Nandy: Nilishawahi kupigwa chupa Mbeya nikatoka nundu ya jicho

Nandy: Nilishawahi kupigwa chupa Mbeya nikatoka nundu ya jicho

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
IMG_20241006_172921.jpg
Moja ya wanadada icons kwenye muziki wa bongofleva.

Bidada anaejua kuimba na kucheza na jukwaa na mwenye utajiri wa kutisha Nandy amefunguka maswaibu aliyowai kukutana nayo akiwa kwenye show ya fiesta mkoani mbeya ambapo alipigwa chupa na watu wa Mbeya akiwa aelewi kosa lake haswa ni nini.

Anasema alipata jeraha kubwa eneo la jicho maana chupa ile ilikuwa inaenda kuharibu jicho lake.

Pole sana supastaa Nandy ili tatizo la watu wambeya kuwa na ushamba nsi la kupuuzwa hata kidogo.

Soma Pia: Wasafi Festival Mbeya hali imekuwa tete, Zuchu akimbia jukwaa


Mimi nimezunguka sana hii dunia, sijawai ona biandamu aliyestaarabika akaenda eneo la starehe kwa ajili ya kurusha chupa na kufanya vurugu hii mimi nimeiona Mbeya tu duniani kote haipo.

Bado kama taifa tuna kazi kubwa sana ya kumfuta adui UJINGA ambaye mzee Nyerere aliangaika sana kupambana nae mpaka leo anatusumbua huyu adui watanzania.
 
Vijana wa pdidy mna nongwa sana na watu wa mbeya.
Kule wana shows zao za kina awilo wa mbeya.
Ninyi wa daslam nendeni tanganyika parkers, kwani huwa wanawaita au ni ninyi mnasaka maokoto, ndo changamoto zake hizo, avumilie.
Lakini kama wao hawataki hizo show wakae nyumbani waachie wakuja waende, ugumu hapo ni upi?

Nafikiri kuna tatizo kubwa sana kwenye jamii ya watu wa Mbeya, lishughulikiwe mapema sana.
 
Wasanii wenyewe wanapenda kuwaita mashabiki zao 'Wahuni', unategemea nini!
 
Lakini kama wao hawataki hizo show wakae nyumbani waachie wakuja waende, ugumu hapo ni upi?

Nafikiri kuna tatizo kubwa sana kwenye jamii ya watu wa Mbeya, lishughulikiwe mapema sana.
Wanaenda kushuhudia kama yaliyomo yamo, kama hayamo mnaliwa vichwa.

Sidhani kama mbeya wanahitaji shows za wasanii ila wasanii ndio wanawahitaji wanambeya, ndio maana wanawafata kwa gharama kubwa.
 
Wanaenda kushuhudia kama yaliyomo yamo, kama hayamo mnaliwa vichwa.

Sidhani kama mbeya wanahitaji shows za wasanii ila wasanii ndio wanawahitaji wanambeya, ndio maana wanawafata kwa gharama kubwa.
Alafu wanaanza kuimba na kusema jukwaani "hakuna kama mama Samia. Mitano tena kwa Samia".

Ilitakiwa wamtoe jicho kabisa yule Binti ili ajue hatakiwi kuchanganya siasa na burudani. Pale sio DSM.
 
Alafu wanaanza kuimba na kusema jukwaani "hakuna kama mama Samia. Mitano tena kwa Samia".

Ilitakiwa wamtoe jicho kabisa yule Binti ili ajue hatakiwi kuchanganya siasa na burudani. Pale sio DSM.
Waachane nao wanawafata wa nini na wanajua wana vurugu, na huyo Diamond ni kizazi hiki ndo kinamkubali huko nyuma jamaa alikua hapendwi, walikua wanasema ana dharau si waju wanyaki tena.
 
Back
Top Bottom