Ng'wanza Madaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2008
- 2,268
- 335
Toa jibu mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu mmoja alikuwa ndani ya nyumba yake. Ghafla wakaja wageni kadhaa. Katika wageni hao kulikuwa na wababa wawili, watoto wawili, babu mmoja na mjukuu mmoja. Ikiwa jamaa (mwenyeji) anataka kukaa nje na wageni wake wote, Je atatoka na viti vingapi?
Welcome guys!!!
Hapo Poa...
Congratulations!!!
Viti Vinne
1. Cha menyeji.
2. Babu ambaye ni baba pia.
3. Baba amabaye ni mtoto pia.
4. Mtoto.
Mtu mmoja alikuwa ndani ya nyumba yake. Ghafla wakaja wageni kadhaa. Katika wageni hao kulikuwa na wababa wawili, watoto wawili, babu mmoja na mjukuu mmoja. Ikiwa jamaa (mwenyeji) anataka kukaa nje na wageni wake wote, Je atatoka na viti vingapi?
Kiswahili saafi ni akina baba wawili na siyo wababa wawili
Mtu mmoja alikuwa ndani ya nyumba yake. Ghafla wakaja wageni kadhaa. Katika wageni hao kulikuwa na wababa wawili, watoto wawili, babu mmoja na mjukuu mmoja. Ikiwa jamaa (mwenyeji) anataka kukaa nje na wageni wake wote, Je atatoka na viti vingapi?
Welcome guys!!!
Mtu mmoja alikuwa ndani ya nyumba yake. Ghafla wakaja wageni kadhaa. Katika wageni hao kulikuwa na wababa wawili, watoto wawili, babu mmoja na mjukuu mmoja. Ikiwa jamaa (mwenyeji) anataka kukaa nje na wageni wake wote, Je atatoka na viti vingapi?
Welcome guys!!!
Vitatu
Babu, baba na mjukuu
Cheers