Nandy anazidi kupotea

Nandy anazidi kupotea

Tatizo wanapiga kelele awajui lolote kuhusu mziki, wqnafikiri mziki ni kama mambo ya ccm na chadema[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hao ni mamburura , mpak Nandy atangaze kustaaf mziki sababu ya hasara ndo wataelewa ...kama yaliyomkuta vanesa , sa hv Nandy Hana backup support ya kumsukuma zaid ya misukule akina Mwijaku wacheza porn 😀😀😀😀
 
Mie sio muumini sana wa WCB, ila hili la kuporomoka kwa nandy nililiona na nafikiri nitaendelea kuliona..

Kuna mahali hapapo sawa kwenye Management yake kwa ujumla.

Akae chini atafakari.

Unaweza ukaweka Data zinazoonyesha jinsi Nandy alivyoporomoka? Ebu tupe stastistics kuanzia 2016 hadi sasa 2021.
-Data zako zilenge katika nyanja hizi:-

1.Mauzo Online.
2.Idadi ya Shows.
3.Endorsements
4.Net Worth
5.Collaborations
 
Unaweza ukaweka Data zinazoonyesha jinsi Nandy alivyoporomoka? Ebu tupe stastistics kuanzia 2016 hadi sasa 2021.
-Data zako zilenge katika nyanja hizi:-

1.Mauzo Online.
2.Idadi ya Shows.
3.Endorsements
4.Net Worth
5.Collaborations
Unaambiwa nandy sio yule wa kivuruge, ina maanisha data za kuanzia 2016 hazitokua sahihi mkuu..ni recently hafanyi vizuri
 
Unaambiwa nandy sio yule wa kivuruge, ina maanisha data za kuanzia 2016 hazitokua sahihi mkuu..ni recently hafanyi vizuri
Huo ni mtizamo wake na wako ,Marekani wana RIAA ndio inafanya Research kuhusu Music Industry ndio wanatoa Certifications ya hizo unazozisikia Platnum etc wanaweka data based na research na sio mihemko...Wewe umekazania sijui nandy wa leo sio wa kivuruge na bila kusema diamond wa nenda kamwambie/mbagala/nitarejea ndio huyu wa makopokopo?
 
View attachment 1714923

Hali ya Nandy kwenye muziki sio nzuri kwa kweli anahitaji sana support yetu. Haya mambo ya kushika keyboard na kumpa sifa za uongo hatumsaidii tumwambie ukweli graph yake inazidi kwenda chini siku baada ya siku.

Huyu sio yule nandy wa ninogeshe au kivuruge.

Nandy amefikia kufanya wimbo na Koffi na hasipate walau watazamaji million 1 ndani ya siku tatu sasa na amekaa namba moja trend kwa masaa hayazidi 8 akatolewa na habari.

Imagine uwekezaji wa million 70 unaishia kupata likes na comments za insta na JF inasikitisha sana. Huko kwenye platforms za downloads na streams ndio huruma kabisa.

Kwa mwendo huu mtawalaumu bure WCB kuwa ndio chanzo cha kushuka kwake.

Mtamlaumu Zuchu kwa kubeba attention za watoto wa kike ambazo awali zilikuwa kwa Nandy.

Wale mnaokujaga na magazeti ya kufarijiana msaidieni hata mawazo.

Siku si nyingi nitashusha uzi kama huu kwa yule kijeba anaejaribu kujinasua wakati mtumbwi ushazama.
Kolabo na Koffi ilitakiwa ijiuze yenyewe nje ya bongo. Hii imefeli. Koffi mkubwa sana huwezi kufanya kolabo nae halafu utegemee au kulaumu vikiki vya bongo!! Yule akitoa ngoma mpaka kina Etto, Pogba wanasikiliza na kuipaisha.
Kwenye kolabo, Nandy angefanya re-mix ya nyimbo yake yoyote ya zamani iliyo-hit, kama Ninogeshe, nk anaongezea tempo, koffi anaweka verse na vikolombwezo, kazi kwisha. Sijui kwa nini wanaona aibu kufanya re-mix na hawajifunzi kwa mwenzao kwenye Yoppe na Waah!!
 
Back
Top Bottom