Zillion
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 1,378
- 1,866
Wakuu,
Poleni na majukumu ya kila siku.
Katika ulimwengu wa sasa ambapo watu wenye taaluma mbalimbali wamejikuta mitaani bila kuwa na shughuli za kuwaingizia kipato, ningependa kupata maoni yenu na pengine suluhu ya vijana kujiajiri na kuajiri wenzao
Nini hasa kikwazo kinachowafanya vijana wengi washindwe kujiajiri
Ni Sera, malezi, Aibu, Mazingira au Uthubutu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Poleni na majukumu ya kila siku.
Katika ulimwengu wa sasa ambapo watu wenye taaluma mbalimbali wamejikuta mitaani bila kuwa na shughuli za kuwaingizia kipato, ningependa kupata maoni yenu na pengine suluhu ya vijana kujiajiri na kuajiri wenzao
Nini hasa kikwazo kinachowafanya vijana wengi washindwe kujiajiri
Ni Sera, malezi, Aibu, Mazingira au Uthubutu?
Sent using Jamii Forums mobile app