Kwani tumebakiwa na nini ambacho si cha mzungu mjukuu? Hata ugali wenyewe ni wao wameturetea...ndio kama ile tunapinga chanjo ya mzungu ila tunaomba Mungu aliyeletwa na huyo huyo mzunguHuu uzi umekua wa moto hivi. Dini hizi wazungu walikosea kuleta huku. Wangetuacha na imani za asili/matambiko yetu tu aaah.
Tunapozungumzia falme mbili wengi hawaelewi au wanadhani ni akina kingi mswati na kingi henryEti ooh multi-talented sijui bla bla kiba!
Kwa Mungu hakuna mchanganyiko wa kachumbari namna hiyo..
Gospel na Bongo fleva havikai pamoja..ni sawa lilivyo giza na nuru,Nuru inapoingia giza hutoweka na giza linapoingia nuru hutoweka.
Mliwahi ona wapi giza na nuru vikakaa pamoja nyie binadamu?
Achezi ushabiki wa kijinga hadi kufikia mnataka kubadili ukweli wa Maandiko Sasa kwa hoja zenu za kijinga.
Hatupaswi kuwajibu kwa hasira bali kwa neno na hoja...unajua injili ni popote hata katikati ya magugu unaweza kupanda mbegu ya injili na ikamea vizuri sanaWakristo jina+wanaocomments kwa chuki zao tu kwako,pia mashabiki mihemko wa huyo wa kujiita Nandy.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] babuuuuh leo umekula nn khaaaahTunapozungumzia falme mbili wengi hawaelewi au wanadhani ni akina kingi mswati na kingi henry
Sasa dini imekua too much. Yaan ni hatariiiih kweliKwani tumebakiwa na nini ambacho si cha mzungu mjukuu? Hata ugali wenyewe ni wao wameturetea...ndio kama ile tunapinga chanjo ya mzungu ila tunaomba Mungu aliyeletwa na huyo huyo mzungu
Nandy fanya yote ndani ya uwezo wako,kuna time itafika YOU CAN'T DO SHIT,utabaki i could have done this or that..hapo umezeeka, fanya YOTE sema kuwa ORGANISED ,and consistent...
Umeongea utopolo mtupu ...... !!!Fikiria sister, wangapi wanaenda Makanisani / Misikitini na kukaa front seats bila kukosa kila ibada lakini ni wazinzi, washirikina, walevi, wauaji, waongo na wanafanya kila aina ya uchafu lakini hatuoni ni big deal !..
Wangapi waliupenda wimbo wa Yemi Alaide - Nagode hapa hapa Tz bila kujali kama Yemi si mwanamuziki wa Gospel, sasa kwa nini kwa Nandy iwe big deal !..
By the way Nyimbo ni nzuri hasa wanibariki na nipo naye, kwangu ni nyimbo za kwanza za Nandy kuingia kwenye playlist yangu straight maana Lyrics, vocals na beats zipo vizuri, kazisikilize maana hautokuwa dissapointed
Umeongea utopolo mtupu ...... !!!
Salama kabisa Kaka mkubwa.Habari za siku Eve?
Natofautiana kidogo na wewe kwenye uchambuzi wako ..nitakurudiaFikiria sister, wangapi wanaenda Makanisani / Misikitini na kukaa front seats bila kukosa kila ibada lakini ni wazinzi, washirikina, walevi, wauaji, waongo na wanafanya kila aina ya uchafu lakini hatuoni ni big deal !..
Wangapi waliupenda wimbo wa Yemi Alaide - Nagode hapa hapa Tz bila kujali kama Yemi si mwanamuziki wa Gospel, sasa kwa nini kwa Nandy iwe big deal !..
