cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Dah Ila yule dada aliniuma Sana aisee maskini kawa mbuzi wa kafaraHahaha, eti timing.
Mpaka sasa uzito uko kwenye ni kweli jamaa alifanya hayo.
It has been so easy.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah Ila yule dada aliniuma Sana aisee maskini kawa mbuzi wa kafaraHahaha, eti timing.
Mpaka sasa uzito uko kwenye ni kweli jamaa alifanya hayo.
It has been so easy.
Dah Ila yule dada aliniuma Sana aisee maskini kawa mbuzi wa kafara
Niko poa tu aisee sijui weweTuishie hapa bana.
Vipi uko powa lakini?
Niko poa tu aisee sijui wewe
Kuna siku nilisema mie kwenye uzi fulan, huyu Mond yupo ktk kipindi kigumu ambacho kinamtafuna ndan kwa ndan, kuthibitisha hilo waangalie ule wajihi wake, body language, na hata muenendo wa life style, yule anahitaji counselling ya physiological,But ukimuamgalia tu usoni Hana furaha na ana mawazo mengi Sana kichwani, Diamond anahitaji ushauri wa kisaikolojia naona Kuna vitu anapitia vinamtafuna ndani kwa ndani na wengine hawalioni Hilo. He needs help
Daimond Kuna kitu inamkula ndani kwa ndani aisee ukichangia na hizi drama zake za kuzaa hovyo hovyo na wanawake wallah, watamfanya achizike, daimond anapitia kipindi kigumu mno Nuru yote hamna basi tuKuna siku nilisema mie kwenye uzi fulan, huyu Mond yupo ktk kipindi kigumu ambacho kinamtafuna ndan kwa ndan, kuthibitisha hilo waangalie ule wajihi wake, body language, na hata muenendo wa life style, yule anahitaji counselling ya physiological,
Cha ajabu wadau walileta personal attacks kwangu.
Kuna clip nliona alikua yeye, zuchu, rayvan na wengine, tena ilikua sebulen, wallah nliona kabisaa anahitaj msaada ila anashindwa kwa kuogopa na kulinda status yake.
Good nightNiko powa pia, Mungu ni mwema.
Good night
Itakuwa Ca.....15. Ndugu yake itelSimu yako ni aina gani? Inatoa picha clear sana.
Ukweli ambao watu hawataki kuusikia.Daimond Kuna kitu inamkula ndani kwa ndani aisee ukichangia na hizi drama zake za kuzaa hovyo hovyo na wanawake wallah, watamfanya achizike, daimond anapitia kipindi kigumu mno Nuru yote hamna basi tu
Sijaona kama nitatizo hasa kwa mtu ambaye yupo busy na mishe zake
Wakianzaga Kuumwa.. Kutwa mabakuli ya kuomba msaada ni mengi sana .
Msanii ni kama mfanya biashara, full of stress.. ila mfanya biashara ana hesabu za mbali na akizingatia RM kitu amabacho wasanii wanakosa na ndio maana maanguko yao hutia huruma ,Alijisemea ukweli Vanessa kuwa wasanii hamna kitu wanaishi kwa stress
Munamaanisha Mond hana pesa basi kwamantiki hii kupata pesa duniani haiwezekani maana hata siwaelewi Hustle zake zinaonekana alafu ana pesa kivipi.But ukimuamgalia tu usoni Hana furaha na ana mawazo mengi Sana kichwani, Diamond anahitaji ushauri wa kisaikolojia naona Kuna vitu anapitia vinamtafuna ndani kwa ndani na wengine hawalioni Hilo. He needs help
Sio pesa Ila Hana furahaMunamaanisha Mond hana pesa basi kwamantiki hii kupata pesa duniani haiwezekani maana hata siwaelewi Hustle zake zinaonekana alafu ana pesa kivipi.
Mzee baba kuna demu yupo humu anakuelewa kinyama, naomba nikuunganishe naye myajengeKuna siku nilisema mie kwenye uzi fulan, huyu Mond yupo ktk kipindi kigumu ambacho kinamtafuna ndan kwa ndan, kuthibitisha hilo waangalie ule wajihi wake, body language, na hata muenendo wa life style, yule anahitaji counselling ya physiological,
Cha ajabu wadau walileta personal attacks kwangu.
Kuna clip nliona alikua yeye, zuchu, rayvan na wengine, tena ilikua sebulen, wallah nliona kabisaa anahitaj msaada ila anashindwa kwa kuogopa na kulinda status yake.