Sasa kama WA show zao Kwa nini wajazane kwenye show za watu wakat wanajua sio type Yao , hzo ni akili au matopeVijana wa pdidy mna nongwa sana na watu wa mbeya.
Kule wana shows zao za kina awilo wa mbeya.
Ninyi wa daslam nendeni tanganyika parkers, kwani huwa wanawaita au ni ninyi mnasaka maokoto, ndo changamoto zake hizo, avumilie.
Kwani Nandy alisema mitano tena?Yeye atafute ridhiki kwa kuimba nyimbo zake ndicho tulicholipia mambo ya mitano tena yanatokea wapi? Akwende zake
Mkuu unamaanisha nini, kutisha huko ni kupi hasaBidada anaejua kuimba na kucheza na jukwaa na mwenye utajiri wa kutisha Nandy
Utajiri wa rizki sio wa laana wa kupiga watu nondo.Mkuu unamaanisha nini, kutisha huko ni kupi hasa
Oya unabishana na mtu aliyekuwepo? Chanzo cha kutupiwa chupa alisema mama mitano tena.....Kwani Nandy alisema mitano tena?
Nafikiri kuna sehemu mnajaribu kujifichia ila jamii ina tatizo kubwa sana la kukosa ustaarabu na kutukuza ushamba
Wakati Nandy anafanya show ya fiesta Mbeya mama samia hakuwa president. Acha uongo.Oya unabishana na mtu aliyekuwepo? Chanzo cha kutupiwa chupa alisema mama mitano tena.....
Kwa hiyo alikuwa msanii pekee? Mbona wengine hawakutupiwa mawe...
Huyo Nandy sikuwahi kusikia .....kwanza nani ana uhakika kama ni kweli? Maana hatukuwahi kusikia popote....Kwani Nandy alisema mitano tena?
Nafikiri kuna sehemu mnajaribu kujifichia ila jamii ina tatizo kubwa sana la kukosa ustaarabu na kutukuza ushamba
Sijazungumzia Nandy mimi nimeadhere kwa Zuchu.....Wakati Nandy anafanya show ya fiesta Mbeya mama samia hakuwa president. Acha uongo.
Wanyaki mna shida kubwa sana kichwani hapa sijui unataka kuhalalisha nini kubehave kama nyani
Wamepigwa chupa wastani wengi sana Mbeya hawqwezi sema sababu watu wa Mbeya wanajulikana kwa kisirani wanaepusha shari. Mbeya kila mtu kisirani kuna shetani sijui ukoHuyo Nandy sikuwahi kusikia .....kwanza nani ana uhakika kama ni kweli? Maana hatukuwahi kusikia popote....
Iweje akae kimya siku zote hizo aje aseme leo?
Nandy alipigwa chupa kwa sababu gani?Sijazungumzia Nandy mimi nimeadhere kwa Zuchu.....
Halafu mbona mchana walizungushwa na Tulia jijini mbeya mbona hakupigwa na hayo mawe au chupa?
Kama wamekuja kutoa burudani waweke uchawa pembeni. Pale kunakuwa na watu wa itikadi za vyama vyote
Bado kama taifa tuna kazi kubwa sana ya kumfuta adui UJINGA ambaye mzee Nyerere aliangaika sana kupambana nae mpaka leo anatusumbua huyu adui watanzania.
Shetani yupo hapo kwenu mjini daslam bwashee ndo maana kila kona ma,gay kama wote...Wamepigwa chupa wastani wengi sana Mbeya hawqwezi sema sababu watu wa Mbeya wanajulikana kwa kisirani wanaepusha shari. Mbeya kila mtu kisirani kuna shetani sijui uko
Nakwambiaga usiwe unasoma mada zinazohitaji matumizi ya akili unaonaga nakudharau. Ona sasa unadhalilikaMmmmh kabisa anataja hilo, hawa hitaji tena wa Mbeya au?
Nimekwambia siwezi kumwamini Nandy...Nandy alipigwa chupa kwa sababu gani?
Roho mbaya iliyopo Mbeya sijawai iona kokote duniani watu wana visirani yani watu wa Mbeya wanaamini sana kwenye kuumiza wenzao sijui mlipata laana ganiShetani yupo hapo kwenu mjini daslam bwashee ndo maana kila kona ma,gay kama wote...
Niliwahi tembezwa na mwenyeji wangu club za hapo ilibidi asubuhi niamkie kanisani niombe toba maana ilikuwa gays full house 😃😃
Umetembea nchi ngapi duniani ukafananisha na mbeya? Usikute hata Kenya hapo hujafika😉Roho mbaya iliyopo Mbeya sijawai iona kokote duniani watu wana visirani yani watu wa Mbeya wanaamini sana kwenye kuumiza wenzao sijui mlipata laana gani
Nakwambiaga usiwe unasoma mada zinazohitaji matumizi ya akili unaonaga nakudharau. Ona sasa unadhalilika
Hapo tu ndio ulipoonekana mwisho wako Tz.Moja ya wanadada icons kwenye muziki wa bongofleva.
Bidada anaejua kuimba na kucheza na jukwaa na mwenye utajiri wa kutisha Nandy amefunguka maswaibu aliyowai kukutana nayo akiwa kwenye show ya fiesta mkoani mbeya ambapo alipigwa chupa na watu wa Mbeya akiwa aelewi kosa lake haswa ni nini.
Anasema alipata jeraha kubwa eneo la jicho maana chupa ile ilikuwa inaenda kuharibu jicho lake.
Pole sana supastaa Nandy ili tatizo la watu wambeya kuwa na ushamba nsi la kupuuzwa hata kidogo.
Soma Pia: Wasafi Festival Mbeya hali imekuwa tete, Zuchu akimbia jukwaa
Mimi nimezunguka sana hii dunia, sijawai ona biandamu aliyestaarabika akaenda eneo la starehe kwa ajili ya kurusha chupa na kufanya vurugu hii mimi nimeiona Mbeya tu duniani kote haipo.
Bado kama taifa tuna kazi kubwa sana ya kumfuta adui UJINGA ambaye mzee Nyerere aliangaika sana kupambana nae mpaka leo anatusumbua huyu adui watanzania.