Nandy athibitisha uhusiano wake na Ruge

Dah...89% ya bandiko limeandikwa kwa kiswahili....na kuna makosa 37 ....lakini umeona moja tu.... la kiingereza...wabongo bana...dah[emoji41]

Sent using Beretta ARX 160
Yah mkuu.. unaweza kuta content nzima ni hapo chini alipotaka kutuaminisha kuwa huyo Ruge ndio kila kitu kwake... roho yake.. mahabuba wake nk nk... so sentensi moja yaweza leta maana tofauti..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyohuyo anabinua makalio insta miaka rudi miaka nenda, tangu nimeingia mjini na gari la kampeni namuonaga insta anajibinua ina maana hakuna kidume alieelewa ule mbinuko auweke ndani
Aliyekwambia Wanaume wanaoa mibinuko nani?? imejaa tele inadanga mitaani
 
WAKAPIME WOTE. sio Figo tu, kuna Sababu. Walikuwa n'a uwezo wa kubadilisha Figo n'a kuweka nyengine . Ndivyo kibao watoto kibao. Na Kwa nini akuzikwa padre au askofu ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuzikwa na padri kwasababu wao walikuwa waumini wa kanisa la Mwamposa, km ulisikiliza interview za ndg ( mama na wadogo zake) walisema from the beginning tangu yuko SA walikuwa wanafanya maombi asb mchana na jioni through conference call.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kapicha ili nasi wa vijijini tumuone mfiwa Nandy jamani.
 
Jaman acheni uongo mahari ilikuwa haijapelekwa ila ukweli walipanga kupeleka tarehe 2/3 siku ambayo ndio ruge akawa anaagwa karimjee. Ndoa ilikuwa ifungwe south leo tarehe 9/3 hata kama kwenye hospital bed. Marehemu alishajirudi na kuamua kulia n Mungu. Nadhiri aliyoweka ilikuwa km Mungu angemsaidia apone basi angemtumikia Mungu na kwa kuanzia ilikuwa aoe atulie na mkewe
 
Jamani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…