By the way Nyimbo ni nzuri hasa wanibariki na nipo naye, kwangu ni nyimbo za kwanza za Nandy kuingia kwenye playlist yangu straight maana Lyrics, vocals na beats zipo vizuri, kazisikilize maana hautokuwa dissapointed
Niko poa kabisa, am back...Long time no see...hope uko poa
Nimekuelewa vizuri sana. Na ni kweli shida kubwa aliyo nayo ni ushauri sahihi, tuseme 'management' nzuri. Ule mwimbo na Koffi haukutakiwa utoke hewani.Kila mtu ana kipawa, talanta na kipaji chake , lakini kati ya hivyo vitatu kimoja ndio hujitokeza zaidi na kwa baadhi viwili ndio huonekana zaidi
Talanta na kipawa hivi viko kiroho na kiimani zaidi huku kipaji kikiwa kiko kimwili na kidunia zaidi. Kwenye hii dunia kuna falme kuu mbili , ufalme wa Nuru na ufalme wa giza...ufalme wa nuru uko kiimani zaidi kwa maana ya Kimungu na ufalme wa giza uko kidunia zaidi kwa maana ya shetani ...hizi ni falme mbili zisizochangamana
Nandy binti mwenye kipaji cha uimbaji kupitia nyimbo zilizomtambulisha za kidunia alianza na kufanya vema sana kwenye hii kaliba, lakini sasa anapotea..anachanja mbuga kuelekea porini...Pengine kwakuwa jasiri muongoza njia hayupo tena..
Pressure ya kubaki kileleni, mashindano ya vipaji vipya na ugumu wa soko huku akiwa hana washauri wazuri vinaweza kuwa matokeo ya yale anayofanya sasa
Nandy kashindwa kushika moja, anachanganya mambo matatu kwa wakati mmoja
Bongo fleva
Bongo movie
Gospel
Hivi vitu vitatu huwa kamwe havipikiki chungu kimoja hata siku moja...kila kimoja kina chemistry yake, ladha yake na mashabiki yake... Lazima ujitambulishe na kukubalika kwenye moja ya makundi hayo
Kuchanganya bongo fleva na bongo movie ni kujiua kisanii kwakuwa iko wazi kabisa kuwa sisi wabongo na haya mambo ya sinema za kisasa tumefeli big time..HATUWEZI.. Sisi tuko vizuri kwenye mziki walau kwasasa
Kuchanganya bongo fleva na gospel ni sawa na kuzipambanisha falme mbili zenye kutofautiana kwenye kila kitu....leo uombe nogesha kesho uimbe Mungu ni mwema ...HUTAELEWEKA KAMWE... Utajimaliza mwenyewe
Figa tatu alizochagua Nandy hazirandani asilani..anatawanya na kupoteza nguvu zake bila kujua.....Na hapaswi kutafuta mchawi kwenye hili zaidi ya washauri wake
Shetani akizeeka huwa malaika.. Usitake kuwa malaika kabla hujazeeka. Yuko wapi Stara Thomas? Mzee Yusuph ndio huyo anatanga na njia sasa...Kuna wakongwe kama Cosmas Chidumule na Mzee Makassy hawa walipoamua kuipa dunia kisogo na kumgeukia Mungu hawakuyumba wala kurudi nyuma.
Kina TID wameamua kuingia bongo movie kwakuwa hawana nafasi tena kwenye soko la mziki...huko wanalazimisha tuu...ili walau siku zisonge
Kwa umri wake Nandy na kipaji kilichomtoa cha bongo fleva angejenga mhimili imara kwanza huko.... Wakati anahangaika na bongo movie kina Zuchu wanampiku kwenye chart za umaarufu...!!!
All in all kama kaamua moja la kumrudia Mola wake na kuimba Gospel katika umri huo , awe na nia thabiti ya kiroho asije akageuka na kurudi alikotoka...ataishia kuchanganyikiwa... Kumrudia Mungu ni vita sio bata... Amuige Hafsa Kazinja...
Kama anashaurika basi atulie na kuanza upya na ashike moja tuu kwakuwa mshika mawili moja humponyoka...sasa yeye kashika matatu kwa mpigo...!!!