Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
- Thread starter
- #21
Kwa hiyo ukipewa utazikataa?Hivi unaweza kupewa pesa na Mwanamke alafu we Mwanaume ukainjoi kuzitumia?
Over my dead body labda ninunuliwe zawadi ya boksa ama sijui singled ila sio kupewa pesa na demu
Wanakuwaga na masimango sana hao