Nandy aonyesha jeuri ya Pesa

But ukimuamgalia tu usoni Hana furaha na ana mawazo mengi Sana kichwani, Diamond anahitaji ushauri wa kisaikolojia naona Kuna vitu anapitia vinamtafuna ndani kwa ndani na wengine hawalioni Hilo. He needs help
Kuna siku nilisema mie kwenye uzi fulan, huyu Mond yupo ktk kipindi kigumu ambacho kinamtafuna ndan kwa ndan, kuthibitisha hilo waangalie ule wajihi wake, body language, na hata muenendo wa life style, yule anahitaji counselling ya physiological,

Cha ajabu wadau walileta personal attacks kwangu.

Kuna clip nliona alikua yeye, zuchu, rayvan na wengine, tena ilikua sebulen, wallah nliona kabisaa anahitaj msaada ila anashindwa kwa kuogopa na kulinda status yake.
 
Daimond Kuna kitu inamkula ndani kwa ndani aisee ukichangia na hizi drama zake za kuzaa hovyo hovyo na wanawake wallah, watamfanya achizike, daimond anapitia kipindi kigumu mno Nuru yote hamna basi tu
 
Daimond Kuna kitu inamkula ndani kwa ndani aisee ukichangia na hizi drama zake za kuzaa hovyo hovyo na wanawake wallah, watamfanya achizike, daimond anapitia kipindi kigumu mno Nuru yote hamna basi tu
Ukweli ambao watu hawataki kuusikia.
 
Wakianzaga Kuumwa.. Kutwa mabakuli ya kuomba msaada ni mengi sana .

mkuu,acheni kusema hivo,mbona hata kuna member wa JF wananunua magari mara kwa mara,wasanii nao ni watu kama sisi wanajaribu ku enjoy maisha bila kujua nini kitawapata hapo mbeleni,matatizo hayachagui,si ajabu hata sisi wanaJF tukiugua sana tunatembeza bakuli
 
Alijisemea ukweli Vanessa kuwa wasanii hamna kitu wanaishi kwa stress
Msanii ni kama mfanya biashara, full of stress.. ila mfanya biashara ana hesabu za mbali na akizingatia RM kitu amabacho wasanii wanakosa na ndio maana maanguko yao hutia huruma ,
 
But ukimuamgalia tu usoni Hana furaha na ana mawazo mengi Sana kichwani, Diamond anahitaji ushauri wa kisaikolojia naona Kuna vitu anapitia vinamtafuna ndani kwa ndani na wengine hawalioni Hilo. He needs help
Munamaanisha Mond hana pesa basi kwamantiki hii kupata pesa duniani haiwezekani maana hata siwaelewi Hustle zake zinaonekana alafu ana pesa kivipi.
 
Kichambo na sifa juu khaa!!
 
Munamaanisha Mond hana pesa basi kwamantiki hii kupata pesa duniani haiwezekani maana hata siwaelewi Hustle zake zinaonekana alafu ana pesa kivipi.
Sio pesa Ila Hana furaha
 
Mzee baba kuna demu yupo humu anakuelewa kinyama, naomba nikuunganishe naye myajenge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…