Nimejitahidi kumuelewa Nandy lakini bado sijafanikiwa.
Hebu toa huyo mwenye sura ya chid benz no 4 hapo.1.maua
2.ruby wa zaman
3nandy
4.mwasiti
Simi.. Huyu binti hakuna kama yeye Africa nzima.Simi ni habari ingine ila ndio vile nyimbo zake sio za kuchezeka sana ndio maana bongo bado hajapata hype. Kwa naija wanamkubali sana maana anajua kutunga na ana sauti unique
Acha kumfananisha Maua Sama na vitu vya ajabu ajabu!Kati ya Nandy na Mauwa Sama unadhani nani zaidi ya mwenzake kwenye mziki wetu wa Bongofleva hapa nchini.
Maua sama anaimba nandy anabana kooKati ya Nandy na Mauwa Sama unadhani nani zaidi ya mwenzake kwenye mziki wetu wa Bongofleva hapa nchini.
Maua kapata tuzo gani?Nandy mkali zaidi
Kupata tuzo sio kigezo cha kujua. Mbaya usilo lijua hizo tuzo nying hutolea bila usawa na uhalalo wengi wana fake kwa kununua ili iwe rahis kwao kwenye brandingMaua kapata tuzo gani?Nandy mkali zaidi