni common kwa kupima ukubwa wa msanii kama
1. Shows Msanii kuandaa mwenyewe ama kuandaliwa shows na zikawa kubwa kwa uhudhuriaji wa shabiki hiki kigezo hutumika kwa wenzetu. Mahudhurio ya wadau kwenye shows huweza kumpandisha ama kumshusha msanii
2. Album, kutoa ,mauzo na umaarufu wa album aliyotoa .huweza kumpandisha ama kumshusha..kulingana nakala alizouza ama na kutoa.na umaarufu wake
3. Consistency & maintaining ya msanii toka alipojulikana mpaka muda anaoendelea kufanya mziki wake.
4. Endorsement ,ya msanii na brand yake local and international. Hizo ndo common..na nyingine nyingi ikiwemo na hiyo ya Viewers (minor)
..sasa hivyo vigezo Nandy vyote anavyo kwa ukubwa sana. Na hakuna msanii yeyote wa kike Tanzania kwa sasa mwenye. Endorsement na Shows kubwa kumzidi..anaandaa mwenyewe mara nyingi Nandy.
#Ameshafanya tour yake..na ikafanikiwa
#Matangazo ya mengi
Video zipo wazi
Najua wengi mtamzungumzia Zuchu..yes she hot and running the industry..lakini jiulize bila back up ya diamond anaweza kuwa hapo alipo. Kwa nandy alifariki mentor wake na ruge aliyekuwa anamsupport sana ...but still bado anafanya makubwa . Mpaka collable ya over 60s Tzs million. Akiondoka diamond Zuchu anaweza fanya hicho kitu. Absolutely nope.
Note:kabla ya kusema Nandy kashuka jiulize na kuangalia mambo mengi. Tanzania kwa sasa haina msanii wa kike mwenye kufikia uwezo wa Nandy.
Na ukitaka kudumu kwenye mziki uwe na mashairi.Ruby ana vocal kali kuliko wasanii wote wa kike,ila hajui kutunga.Siongei Kishabiki, Ila kiukweli Nandy ana sauti nzuri sana sana kuliko ata Zuchu
Ila Zuchu ana mashairi makali sana sana sana sana, hili halina ubishi
Nandy habani pua dada yangu sauti yake ni natural ,tatizo lake ni moja sio mtunzi mzuri.Million 70 kwa wimbo gani au video gani?
Nandi alikurupuka kumshirikisha huyo kofi, pia aache kuimba kwa kubana pua