sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
- Thread starter
- #61
Makabila mengine ni wastaarabu sana huwezi kuona mtu karushiwa chupa Songea au Tanga. Haya mambo utayaona Mbeya tu watu uko wana shida vichwani na ni culture wanarithishana kuumiza mtu ndio ugangwe. Mji una watu wana roho mbaya sana kuchuna ngozi ya mtu ni ishu ya kawaida.Mbeya mjini kuna makabila yote, usije kushangaa aliyerusha chupa ni mmasai. Wanyakyusa kwao ni Rungwe na Kyela