CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,840
- 15,918
Yah mkuu.. unaweza kuta content nzima ni hapo chini alipotaka kutuaminisha kuwa huyo Ruge ndio kila kitu kwake... roho yake.. mahabuba wake nk nk... so sentensi moja yaweza leta maana tofauti..Dah...89% ya bandiko limeandikwa kwa kiswahili....na kuna makosa 37 ....lakini umeona moja tu.... la kiingereza...wabongo bana...dah[emoji41]
Sent using Beretta ARX 160
Sent using Jamii Forums mobile app