Nandy athibitisha uhusiano wake na Ruge

Nandy anaishi masaki kwenye shilawadu walionyesha amepanga nyumba nzima Sasa Kama alikuwa analipiwa Kodi na jamaa inabidi ajiandae Sasa la sivyo arudi kujichanganya tabata bima au barakuda

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah life changes are inevitable. Ni kupanda na kushuka ila hali huwa mbaya zaidi kama umeishi kwa kutegemea mbuyu...siku mbuyu ukikatwa ujue kifuatacho ni aibu tu! Msiba lazma uwe mchungu sana kama sponsor wako ndio atakuwa amepotea. Mwacheni binti alie sana na kukesha makaburini. Sio rahisi kulipa kodi ya $800-1000 kila mwezi kwa kutegemea show za ninogeshe mda wa fiesta. You really have to toil it up!
 
Wazee wa maadili mtanisamehe, mimi hilo life la Ruge nalifagilia kinoma. Sema vile mimi nimelogwa tu sina hela. Huku unawasaidia ambao hawakubahatika kwenye jamii, kisha najichagulia suria anaelipa namscoop mpaka anawehuka,nampiga chini kisha nachagua suria mwingine, yani kama mfalme Suleiman wa Ottoman Empire. Ruge huna cha kujutia huko ulipo, big up dude!
 
Mkuu tunasogeza siku mbele. Maisha magumh ajira hakuna na sisi wajasiramali wateja wamepungu sasa na tukose hata furaha kwa kujunguka jamanii??? Tunaongea tuu na wala hatuwabadilishi na wala hakitabadilika choochote just chill and relaaaaax
Umbea tuuu....unaonaje tukizungumzia maisha yako.
Madanga unayotokanayo mjini...!
Unavotumika ovyo ovyo bila mpangilio..!
Hujui kukataaa na ukikataa ni kosa la jinai.
Umezalishwa umekimbiwa (single mother).
Kila mtoto na babake..!
#shame

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii issue ya Ruge kutembea na Nandy Dada wa Taifa Mange alishaisema Kitambo Sana kama mwaka m1 uliopita.
Mengi husemwa mengine huwa si ya kweli, kaamua kuyasema ili kufunga mjadala aachwe kuulizwa., kuna mahaojiano alifanya na clouds TV kipindi cha 360 aliulizwa maswali mengi kuhusu Ruge aliongelea muziki tu, alipoulizwa kama ana mpenzi alijibu NO COMMENT akaulizwa umeva kidani kina herufi R inawakilisha nini akajibu NO COMMENT , naona kachoka kaamua yaishe.
 
Utakua kwenye chain wewe si kwa povu hili acha unafiki ww unadhsni ww ni mkamilifu sana?? unajifanya husengenyi ila mimacho kodoo kwenye kila comment ya mtu unafanya nini hapo?? unaweza ukawa humsemi mtu ila una roho mbayaa kama msaga sumu. Na ulivyo mmbea eti unaorodhesha vitu hapo sasa mm na ww tunatofauti gani. Halafu umelazimishwa kuwa jukwa hili?? Nyie ndo viruka njia upo popote kila jukwaa unaponda kwa sababu huna cha kuchangia huna Contents zozote. Hebu niache bwana kila mtu yuko kivyake humu tusifuatiliane. Inaonekana yanayosemwa humu yankuumiza sana au na ww ni mmoja wao? Ungejificha basi si kwa kuja na ukali huu
 
Kumbe ka Nandy ni kakubwaaa. Pia ni mzur mnooo yani Naturally. Kuna video yake kapost Ruge anacheza na ka mbwa yani it seems jamaa walikuwa wanapendana sana na Nandy
Wewe hukuona alivyokuwa anapewa special attention msibani??
 
Na ndivyo inavyotakiwa iwe kama MTU hajakuoa wewe hujui kula na vipofu.
Afu ruge asinge umwa naskia mwaka huu alikuwa anataka kumtolea mahali nandy na wazazi pande zote wanajua.
 
Na ndivyo inavyotakiwa iwe kama MTU hajakuoa wewe hujui kula na vipofu.
Afu ruge asinge umwa naskia mwaka huu alikuwa anataka kumtolea mahali nandy na wazazi pande zote wanajua.
Inasemekana mahari ilisha tolewa na mshenga alikuwa January makamba..
 
Alikuwa anatembezewa MJEGEJO na R.
 
Acha kutuchimba mkwara....Issue hapa ni nandy kuwaza nitoke vip mana kipaji hana ni promo tuu ya ruge ambaye sasa hayupo.....Hzo ngojera zingine achana nazo kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…