Nandy aonyesha jeuri ya Pesa

Nandy aonyesha jeuri ya Pesa

Hakuna wasanii nnao wakubali na wanaishi low profile kama navy&kenzo wanaishi kwenye jumba lao wao kama wao... Syo Wasani wengine kutwa kuishi kwa kuongeza sifuri

Ova
Wale wapo real mnooh na wanaish ndan ya uhalisia, ndo maan wana win life.
 
Kumbe amepanga? Nilijua kajenga yake! Kuenyesha jeuri kwenye nyumba ya watu?
 
Ni hatari Sana Sasa asije hamia kwa watoto, maana kafara hufata zilizo kubwa zaidi, Ila huyu Tale vile Ni darasa la Saba angekuwa na elimu ya Mwana Fa kwa kafara zake angekuwa hata waziri. Mwana FA asipopata hata unaibu waziri wa michezo

Ila atakuja kuumbuka Mchana kweupe, acha aende uko bungen
 
Tukaonekana wambea, haya leo kiko wapi , kapita kiulaini wakat mwenzio kalala anaoza, yan huyu mbwa
Muache kafara huwa haitosheki, soon atahamia kwa wanae, yaan huyu mbwa kajua kuniudhi had baas, hata haogopi karma khaaaah
 
Mmh huyu bi kidude naye anachokitafuta atakipata, sasa sijui anamringishia nani, huyu naona hawajui wabongo vizurI , atapigwa vipapai mpaka ajikute anatembelea wheel chair. Hizi Show off zake domo, Coz ako na uchawi wa hali ya juu, hakuna mbuzi yenye anaweza mgusa, sasa shoga yangu huyo mwamposa kama una uhakika ana nguvu za Mungu za kweli za kukulinda , basi endelea kujishaua kama kahaba wa kinondon aliyeona range rover imepaki barabarani, mxieew kichwa kama kikapu cha sadaka.

Ila all in all , ka nandy ka hard worker sana , she is smart , hana starehe za kipumbavu kama gigy money , na hakanaga ma group ya ajabu. Mungu aendelee kukubariki

Ila na nyie mastaa hamuwezag kununua magar ya maana, basi Hako ka BMW X1 ka mil 22 Ndo kajiona Kim kardashian mwenyew, nyumba yenyewe ya kupanga, mxieew, ila hongera umewazid wote mwaego View attachment 1550910
Si zake muache aonyeshe tu
 
Back
Top Bottom